toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
KWANZA KABISA NAOMBA MODS MSIUHAMISHE HUU UZI UBAKIE HAPA HAPA KWENYE JUKWAA LA HABARI NA HOJA MCHANGANYIKO
Mliopona maumivu ya mgongo, kiuno, na viungo mlitumia dawa gani?
Ndugu zangu mliowahi kuumwa maumivu ya kiuno au mgongo au viungo vingine mlitumia dawa gani?
Mfano matatizo kama "neuropathic pain, nerve pain, joint pain or Arthritis mliponaje?
Nauliza nipate ushuhuda maana nasumbuliwa na maumivu ya kiuno nilishaenda hosp nikapimwa magonjwa yote Xray ikaonyesha nina shida kwenye mifupa nikapewa dawa aina ya "Pregabalin na meloxican" ndo naendelea kumeza lakini nahisi itachukua muda sana kupona
Ndugu zangu mlopitia hili mlitumia dawa gani au tiba gani?Maana sahv watu wengi tu wanateseka na hili tatzo
Mliopona maumivu ya mgongo, kiuno, na viungo mlitumia dawa gani?
Ndugu zangu mliowahi kuumwa maumivu ya kiuno au mgongo au viungo vingine mlitumia dawa gani?
Mfano matatizo kama "neuropathic pain, nerve pain, joint pain or Arthritis mliponaje?
Nauliza nipate ushuhuda maana nasumbuliwa na maumivu ya kiuno nilishaenda hosp nikapimwa magonjwa yote Xray ikaonyesha nina shida kwenye mifupa nikapewa dawa aina ya "Pregabalin na meloxican" ndo naendelea kumeza lakini nahisi itachukua muda sana kupona
Ndugu zangu mlopitia hili mlitumia dawa gani au tiba gani?Maana sahv watu wengi tu wanateseka na hili tatzo