Naona mijadala inayoendela imejaa mihemko ya udini.
Yule mwenye ushahidi Vita vile pale mashariki ya kati ni vya "dini" embu atupe. Na atuambie ni dini gani hizo
Ushahidi wa direct sio wa kuunga...
Hali ni mbaya sana Majeshi ya Israel yamelipua Kamandi kuu ya Hezbollah.Milipuko mikubwa imeutikisa mji wa kusini wa Beirut katika shambulio jipya la anga la Israel.
Mawingu mazito ya moshi...
Shirika La Umoja Wa Mataifa Linalohusika Na Wakimbizi, UNRWA, lathibitisha kiongozi wa Hamas, Lebanon alikuwa mfanyakazi wao 🤔
.....
The United Nations agency for Palestinian refugees confirms...
Nikiri tu kwamba baada ya Hezbollah kukiri kifo cha Sayyed Hassan Nasrallah baada ya shambulizi la ijumaa, naona Mossad wamejipenyeza ndani kabisa ya uongozi wa Hezbollah.
Kiukweli sidhani kama...
Ukiona hadi GENTAMYCINE nampenda Mtu jua nimeshamtathmini kwa Vigezo vyangu vyote na kugundua kuwa ana Akili, Mbabe, Jeuri halafu ni Mpenzi wa Visasi vya Kuwanyoosha Wajinga (Madunduka) na...
Hezbolla, magaidi wa waislamu wakanusha kwamba kwa sasa hawajamchagua kiongozi yeyote.... Kwa namna viongozi wao wanaliwa, kila mmoja lazima aogope kutajwa yeye.............Maana ukitajwa tu...
Isarael any time soon anafanya ground invasion ndani ya Lebanon. Hapo Hezbollah ndo watajua hadithi za 2006 zilikuwa mtego ili wajisahau
Photos: Israel deploys tanks near Lebanon border
[Menahem...
News alert Netanyau awaahidi watu wa iran kuwa nchi yao itakuwa huru hivi karibuni , asema wataishi nao kwa amani kama ilivyokuwa zamani
Waziri Mkuu huyo amewaambia watu wa Iran wasiruhusu...
The Israeli cyber army on Saturday hacked into the control tower of Beirut Airport, the Rafic Hariri International Airport. The IDF breached the communication network of the control tower and...
Muda mwingine huwa tukiwa critical na mambo ya hawa jamaa wengine wanadhani ni kwa sababu tuna chuki binafsi ya Dini fulani.
HEZBOLLAH ni KIBOKO YA WACHAWI aliechangamka.
Hawa jamaa ni matapeli...
Mamlaka za Lebanon zimesasisha hivi punde kuwa idadi ya waliofariki kutokana na mashambulizi ya anga ya Israel leo imefikia watu takriban 274 sasa. 21 kati yao ni watoto, kulingana na wizara ya...
Lebanon
Ni Nchi tajiri na yenye mchanganyiko wa tamaduni, dini, na migogoro. Lebanon ilikuwa nyumbani kwa Wanafikra na walikuwa maarufu kwa biashara na utamaduni. Miji kama Tiro na Sidon ilikua na...
Magaidi ya waislamu, Hezbollah inasababisha shida kubwa sana kwa wananchi wa Lebanon, na mbaya zaidi haya magaidi sio raia wa nchi hiyo, ni majitu yametokea huko mbali yamejawa na mzuka wa...
Unafiki wa waislamu, wao wanalazimisha sharia zao uzunguni, wakiguswa kidogo hung'aka sana, ila wao wachokozi, wana ugomvi na kila dini dunia hii, mavita vita kila mahali na ukizingatia uislamu...
Kuna baadhi ya vyombo vya habari vinaonesha baadhi ya wasiria wakishangilia kushambuliwa kwa Hezbollah.
Nilidhani kwa kuwa ni waarabu wenzao labda wangesikitika badala yake wanashangilia.
Nini...
News alert UNRWA yakiri Kiongozi wa Hamas aliyeuawa Lebanon alikuwa muajiriwa wake, alipewa likizo bila malipo kupisha uchunguzi
Wadau hamjamboni nyote?
Shirika la umoja wa mataifa la...
Ukiondoa itikadi za dini na mihemko, huu uchambuzi uliofanywa na kituo cha SNS unatoa mwanga halisi wa kinacho endelea.
Bigup kwa huyu ostadh ambaye anajadili facts sio zile story za vijiweni za...
1 hr 53 min ago
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
1 million people displaced in Lebanon, prime minister says
One million people in Lebanon have “moved from place...
Huku eneo la Gaza likiwa limezingirwa na Israel na viongozi kadhaa wa Hizbullah na Hamas kuuliwa inatoa ishara ya ushindi kwa Israel. Hata hivyo kushambuliwa kwa meli za kivita za Marekani na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.