International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Baada ya kuuawa kwa kiongozi wa muda mrefu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei kufuatia mashambulizi ya anga, uongozi mpya ulitangazwa rasmi ambapo mwanawe, Mojtaba Khamenei aliteuliwa kuchukua nafasi...
0 Reactions
3 Replies
155 Views
Habari wandugu.... Nafikiri wa kuona wameona na wakujifunza wamejifunza kuhusu vita ,vita ni nini tuanzie hapo kwanza. Vita ni matokeo ya pande mbili tofauti kujenga uadui na chuki ndani ya mioyo...
2 Reactions
1 Replies
144 Views
Wakuu, Kabla ya Korea Kaskazini kufyatua makombora leo, siku kadhaa nyumba Lee aliwaomba msamaha kwa kupandisha drone kwenye angal la Korea Kaskazini. Inavyoonekana Kim anataka sana ugomvi...
0 Reactions
0 Replies
223 Views
Mjadala wenye hekima Mashia wamesimama wao wenyewe hawakuwa na hofu yeyote na wameusimamia vema Uislamu dhidi ya maadui wa Uislamu. Karibuni wenye elimu na wanazuoni mtujuze. Je MASHIA NI WAISLAMU?
1 Reactions
1 Replies
86 Views
Naona America kajitahidi kwa kutumia pressure kwa nchi hizi Oman, Egypt, Pakistan na Turkey na nchi za Europe wamuambie Iran dunia inapata tabu sana akubali kusimamisha vita kama 1st step ili...
12 Reactions
146 Replies
2K Views
  • Redirect
Marekani ni kama mbwa Koko anabwekea ndani ya fensi anaambiwa ajaribu kutoa pua apate kipigo, kaamua kuingia mitini baada ya kukubali mashatri ya Iran
4 Reactions
Replies
Views
He is cool, assertive, calculated, intelligent and explanative. May God protect him
2 Reactions
0 Replies
93 Views
Hapa kuna habari ulizoandika zikatafsiriwa kwa Kiswahili: --- 🇮🇷 Gwardia ya Mapinduzi yatangaza udhibiti kamili wa Mlalakayuko wa Hormuz --- 🇮🇷 Shambulio la drone dhidi ya nafasi za Marekani...
3 Reactions
539 Replies
9K Views
Waziri wa mambo ya nje wa Iran, Abbas Araghchi, ametangaza kuwa Iran itakubali kusitisha mapigano na Marekani “ikiwa mashambulizi dhidi ya Iran yatasitishwa”. Aliongeza kusema kuwa “kwa kipindi...
0 Reactions
0 Replies
311 Views
  • Redirect
Pamoja na kwamba niko upande wa Israel, na kwamba napenda sana kuona ugaidi wa dini ya muarabu ukiangamizwa, ila kwenye hili Marekani walichotaka kukifanya pale Iran, nilikua siafiki kabisa...
0 Reactions
Replies
Views
Kwa namna Donald Trump alivyotishia kushusha kiama Iran na namna alivyoufyata, Irani wanazidi kupata ushindi hata bila kupigana wala kujibu maneno yake. Breaking news ni kwamba Trump ametoa wiki...
5 Reactions
5 Replies
229 Views
  • Redirect
Niaje waungwana Habari ndio hiyo waungwana. Hii ni baada ya kuona Iran haitishiki na vitisho vyake, wala mikwara yake. So kaamua bora nusu shari, kuliko shari kamili. Big up Iran.. Kwa sasa...
10 Reactions
Replies
Views
Kauli ya mwisho ya Rais Trump kwa Tehran inaisha saa 2:00 PM saa za Washington (saa 3:30 AM saa za Iran, saa 3:00 Tanzania) usiku wa leo, ikiacha chini ya saa 10 tu. Tarehe ya mwisho, iliyowekwa...
3 Reactions
11 Replies
324 Views
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amethibitisha kuuawa kwa maafisa wawili wakuu ambao walikuwa wakitafutwa kwa muda mrefu kutokana na kuhusika kwao na vitendo vya kigaidi duniani. Kuuawa...
5 Reactions
26 Replies
623 Views
Baada Irgc kushindwa vita wameamua kuwatoa na kuwalazimisha wananchi wao kuwa kafara. Hii inaonyesha hili jeshi ni la kigaidi kabisa, inakuwaje. Wao wabaki kwenye mahandaki wajikinge watangulize...
2 Reactions
5 Replies
214 Views
Vyombo vya habari vya Iran vinaripoti kuwa kamanda wa Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC), Mohsen Shahavand, ameuawa katika mji wa Andimeshk, ulioko kaskazini mwa Ahvaz. Tukio hilo...
2 Reactions
21 Replies
484 Views
Hii si mara ya kwanza kwa Wairani kukumbana na vitisho kama kile kilichotolewa na Israel kuhusu mfumo wao wa Reli. Lakini hilo halimaanishi kwamba Wairani hawatachukulia kwa uzito. Vitisho kama...
3 Reactions
27 Replies
571 Views
FBI imeonya idara za polisi huko California kwamba Iran inaweza kulipiza kisasi kwa mashambulizi ya Marekani kwa kurusha ndege zisizo na rubani katika Pwani ya Magharibi ya Marekani, ABC News...
5 Reactions
44 Replies
2K Views
Asante Yesu Mungu kwa zawadi murua ya Pasaka mwaka huu kwa kutunukia ubinadamu. Pia shukrani za dhati ziwaendee Trump na Netanyahu. Isitoshe asante sana taifa teule na wateule kwa ujumla kupitia...
2 Reactions
1 Replies
122 Views
Vyanzo vyangu kutoka Iran vinaripoti kuwa kumetokea milipuko mikubwa nchini humo. Video zinazoonyesha milipuko karibu na kituo kikubwa cha makombora nje kidogo ya mji wa Isfahan zimethibitishwa...
2 Reactions
12 Replies
313 Views
Back
Top Bottom