Israel irushe hata jiwe hapo Tehran tuone!

Israel irushe hata jiwe hapo Tehran tuone!

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
16,995
Reaction score
63,020
Mwanzo alitokea muuaji wa watoto wasio na hatia Fashisti Nduli Benjamin Netanyahu Bibi, akatamba kuwa wanajua kila kinachoendelea ndani ya Iran. Akadai wana uwezo wa kufika mahali popte ndani ya Iran.

Kesho yake wanaume wakanyesha vimondo 180 kule Tel Aviv kwenye kambi za kijeshi. Mpaka sasa akina Netanyahu wanakoroma tu, wapo wanalialia kwa Marekani iwasaidie.

Kama Waisrael wanajua kila kinachoendelea ndani ya Tehran, inakuwaje wanaume wanasogeza vimondo, kuvipiga starter na kuvituma kwa kasi kubwa kuitwanga Tel-Aviv na wao wasiviangamize mapema kabla havijaachiwa?

Iran kasema MaInterahamwe ya Israel yathubutu kuleta fyoko yaje yaone moto utakavyowawakia non-stop. Sasa mimi nangoja Mazayuni yarushe hata jiwe hapo Tehran.

Hii ngoma imeshakuwa ya wakubwa, Wajukuu wa King Cyrus, watu waliopigana na Toman Empire kwa miaka zaidi ya 1000 siyo watu wa kuchezewa na Yahudi mpenda fujo, Yahudi atapigwa!.

Kumbe sikufanya makosa kujiita "Missile of the Nation", Lugha pekee anayoielewa Zayuni ni missile tena hypersonic inayoenda kasi ajabu!


View: https://www.youtube.com/watch?v=RYzBI5DNIk4&ab_channel=OpenmindedThinkerShow
 
Mwanzo alitokea muuaji wa watoto wasio na hatia Fashisti Nduli Benjamin Netanyahu Bibi, akatamba kuwa wanajua kila kinachoendelea ndani ya Iran. Akadai wana uwezo wa kufika mahali popte ndani ya Iran. Kesho yake wanaume wakanyesha vimondo 180 kule Tel Aviv kwenye kambi za kijeshi. Mpaka sasa akina Netanyahu wanakoroma tu, wapo wanalialia kwa Marekani iwasaidie.
Kama Waisrael wanajua kila kinachoendelea ndani ya Tehran, inakuwaje wanaume wanasogeza vimondo, kuvipiga starter na kuvituma kwa kasi kubwa kuitwanga Tel-Aviv?
Iran kasema MaInterahamwe ya Israel yathubutu kuleta fyoko yaje yaone moto utakavyowawakia non-stop. Sasa mimi nangoja Mazayuni yarushe hata jiwe hapo Tehran.

Hii ngoma imeshakuwa ya wakubwa, Wajukuu wa King Cyrus, watu waliopigana na Toman Empire kwa miaka zaidi ya 1000 siyo watu wa kuchezewa na Yahudi mpenda fujo, Yahudi atapigwa!.

Kumbe sikufanya makosa kujiita "Missile of the Nation", Lugha pekee anayoielewa Zayuni ni missile tena hypersonic inayoenda kasi ajabu!


Hii thread naiweka hapa kama kumbukumbu baadae usije kukimbia haya uliyoaandika . Nakuhakikishia kichwa cha Ayatollah kina katwa pamoja na hao majenerali wake wote na ndio utakuwa mwisho wa utawala wa kidini . Niamini kwenye hili.
 
Mwanzo alitokea muuaji wa watoto wasio na hatia Fashisti Nduli Benjamin Netanyahu Bibi, akatamba kuwa wanajua kila kinachoendelea ndani ya Iran. Akadai wana uwezo wa kufika mahali popte ndani ya Iran. Kesho yake wanaume wakanyesha vimondo 180 kule Tel Aviv kwenye kambi za kijeshi. Mpaka sasa akina Netanyahu wanakoroma tu, wapo wanalialia kwa Marekani iwasaidie.
Kama Waisrael wanajua kila kinachoendelea ndani ya Tehran, inakuwaje wanaume wanasogeza vimondo, kuvipiga starter na kuvituma kwa kasi kubwa kuitwanga Tel-Aviv na wao wasiviangamize mapema kabla havijaachiwa?
Iran kasema MaInterahamwe ya Israel yathubutu kuleta fyoko yaje yaone moto utakavyowawakia non-stop. Sasa mimi nangoja Mazayuni yarushe hata jiwe hapo Tehran.

Hii ngoma imeshakuwa ya wakubwa, Wajukuu wa King Cyrus, watu waliopigana na Toman Empire kwa miaka zaidi ya 1000 siyo watu wa kuchezewa na Yahudi mpenda fujo, Yahudi atapigwa!.

Kumbe sikufanya makosa kujiita "Missile of the Nation", Lugha pekee anayoielewa Zayuni ni missile tena hypersonic inayoenda kasi ajabu!
Israel haishindan na mashogaaa wa Iran subiri kichapooo

Mashogaa woteelazima waisheee
 
Hii thread naiweka hapa kama kumbukumbu baadae usije kukimbia haya uliyoaandika . Nakuhakikishia kichwa cha Ayatollah kina katwa pamoja na hao majenerali wake wote na ndio utakuwa mwisho wa utawala wa kidini . Niamini kwenye hili.
Kuua kiongozi wakati mfumo wa kumreplace bado uko intact ni ujinga!
 
Mwanzo alitokea muuaji wa watoto wasio na hatia Fashisti Nduli Benjamin Netanyahu Bibi, akatamba kuwa wanajua kila kinachoendelea ndani ya Iran. Akadai wana uwezo wa kufika mahali popte ndani ya Iran. Kesho yake wanaume wakanyesha vimondo 180 kule Tel Aviv kwenye kambi za kijeshi. Mpaka sasa akina Netanyahu wanakoroma tu, wapo wanalialia kwa Marekani iwasaidie.
Kama Waisrael wanajua kila kinachoendelea ndani ya Tehran, inakuwaje wanaume wanasogeza vimondo, kuvipiga starter na kuvituma kwa kasi kubwa kuitwanga Tel-Aviv na wao wasiviangamize mapema kabla havijaachiwa?
Iran kasema MaInterahamwe ya Israel yathubutu kuleta fyoko yaje yaone moto utakavyowawakia non-stop. Sasa mimi nangoja Mazayuni yarushe hata jiwe hapo Tehran.

Hii ngoma imeshakuwa ya wakubwa, Wajukuu wa King Cyrus, watu waliopigana na Toman Empire kwa miaka zaidi ya 1000 siyo watu wa kuchezewa na Yahudi mpenda fujo, Yahudi atapigwa!.

Kumbe sikufanya makosa kujiita "Missile of the Nation", Lugha pekee anayoielewa Zayuni ni missile tena hypersonic inayoenda kasi ajabu!


View: https://www.youtube.com/watch?v=RYzBI5DNIk4&ab_channel=OpenmindedThinkerShow

Mkuu umesahau walimuua kamanda wa hamas ndani ya Iran...
Mimi niko upande wa Iran japo nimeanza kuwa na mashaka kuwa huenda kaingia kwenye mtego wao.
 
Mkuu umesahau walimuua kamanda wa hamas ndani ya Iran...
Mimi niko upande wa Iran japo nimeanza kuwa na mashaka kuwa huenda kaingia kwenye mtego wao.
Waajemi ni Taifa Kongwe lipo hapo zaidi ya miaka 3000 iliyopita, hawababishwi na kataifa kadogo kama hako ka mazayuni.

Lazima ujue Iran ina uwezo wa kustrike back.
The only Scenario Iran inaweza kuumizwa ni pale Marekani akiingia mzimamzima na kuweka military assets zake zote zitumike kuisaidia Israel.

Israel kama Israel haina hata silaha za kutosha kumaliza vita Gaza, ni mpaka ipewe na marekani.
 
Mkuu umesahau walimuua kamanda wa hamas ndani ya Iran...
Mimi niko upande wa Iran japo nimeanza kuwa na mashaka kuwa huenda kaingia kwenye mtego wao.
Mkuu nilitaka kuandika issue moja nkakuta mshana Jr ameandika

Iran walitengeneza kikosi chao maalum cha kujilinda

Ktkt hicho wakaja shtuka. Anaeongoza n member wa kikosi hatari cha Israel masoued

L

Haitoshi ndani yake wakakuta watu 20 plus n member wa masudiii sio yulejambazi kwenye wimboo

Ujue lile zoezi bado linaendelea mpaka leo ndanni ya Iran masudiiii wakoo kama woteee

Wee masudiiiii weweeeee salute kwenuu
 
Iran has lost her deterrence, especially with yesterday's pre-meditated attack which was carefully coordinated. Quite spectacular, but not ruthless at all.

One simple way a nation can achieve full spectrum deterrence against an asymmetrical enemy like the United States and her precious proxy Israel, is through ruthless escalations.

If Iran has just surprised Israel and bombarded both civilian and military objects, the damage could have more surreal. And this would have forced Washington and East Jerusalem to reconsider their policies, not only against Iran, but also Lebanon and Gaza.

And actually some of you think Iran is fighting Israel, NO. Iran is fighting the collective West led by a Mega-bully the United States who uses her important imperial asset Israel to distabilize the Levant.

Iran sought to re-astablish her lost deterrence with yesterday's attack, but in turn achieved the opposite. More Western Sanctions and casus belli for military actions against her and her proxies.​
 
Mkuu umesahau walimuua kamanda wa hamas ndani ya Iran...
Mimi niko upande wa Iran japo nimeanza kuwa na mashaka kuwa huenda kaingia kwenye mtego wao.
Mkuu nilitaka kuandika issue moja nkakuta mshana Jr ameandika

Iran walitengeneza kikosi chao maalum cha kujilinda

Ktkt hicho wakaja shtuka. Anaeongoza n member wa kikosi hatari cha Israel masoued

L

Haitoshi ndani yake wakakuta watu 20 plus n member wa masudiii sio yulejambazi kwenye wimboo

Ujue lile zoezi bado linaendelea mpaka leo ndanni ya Iran masudiiii wakoo kama woteee

Wee masudiiiii weweeeee salute kwenuu
 
Mwanzo alitokea muuaji wa watoto wasio na hatia Fashisti Nduli Benjamin Netanyahu Bibi, akatamba kuwa wanajua kila kinachoendelea ndani ya Iran. Akadai wana uwezo wa kufika mahali popte ndani ya Iran. Kesho yake wanaume wakanyesha vimondo 180 kule Tel Aviv kwenye kambi za kijeshi. Mpaka sasa akina Netanyahu wanakoroma tu, wapo wanalialia kwa Marekani iwasaidie.
Kama Waisrael wanajua kila kinachoendelea ndani ya Tehran, inakuwaje wanaume wanasogeza vimondo, kuvipiga starter na kuvituma kwa kasi kubwa kuitwanga Tel-Aviv na wao wasiviangamize mapema kabla havijaachiwa?
Iran kasema MaInterahamwe ya Israel yathubutu kuleta fyoko yaje yaone moto utakavyowawakia non-stop. Sasa mimi nangoja Mazayuni yarushe hata jiwe hapo Tehran.

Hii ngoma imeshakuwa ya wakubwa, Wajukuu wa King Cyrus, watu waliopigana na Toman Empire kwa miaka zaidi ya 1000 siyo watu wa kuchezewa na Yahudi mpenda fujo, Yahudi atapigwa!.

Kumbe sikufanya makosa kujiita "Missile of the Nation", Lugha pekee anayoielewa Zayuni ni missile tena hypersonic inayoenda kasi ajabu!


View: https://www.youtube.com/watch?v=RYzBI5DNIk4&ab_channel=OpenmindedThinkerShow

🤣🤣🤣
 
Waajemi ni Taifa Kongwe lipo hapo zaidi ya miaka 3000 iliyopita, hawababishwi na kataifa kadogo kama hako ka mazayuni.

Lazima ujue Iran ina uwezo wa kustrike back.
The only Scenario Iran inaweza kuumizwa ni pale Marekani akiingia mzimamzima na kuweka military assets zake zote zitumike kuisaidia Israel.

Israel kama Israel haina hata silaha za kutosha kumaliza vita Gaza, ni mpaka ipewe na marekani.
🤣🤣🤣
 
Wale jamaa na marekan hawafai awachelewi kukutumia kimbunga fatuma ama kimbunga masoud

Ukajuta wakati unawaza kusaidia Watu wako na maafa unatumiwa mzigoo wakoo kwenye percelyakoo unakumbhka jhansi ndio yale majibu yameanza
 
Back
Top Bottom