Rais wa Marekani Donald Trump amepanda Air Force One na kuondoka kwa ziara yake nchini China.
Ujumbe maarufu wa viongozi wa biashara wa Marekani unatarajiwa kuandamana na Trump katika safari hii...
Mfumo wa ulinzi wa anga wa **Iron-Dome**ya Israeli haina mpinzani!!
Dk. Yuval Steinitz, mwenyekiti wa Rafael Advanced Defense Systems, alisifu mfumo wa Iron-Dome wa Israeli katika hotuba yake kwa...
Waziri Mkuu wa Latvia, Evika Siliņa, ametangaza siku ya Alhamisi kuwa atajiuzulu, hatua inayosababisha kusambaratika kwa serikali ya muungano nchini humo kabla ya uchaguzi muhimu wa bunge...
Kila mara Marekani inaposhindana na China kwenye vita vya kiuchumi na kiteknolojia China inakuwa na karata za ushindi dhidi ya Marekani.
Hasa kupitia uwezo wake wa kusafisha na kuchakata...
Mahakama Nigeria imemhukumu aliyekuwa Waziri wa Nishati, Saleh Mamman, kifungo cha miaka 75 jela kwa kosa la kufuja mamilioni ya dola zilizotengwa kwa ajili ya miradi ya umeme.
Tume ya kupambana...
TRUMP KUPOKELEWA NA MAAFISA WADOGO BEIJING BADALA YA XI JINPING: DHARAU YA KIDIPLOMASIA AU UJUMBE WA KIJASUSI KATIKA VITA VIPYA VYA DUNIA?
Wakati Donald Trump alipowasili Beijing kwa mazungumzo...
Huwa nalipenda sana somo la historia.
1. Ukisoma historia kwa kina utafahamu ukweli kwamba hakuna jipya chini ya jua.
2. Yote unayoyafanya yalishafanywa na wenzako huko nyuma.
3. Wewe...
DRAMA IN THE DIASPORA
UK Nurse Challenges London Gossip Blogger Over “Cancel God” Comment as NLP UK Conference Debate Trends Online
LONDON, United Kingdom — Heated conversations erupted across...
Wanaukumbi.
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, amesema hakuna njia nyingine isipokuwa kukubali haki za wananchi wa Iran kama zilivyoainishwa katika pendekezo la vipengele 14...
Serikali ya Ghana imetangaza kuwahamisha raia wake 300 kutoka Afrika Kusini, kufuatia kuongezeka kwa vitendo vya chuki dhidi ya wageni nchini humo katika wiki za hivi karibuni.
Katika ujumbe...
Mwanajeshi mwingine wa Idf akutwa na tuhuma ya kudhalilisha sanamu ya mama Maria kwenye mji wa kikristo lebanon.
Mwanajeshi huyo akionekana kwenye picha akimdhihaki mama yake yesu kwa kuvutisha...
Nyaraka kutoka ufukweni kusini mwa Lebanon zinaonyesha mizoga ya magaidi wa Hezbollah waliouawa katika siku za hivi karibuni na sasa zinaozeana na kukaushwa na jua la jangwani tu.
Magaidi wa...
Habarini wandugu
Kwa sasa kinachoendelea Hormz tunasubiri tuona uingereza na ufaransa kama wataufungua mlango wa Hormz.
Wametuma meli za kubeba ndege na wanajeshi.
Hapa naona ufaransa ana hasira...
Mahakama Kuu ya FCT iliyopo Maitama, Abuja, Jumatatu ilitoa hati ya kukamatwa kwa aliyekuwa Waziri wa Nishati nchini Nigeria, Saleh Mamman, baada ya kushindwa kufika mahakamani katika kesi ya...
Idadi ya Wabunge wa Chama cha Labour wanaomtaka Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, kujiuzulu imeongezeka na kufikia 70, kwa mujibu wa taarifa zilizoripotiwa na BBC.
Miongoni mwa Viongozi...
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amekataa kujiuzulu baada ya Mahakama ya Katiba kuamua kuwa wabunge hawakupaswa kuzuia mchakato wa kumwondoa madarakani dhidi yake mwaka 2022.
Inasemekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.