johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Waziri Mkuu wa Israel mh Netanyahu amesema kamwe Israel haitakubali Uwepo wa Mataifa Mawili
Malengo ya Vita ni kuifuta Hamas na kuokoa Mateka na lazima tufikie lengo hakuna wa kurudisha Nyuma, amesisitiza mh Netanyahu
Hata hivyo msimamo wa Netanyahu umewaudhi Sana Marekani na Uingereza
Source Al jazeera news
Malengo ya Vita ni kuifuta Hamas na kuokoa Mateka na lazima tufikie lengo hakuna wa kurudisha Nyuma, amesisitiza mh Netanyahu
Hata hivyo msimamo wa Netanyahu umewaudhi Sana Marekani na Uingereza
Source Al jazeera news