International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

The United Kingdom has announced significant cuts to its international development aid, with bilateral aid to African countries set to fall by more than half. The move is part of a broader...
1 Reactions
1 Replies
175 Views
Kiongozi wa kijeshi wa Madagascar na Rais, Michael Randrianirina, ametangaza Alhamisi kuwa mtu yeyote atakayeomba kuwa waziri katika serikali mpya atalazimika kufanyiwa kipimo cha mashine ya...
3 Reactions
2 Replies
146 Views
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekanusha kwamba alimburuza Rais wa Marekani Donald Trump katika vita dhidi ya Iran, akidai kuwa yeye ndiye mshirika mdogo katika uvamizi huo wa pamoja wa...
3 Reactions
8 Replies
502 Views
Hii habari nilikua nasubiri niiverify tayari media zote zimeverify CNN, ALJAZEERA na BBC Hili ni pigo kubwa US kumbuka hii ndege gharama yake ni matrilioni ya pesa Halafu jamaa wametumia mfumo w...
7 Reactions
42 Replies
1K Views
Utawala wa Kiislamu nchini Iran leo umemnyonga Mwanamieleka (wrestler) wa miaka 19 aitwaye Saleh Mohammadi ambaye alikua mpingaji wa wazi wa utawala huo, pia alikua akihamasisha maandamano kupinga...
2 Reactions
35 Replies
552 Views
Guinea has formally called for Morocco to be stripped of their 1976 AFCON title, reigniting debate over one of African football’s most controversial moments. The West African nation argues that...
4 Reactions
3 Replies
354 Views
Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz, amesema leo Machi 17, 2026 kuwa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, ameuawa katika shambulio la Israel. Ali Larijani amekuwa akijulikana kwa miongo...
3 Reactions
160 Replies
3K Views
Prime Minister Benjamin Netanyahu will give a televised statement tonight at 8:30, followed by a virtual press conference with foreign reporters, his office says. This will be the second virtual...
3 Reactions
31 Replies
514 Views
Naangalia Al Jazeera, Iran wamekiri kuwa makamabda wao 2 wakubwa wameuawa. Lakini wanasema hiyo siyo hoja maana administrative structure iko intact. Fine, iko intact and replaceable. But kama...
15 Reactions
76 Replies
1K Views
Kuna watu huchanganya. Ombea Israel kama nchi. Sikuambii uombee Wayahudi.
3 Reactions
19 Replies
292 Views
Bandari ya Iran iliyo mkabala na Mlango-Bahari wa Hormuz, katika jimbo la Hormozgan, sasa inashambuliwa kwa mabomu makubwa.
0 Reactions
5 Replies
233 Views
Kiongozi Mkuu wa Iran Mojtaba Khamenei inasemekana yuko katika hali ya kukosa fahamu, Marekani yasema amelelemazwa mwili. Ripoti inadai Kiongozi Mkuu mpya wa Iran Mojtaba Khamenei alipoteza mguu...
2 Reactions
5 Replies
349 Views
Ripoti: Trump Anafikiria Kutuma Maelfu ya Wanajeshi wa Ziada Mashariki ya Kati, Baadhi kwa Misheni za Ardhini Rais wa Marekani Donald Trump anafikiria kupeleka maelfu ya wanajeshi wa Marekani...
3 Reactions
22 Replies
505 Views
Saudi Arabia imeongeza mauzo yake ya mafuta hadi zaidi ya nusu ya viwango vya kawaida licha ya usumbufu kutoka kwa vita vya Iran. Ufalme huo unasafirisha mafuta kupitia bomba hadi bandari ya...
2 Reactions
1 Replies
273 Views
Wataalamu,wachunguzi, watabili, manabii na wachambuzi wengi wa masuala ya siasa za Dunia, uchumi na vita kutoka sehemu mbalimbali Dunia Hadi kufikia Leo siku ya kumi na saba wanaiona Marekani na...
5 Reactions
25 Replies
851 Views
Rais wa Marekani Donald Trump, amedai kuwa Cuba, ambayo kwa muda mrefu imekumbwa na uhaba wa mafuta kutokana na vikwazo, ni "nchi dhaifu," alisema anaamini ataweza "kukipata" kisiwa hicho...
5 Reactions
11 Replies
416 Views
Mbunge katika bunge la ulaya kaibua hoja kuwa taifa la Marekani ni silaha na walioshika silaha hiyo ni Israel na Wayahudi kauli hiyo imezua mtafaruko katika bunge la ulaya. “Marekani ni bunduki...
2 Reactions
5 Replies
250 Views
Wadau wa JF, Kutokana na mgogoro unaoendelea Iran na umuhimu wa Mlango wa Bahari wa Hormuz katika usafirishaji wa mafuta duniani, kumekuwa na mjadala mkubwa kuhusu kama kuna njia mbadala ya...
3 Reactions
51 Replies
855 Views
Hivi Pakistan Taifa masikini la Waislamu wengi sana wenye msimamo mkali na hadi magaidi wengi tu waliwezaje kufanikisha kutengeneza silaha zao za nuclear bila kibali na kelele za US?
3 Reactions
34 Replies
710 Views
Uwanja wa Mapinduzi mjini Tehran: Mazishi ya Ali Larijani, mwanawe, washirika wake, na kamanda wa Basij waliouawa na Israeli. Adiosamigo gallow bird 100 others gTurn mdogoee lini mnaanua Matanga?
2 Reactions
17 Replies
321 Views
Back
Top Bottom