Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 9,000
- 7,618
Msemaji wa IDF:
Maher Qassem Hamdan, Kamanda wa shirika la kigaidi la Lebanon Resistance Brigedi katika eneo la Chebaa kusini mwa Lebanon, ameangamizwa katika shambulio la IDF.
Hamdan alihusika na kuajiri magaidi, usambazaji wa silaha, na ufadhili wa Brigedi za Lebanon Resistance huko Chebaa.
Magaidi wengine wanane waliokuwa wakikimbia eneo la Chebaa hadi eneo la Sidon pia waliangamizwa .
Maher Qassem Hamdan, Kamanda wa shirika la kigaidi la Lebanon Resistance Brigedi katika eneo la Chebaa kusini mwa Lebanon, ameangamizwa katika shambulio la IDF.
Hamdan alihusika na kuajiri magaidi, usambazaji wa silaha, na ufadhili wa Brigedi za Lebanon Resistance huko Chebaa.
Magaidi wengine wanane waliokuwa wakikimbia eneo la Chebaa hadi eneo la Sidon pia waliangamizwa .