CNN, wanarepoti kuwa Israel imeendelea kufanya mashambulizi makali ya anga usiku wa kuamkia Leo.
Haya yanajili baada ya jana Iran kufanya mashambulizi kama sehemu ya onyo kwa Israel kuacha...
Katika mashambulio hayo mapya Hizbullah wametlumia makombora aina ya FAD 3 wamesema yamelenga yaliplokusudiwa ikithibitishwa na IDF waliosema wametungua baadhi yake,
Sehemu zilizokusudiwa...
Msemaji wa IDF mh Hagai amesema wamekuwa wakioparate ndani ya Lebanon kwa miezi sasa hivyo wanajua kila kitu kuanzia Kijiji alichozaliwa kila Kiongozi wa Hezbollah, uwezo wao kifedha, wanakozipata...
Mwanzo alitokea muuaji wa watoto wasio na hatia Fashisti Nduli Benjamin Netanyahu Bibi, akatamba kuwa wanajua kila kinachoendelea ndani ya Iran. Akadai wana uwezo wa kufika mahali popte ndani ya...
Diego Garcia, kisiwa kilicho mbali katika Bahari ya Hindi, ni peponi kwa mimea na fukwe zenye mchanga mweupe, kwenye maji ya buluu.
Lakini kisiwa hiki sio kivutio cha watalii. Ni kituo cha kambi...
Waziri Mkuu wa Israel mh Netanyahu amesema kamwe Israel haitakubali Uwepo wa Mataifa Mawili
Malengo ya Vita ni kuifuta Hamas na kuokoa Mateka na lazima tufikie lengo hakuna wa kurudisha Nyuma...
Magharibi wako mbali sana kimahesabu.
Westerners ni nyoko. Naona mahesabu yao ni Far East akiwemo Putin, Jon Jun, na wapuuzi wengine wasiojali haki za binadamu.
Saudia Yeye hana cha kusema, UAE...
Rubani wa ndege ya Kivita ya Urusi alimsurprise Rubani mwenzake aliyekua anaendesha ndege ya Kivita ya Marekani F- 16 akiwa katika doria karibu na pwani ya Alaska na kumfanya apagawe kwa namna...
Hiyo ndo habari mpya watarusha makombora 1500 kwa wakati mmoja
First wave itakua na makombora 1500
Second wave itakua na makombora 1500
Third wave itakua na makombora 1500
Jumla makombora...
Wayahudu ndio brain kubwa zinazofanya mambo makubwa huko US , Russia, Ukraine,Iran na nchi nyingine
Hivyo sioni ajabu kwa US kumpa silaha Israel ,na ni lazima Israel ilindwe kwa manufaa ya wengi
Video: Jordan imeua raia wake wakati ikijaribu kuisaidia Israel kutungua makombora ya Iran
Kupatwa kwa Jordan[emoji15] ndo wakome kabisa kuwa shield ya wazayuni kwa bahati mbaya leo wamejitahidi...
Mauaji haya yanayo tekelezwa na Israel kwenda kwa viongozi wa makundi hasimu yanayo washambulia na kuharibu mipango yao yanafanana na mauaji yaliyokuwa yakifanywa na serikali mbalimbali dhidi ya...
Wadau hamjamboni nyote?
Nimeona niwaletee picha rasmi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Iran Ayatollah Sayyid Ali Hosseini Khameneh
Picha husika hutumika kwenye shughuli rasmi za kiserikali...
Wanaukumbi.
Baada ya Israel kumuuwa kiongozi wa Hezbollah wanadhani vitu vimeisha ndiyo kwanza kuna zaidi ya makombora 1000.0000 hayajagushwa.
Walowezi watatu wa Israel wamejeruhiwa katika...
URGENT - ATTACK DRONES LAUNCHED FROM IRAN; BALLISTIC MISSILES ***FIRED****
THE SITUATION IN THE MIDDLE EAST CONTINUES TO WORSEN: ATTACK DRONES LAUNCHED FROM IRAN/IRAQ BORDER AND BALLISTIC...
What does a ground offensive mean for Lebanon and Israel?
Israel has learned from its mistakes during the 2006 invasion, but so has Hezbollah. So what is the plan?
Hayo ni maneno ya AJ,nauliza...
Mimi siwaelewi watu wanaoshabikia vita kama vile ni Premier League. Hivi hatuelewi huko Ukraine, Gaza na sasa Lebanon watu (ikiwa pamoja na watoto) wanakufa, wanapata ulemavu na maisha yao...
Waziri Mkuu wa Israel ameongea kwa kutumia vyombo vya habari na wananchi wa kawaida wa Irani na kuwataka wananchi wa nchi hiyo kuachana ama kujitenga na utawala wa nchi hiyo.
Msikilize.
Benjamin...
Wabunge wa kambi ya upinzani nchini Albania wamevuruga kikao cha Bunge kupinga hatua ya kufungwa Gerezani Mbunge mwenzao kwa tuhuma za kusema uwongo.
Wabunge hao wamesema kufungwa kwa Ervin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.