International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

https://youtube.com/shorts/QXKmNjDbk9U?si=eo_ckgeSH-mDtbep Ujumbe ndio huo Iran anasema Israel kashambulia Iran lazima tufunge tena Hormuz hapa naona Iran anamtafuta Israel amtie adabu Hio ni...
8 Reactions
53 Replies
1K Views
🌲 - 🇱🇧🇱🇧 Chuo Kikuu cha Lebanon kilitangaza kifo cha Dkt. Ali Zeaiter, mkurugenzi wa Taasisi ya Sayansi ya Jamii - Tawi la 1. Zeaiter alikuwa mwanajeshi wa Hezbollah ambaye aluliwa asubuhi ya leo...
1 Reactions
1 Replies
95 Views
Jinsi ambavyo huwa naona hapa bongo watu wanavyogombania kazi za jeshini hadi wengine wanahonga, wanaenda kwa vimemo na wengine kutapeliwa huwa nashangaa sana jinsi jeshi la Marekani linvyoshindwa...
7 Reactions
52 Replies
1K Views
Kati ya mataifa 9 duniani yanayomiliki nyuklia, Marekani ndiyo taifa pekee lililowahi kutumia silaha za nyuklia katika vita kuishambulia nyingine. Mwishoni mwa Vita vya Pili vya Dunia Agosti...
8 Reactions
22 Replies
684 Views
A parliamentary inquiry has implicated corrupt politicians, local government officials, and some state agency representatives in a widening network of illegal land allocations on wetlands, leading...
1 Reactions
0 Replies
129 Views
Wanaukumbi. 🇺🇸🇮🇷 Iran yakataa usitishaji vita wa muda uliopendekezwa na wapatanishi wa Pakistan Afisa wa ngazi ya juu wa Iran alisema Tehran haitafungua tena Mlango-Bahari wa Hormuz kwa...
10 Reactions
121 Replies
2K Views
Urusi imezuia matumizi ya huduma ya ujumbe ya WhatsApp ikidai kampuni hiyo imekiuka sheria za nchi, huku wananchi wakihimizwa kuhamia kwenye jukwaa mbadala linaloungwa mkono na serikali, hatua...
4 Reactions
27 Replies
645 Views
Wakristo wengi wamekuwa wakishangilia maumivu, vita na vifo vinavyosababishwa na majeshi ya Israeli, kwa kisingizio cha kuiunga mkono au kulibariki taifa la Israeli. Je, msimamo huo unaendana na...
14 Reactions
66 Replies
918 Views
Kamal Kharrazi, ambaye aliwahi kuwa mwenyekiti wa Baraza la Mikakati la Iran kuhusu Mahusiano ya Kigeni (na hapo awali akiwa waziri wa mambo ya nje wa Iran), amefariki kutokana na majeraha...
3 Reactions
1 Replies
143 Views
Mapema wiki hii (Jumapili), IDF na ISA walimpiga na kumuua Abd al-Rahman Ammar Hassan Khudari, gaidi katika kundi la kigaidi la Islamic Jihad, ambaye alipanga shambulio la kigaidi dhidi ya...
0 Reactions
7 Replies
165 Views
Jarida la The Economist toleo la Mei 13, 2000, lilichapisha makala inayochora picha mbaya ya bara la Afrika, kuwa ni bara lisilo na matumaini, likiorodhesha mambo mbalimbali kama vile kukosekana...
0 Reactions
0 Replies
144 Views
Kwenu wana JF "We kumbe unacheza na Wayahudi ww. Labda Netanyahu ndio ampeleke Trump kuzimu lakini sio Trump kumpeleka Netanyahu kuzimu. Hv unajua kua wale Wayahudi waishio Marekani🇺🇸 ndio...
1 Reactions
13 Replies
285 Views
Pakistani ni mshenzi sana kawapo Iran fake document kuwa America kakubali masharti yake na pia America kawapa fake document kuwa Iran kakubali masharti yake kwa hio kila mmoja akawa na proclaimed...
6 Reactions
7 Replies
367 Views
Msemaji wa IDF: Maher Qassem Hamdan, Kamanda wa shirika la kigaidi la Lebanon Resistance Brigedi katika eneo la Chebaa kusini mwa Lebanon, ameangamizwa katika shambulio la IDF. Hamdan alihusika...
0 Reactions
1 Replies
100 Views
Shkurani sana Iran kwa kuitikia shurti ya Trump, kwa kweli hata sisi pro-Israel jameni mioyo ingetuuma kuona wananchi wa Iran wanafanyiwa kile ambacho Trump alikua ametishia kufanya...
10 Reactions
55 Replies
986 Views
Russia imethibitisha kuwa wanajeshi 16 wa Cameroon waliuawa katika vita vyake na Ukraine. Hakuna taarifa zozote zilizotolewa kubainisha jinsi wanajeshi hao walivyoishia kupigania Russia au...
1 Reactions
2 Replies
169 Views
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema makubaliano ya usitishaji vita wa muda na Iran hayaihusu Lebanon na kwamba nchi yake itaendelea kuwashambulia wanamgambo wa Hezbollah hadi...
2 Reactions
15 Replies
441 Views
Mvutano wa madaraka umeanza kuipasua Iran, viongozi wakigawanyika wazi kati ya wanaounga mkono makubaliano ya kusitisha mashambulizi na wale wanaosisitiza kuendeleza vita. Hali hii inaashiria...
5 Reactions
41 Replies
750 Views
Kupitia Mtandao wake wa Truth Social Rais wa Marekani Donald Trump amechapisha kuwa usiku wa leo inawezekana akaangamiza mji mzima wa Iran endapo hawatofanya maamuzi ya mapema ya Makubaliano ikiwa...
2 Reactions
23 Replies
494 Views
Back
Top Bottom