Habari wakuu.
Naomba msaada wa matibabu au dawa ya ugonjwa wa genetal warts kwa mwanaume.
Sugua na nduleleHabari
Ni nini hikoAisee polee sana mkuu.
Madaktari njoeni mtoe msaada huku na mtuambie chanzo ni nini?
Nenda uka search Google chagua picha uone.Ni nini hiko
Nimesha gundua ni niniNenda uka search Google chagua picha uone.
Ngono ndio chanzo ni ugonjwa wa kuambukizaAisee polee sana mkuu.
Madaktari njoeni mtoe msaada huku na mtuambie chanzo ni nini?
Na huyuu trump kazuia ARV inabidi tuu nifunge zipuu.Ngono ndio chanzo ni ugonjwa wa kuambukiza
Sio mchezo kuna mpox kuna genirtal wart yaan unakwepa ukimwi unakutana na balaaaNa huyuu trump kazuia ARV inabidi tuu nifunge zipuu.
Uongo, unatumia acyclovir au famciclovir capsules na kupaka ointment yakeKuna genital herpes pia Haina tiba.
Ebwanaeee, kaka pole pole pole pole sana me nselewa unayoyapitia coz i was once infected na hiyo kitu but aaah kupona inshitaji mbiringe sanaAise huu ugonjwa umening’ang’aniaga balaa hospitali nimeenda mpaka basi nimetumia podoflin kama mara tatu naishia tu kuungua ngozi. Kuna ile pensel imeishia kunichoma tu, kuna utomvu wa papai unauma balaa lakini wapi kuna vitungu swaumu mixer asali wapi, kupandisha kinga nishakula sana vitunguu swaumu wapi mpaka nikaamua kuvikata na wembe ndo nikaharibu zaidi. Kuna muda nashukuru zimenipunguzia michepuko kwa kuona aibu