Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Nilitaka kufahamu gharama ya upasuaji Kwa gynecomastia Kwa Tanzania. Pia hospital zipi nitapata hiyo huduma?
1 Reactions
25 Replies
1K Views
Habari ya wakati huu. Ni yapi madhara ya vidonge vya azythromycin kwa mjamzito mwenye typhoid na kwa mtoto aliyeko tumboni.? Je, ni dawa ipi inafaa sana badala ya azythromycin.? Dr. Ndiye...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Wadau, Nasumbuliwa na tatizo la ngozi ya uso kubabuka au kupauka yaani nikipaka mafuta baada ya mda unapauka sijawah kutumia mkorogo wa aina yoyote nlienda phamacy wakanipa cream ya kujipaka ila...
0 Reactions
34 Replies
14K Views
Afya ya akili ni muhimu sana, wahanga wa depression kwa sasa ni sisi Vijana💔😩
20 Reactions
171 Replies
9K Views
Habari zenu wana jamvi, Bila kupoteza muda mimi ni kijana mdogo 20s Nimepata TATIZO naliona pigo kubwa katika maisha yangu. Nilipata ajali niladondokea kinena yani njia ya mkojo ikaziba kabisa...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Habar wakuu Mzee wangu alifanyiwa operation kwenye korodani tar 13/9/2025,baada ya korodani kugeuka nakuwa na maumivu makali kwa siku5 ikabid afanyiwe operation, Sasa baada ya operatio alikaa...
2 Reactions
11 Replies
772 Views
HOMA ya ini ni ugonjwa unaoelezewa kuwa ni kuvimba kwa ini. Ini ni kiungo katika mwili wa binadamu kinachofanya kazi muhimu sana kama kuchuja, kupambana na hata kuondoa sumu mwilini. Kuna vitu...
6 Reactions
7 Replies
820 Views
Habari, Hongereni kwa kutimiza majukumu yenu ya kila siku kuhakikisha tunasogeza mbele gurudumu la maendeleo binafsi, familia na taifa letu. Nimeamua kuandika uzi huu ili kuhakikisha pia...
0 Reactions
7 Replies
922 Views
Ndugu mnaosumbuliwa na vidonda vya tumbo, Tumezoea humu JF raia wakitoa ushuhuda juu ya dawa fulani kuwa imemsaidia kuponya matatizo yake na kushauri na wengine kwenda kuinunua hiyo dawa. Mimi...
8 Reactions
38 Replies
25K Views
Ukisikia kama kuna pepo la magonjwa linampango wa kukuandama nakukuangamiza nadhani ndio huku..... Wakuu na madaktari wa jf nawapa heshima zenu wasalaam....niende kwenye mada... Takribani wiki...
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Nimekuwa nikifatilia mijadala ya UKIMWI humu kwa muda mrefu na haya ninayotaka kuyasema humu yalishasemwa na mimi nimeyashuhudia siku chache zilizopita kwa majirani zangu. Jirani yangu huyu...
3 Reactions
128 Replies
23K Views
Kumekuwepo na taarifa pia matangazo mengi kuhusu dawa za kutibu ugonjwa wa homa ya ini. Je, ni kweli ugonjwa huu unatibika na kupona kabisa? Je, ni sahihi dawa mbadala ni Bora zaid kuliko za...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Niulize chochote kuhusu homa ya ini. Kiufupi homa ya ini ni ugonjwa unaosabishwa na virusi aina ya 'Hepatitis A, B, C, D & E). Maswali yanaweza kujikita kwenye B na C kutokana kupelekea...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu, Kama nimevyoandika hapo juu nimepima presha Leo na presha yangu ni kama hiyo niliyoandika Ila sikuwahi kuwa na presha. Sasa wakuu ushauri wenu nianze dawa au nianze lishe ya...
4 Reactions
147 Replies
19K Views
Septemba 29 kila mwaka huwa ni Siku iliyotengwa maalum kujadili kuhusu Magonjwa ya Moyo ambayo takwimu zinaonesha kuwa kumekuwa na ongezeko la vifo vinavyotokana na magonjwa ya Moyo, pia namba ya...
1 Reactions
1 Replies
519 Views
Habari wana JF! Kama kuna mtu aliewahi kutumia au mtaalamu wa dawa aina ya Amitriptyline naomba feedback + effects
5 Reactions
32 Replies
6K Views
Msaada vipele ivo vinawasha sana, sijajua shida ni nini
3 Reactions
31 Replies
1K Views
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeongeza siku mbili zaidi za upimaji bure wa afya ya moyo, hatua iliyochukuliwa kutokana na mwitikio mkubwa wa wananchi kujitokeza kupima na kupata ushauri...
0 Reactions
0 Replies
215 Views
Habari, nina mapacha wenye miezi 11. Mmoja ana nguvu na anatambaa vizuri, lakini mwenzake bado hawezi kutambaa na anaonekana hana nguvu za kutosha ingawa wanakula lishe sawa. Kwa sasa amepungua...
1 Reactions
34 Replies
1K Views
Habari Wana JF Naomba anaefahamu hilitatizo linasababishwa na nn aniambie Kwani kunawakati nikienda haja ndogo kujisaidia wakati namaliza zinatoka shahawa naomba msaada
4 Reactions
28 Replies
1K Views
Back
Top Bottom