YONI NETANYAHU ALIHESHIMIWA ENTEBBE—MIAKA 50 BAADAE
Sanamu ya shaba ya Luteni Kanali Yoni Netanyahu sasa imesimama katika kituo cha zamani cha Uwanja wa Ndege wa Entebbe, ikizinduliwa katika kumbukumbu ya miaka 50 ya Operesheni Entebbe.
Yoni aliuawa alipokuwa akiongoza uokoaji wa mateka wa 1976.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, aliongoza sherehe hiyo.
View: https://x.com/mossadil/status/2083784686954746187?s=61
Ndio ujinga wa mweusi yani IDF imewauwa Wajeda wao kibao katika ukombozi wa kijinga kabisa!!
Kwasasa tujue Ingekuwa watekaji wanataka kuwauwa mateka wote wangewamaliza ndani ya ndege au pale Airport lkn tufahamu lengo la watekaji lilikuwa lengine sio kuwauwa mateka👈
Watekaji walikuwa na madai yao yanayowezekana 👈
lkn kiburi cha IDF kutaka sifa za kijinga Ndio kupelekea Vifo vya wengi pale Airport ✍️
Nisawa na tu Gaza kile Hamas wametaka siku ya kwanza ndicho icho kimekuja kutekelezwa baada ya miaka 2 ya kumwagika Damu za pande zote mbili mpaka mateka wenyewe wamelipia Damu zao!!
Niliwai sema ingekuwa kweli Waisrael wana akili kudhidi binadamu wengine basi tukio lile la Gaza ni kipimo mujarabu kujua uwezo wa Jamii inapofikwa na changamoto👈
Ikumbukwe Israel ina silaha za kila aina ndege vita Vifaru Meli za kijeshi manake Jeshi kamili👈
Kwamba wkt wowote wakiamua kuwauwa wengine wasio na silaha inawezekana👈
.
tofauti na Hamas hawana kifaru ndege Vita meli nk. Silaha zao ni ndogo ndogo tu lkn zinauwa na vi rocket👈
Baada ya kutekwa wazayuni ile October 7 👈
Narudia Kipimo cha Akili kinajionesha kivutendo sio kudhani labda wale wanaakili zaidi kwanini udhani wkt vipimo vya matendo unaviona mwenyewe👈
Ingekuwa wana izo Akili Israel na maguvu yake ya kupewa👈
kwanza wangetoa umuhimu wa Usalama wa WANANCHI wao
Sababu ukichunguza madai ya Hamas sio magumu kabisa👈
Hamas walitaka tu Raia wao wanaoshikiliwa uko kwenye Lupango za Israel waachiwe basi✅️
nawao wangewaachia wazayuni wote ✅️
Lkn kiburi cha silaha za kupewa undondocha wa kichwani wakachagua kwenda kuwakomboa kwa Mtutu❗️👈
kilichotokea ndio kile👈
leo baadhi ya Mateka wa kizayuni walio achiwa kwa
msaada wa Trump 👈
wenyewe wakiongea wanawasifia Hamas na wanasema wamewapigania sana wasife kwa Mabomu ya IDF
Sasa wanaumbuka IDF mana walienda kuwakomboa wanawasifia watekaji Hamas 😇
Kilichowauma mateka ni jinsi uwepo wao kule umepuuzwa✍️
kiasi kupigwa Mabomu na wanzao kufa kwa Mabomu ya IDF✍️
Kwanini kwanza wasingekubali kubadilishana mateka kisha Waanze Vita vyao😇😇😇😇😇😇😇
Ripoti za mashirika ya kutetea wafungwa wanaoshikiliwa yote yameishutumu Israel jinsi ilikuwa inawatendea Wapalestina kwenye Lupango zao 👈
iyo kabla ya ile October 7.
Mwisho
Utagundua Hamas walikuwa na Sababu za msingi kufanya kile wamefanya ✍️