International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Naibu generali ndugu Mohammad Reza wa jeshi la walinzi wa mapinduzi ya Irani(IRGC) amesema kuwa licha ya kuwa Iran ina makombora yaliyo thabiti na inauwezo wa kuivamia USA kwa njia ya ardhini na...
1 Reactions
50 Replies
5K Views
Mtoto wa kiume kiongozi wa kundi la Hamas anayeitwa Mosab Hassan Youssef, amekuja wazi na kuonesha kutopendezwa na mienendo ya Kundi la Hamas, kitu ambacho kilipelekea kubadili dini na kuwa...
15 Reactions
66 Replies
5K Views
Akizungumza hivi karibuni, Trump alisema kuwa kama Marekani ndiyo “imeshinda vita”, basi ina haki ya kufikiria mfumo wa kutoza ada kwa meli zinazopita katika njia hiyo muhimu ya baharini badala ya...
8 Reactions
35 Replies
739 Views
Israel sio mtu wa Mazungumzo na magaidi. Kama Iran iliua muisrael yoyote hiyo imekula kwao. Mazungumzo ya Marekani na Iran si chochote kwa Israel. Waziri mkuu kashawapa funguo Wanajeshi wake waue...
3 Reactions
21 Replies
528 Views
Trump alijaribu kutuma Kikosi cha Wanamaji cha Marekani kupitia Mlango-Bahari wa Hormuz wakati wa mazungumzo nchini Pakistani. Iran ilisema haikujali mazungumzo na ingeilipua meli. Kisha Trump...
6 Reactions
6 Replies
561 Views
Taarifa zinazosambaa kwamba Marekani imekubali kuilipa Iran dola bilioni 6 ni propaganda za zinazorejelea tukio la zamani lililotokea Septemba 2023 kipindi Biden akiwa Rais wa Marekani. Dola...
3 Reactions
7 Replies
220 Views
Kuna kila sababu ya marekani kupotea kwenye ramani ya super power na ushawishi wake kwenye maswala ya kidiplomasia duniani ikiwa haitoweza kuipigisha Iran magoti. Katika hii vita tumeona na...
3 Reactions
47 Replies
1K Views
Wanaukumbi. 🚨 MABADILIKO MAKUBWA KATIKA NGUVU YA DUNIA: BRICS sasa inaivutia Jumuiya ya Kiarabu Balozi wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu nchini Urusi, Walid Hamid Shiltag, anasema BRICS inaonekana...
1 Reactions
17 Replies
346 Views
Magaidi wa Hezboullah huko Lebanon toka jana na leo wamegaragazwa vibaya sana, wengi wa makamanda wao wameuwawa pamoja na wapiganaji wao. Picha hizi ni baadhi tu ya makamanda wao waliouliwa...
2 Reactions
44 Replies
741 Views
Niaje waungwana Naona Netanyahu kawekwa mtu kati 🤣🤣🤣🤣 Akienda mbele nchale ( Iran ) Akirudi nyuma nchale ( Hezbollah ) Akikaa nchale ( Houthis ) Muona mbali, na mjuzi wa mambo ya vita...
9 Reactions
31 Replies
1K Views
Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu alisema Israeli inaendelea kuishambulia Hezbollah "kwa nguvu, usahihi, na azma," akitangaza kumwondoa Ali Youssef Kharshi, katibu binafsi wa shirika la kigaidi la...
3 Reactions
27 Replies
515 Views
Kuna msemo wa kiingereza husema hivi "mpe mbwa wako jina baya, kisha umuue". Mnamo tarehe 8 mwezi huu Raisi wa Marekani Donald Trump ametangaza kwamba jeshi la mapinduzi la Iran, ambalo ni sehemu...
27 Reactions
80 Replies
10K Views
Tofauti na waziri wake wa ulinzi,Hegeseth,Trump yeye hajivungi tena kuhusu kushindwa vita alivyovianzisha na Iran. Wakati wa mahojiano hapo jana na mashirika ya habari.Trump amerudia kwa mara...
9 Reactions
19 Replies
540 Views
Wanaukumbi. 🇮🇱🇮🇷🇱🇧🇺🇸 Usitishaji mapigano uko karibu kuvunjika, Iran inajiandaa kuitenga Israeli kutoka kwa mchakato wa mazungumzo kutokana na shambulio kubwa dhidi ya Lebanon Iran yafunga...
8 Reactions
117 Replies
1K Views
Hebu msikilize huyu myahudi https://youtu.be/FWAk6JNTv0s?si=1hE0a49Ql33hDgAY
6 Reactions
92 Replies
1K Views
Roketi ya NASA ya kwenda Mwezini sasa iko rasmi kwenye eneo la kurushia roketi. Roketi hii kubwa ya NASA yenye urefu wa futi 322 iitwayo Space Launch System (SLS) imekamilisha safari yake ya...
6 Reactions
36 Replies
1K Views
Nimezungumza humu JF kuhusu Serikali kupiga Marufuku Dini. Basis kubwa ya dai hilo ni Unabii wa Biblia tafadhali soma Ufunuo Sura 17. Sura hiyo kwa lugha ya mfano inamtambulisha mwanamke kahaba na...
2 Reactions
28 Replies
636 Views
Wengi waliambiwa lakini hawakusikia. Rais wenu aliyekuwa ''mfano wa kuigwa wa Afrika'', tayari keshalewa madaraka. Nukuu: ''Demokrasia inaua na watu wa Burkina Faso lazima wasahau kuhusu hilo”...
15 Reactions
68 Replies
1K Views
Nimeshangaa mno na uwezo wa baadhi ya watu wanaoshabikia kuwa America amekubali masharti ya Iran, yaani ata vikao vya mazungumzo bado ila wabongo washa conclude. In my opinion Iran ni tough...
11 Reactions
53 Replies
1K Views
Back
Top Bottom