International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Hili si suala la ushabiki wala kiimani. Uungwana siku zote ni kujitendea haki mwenyewe kwa kuukabili ukweli hata kama ni mchungu. Sote ni wafu watarajiwa na kwa mola tutarejea. Hata ipo tofauti...
19 Reactions
107 Replies
5K Views
"AN/PSQ-42 Enhanced Night Vision Binocular (ENVG-B) ni kifaa cha kuona usiku cha kizazi cha tatu (kisichotoa mwanga) kilichoandaliwa kwa ajili ya Jeshi la Marekani. ENVG-B mpya na FWS-Is...
13 Reactions
86 Replies
4K Views
Duru zinatabanaisha, Zelensky ameshajiandaa kukimbilia uhamishoni Nchini Uingereza endapo tu Rais Trump atatangaza usitishwaji wa msaada wa silaha na fedha zinazofadhiri vita ya Nchi yake dhidi ya...
0 Reactions
4 Replies
727 Views
Mimi nadhani mnachanganya Mungu na itikadi yenu. Ya Mungu ni ya Mungu, ya itikadi yenu ni itikadi Kwa hio Mungu ndio aliwatuma hamas kwenda kila nyumba na kuua kila familia na kuwachoma moto...
0 Reactions
11 Replies
508 Views
The primary objectives of Benjamin Natanyahu to declare war on Gaza in Octomber 2023 were among others: 1. To eliminate the group of Hamas completely and also 2. To free the 100+ captives taken...
11 Reactions
70 Replies
2K Views
Mtoto mdogo kama huyu ananyimwa haki yake ya malezi bora yasiyokubikwa na asili ya ukanda, uadui, hofu na damu lakini too bad atalelewa na matapeli watakaomwambia kuwa wayahudi, wakristo na...
2 Reactions
7 Replies
565 Views
Tiktok imetangaza huduma zake kurejea nchini Marekani, baada ya juhudi za Trump kurefusha muda wa majadiliano mpaka hapo atakapoingia madarakani rasmi. Sababu nyingine kubwa ya Trump kuipambania...
2 Reactions
6 Replies
922 Views
Barghoit anasadikiwa kuwa ndio Mandela wa Palestina. Habari kamili: Mwanasiasa wa Kipalestina, Marwan Barghouti, kiongozi wa vuguvugu la Fatah ambaye kwa sasa anazuiliwa katika jela ya Israel...
1 Reactions
2 Replies
701 Views
Kampuni ya TikTok imetangaza kwamba itasitisha rasmi shughuli zake nchini Marekani ifikapo Januari 19, 2025, iwapo Mahakama Kuu haitasitisha au kuchelewesha sheria inayotaka ByteDance, kampuni...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Idadi kubwa ya watumiaji wa TikTok Marekani wamemtusi Mark Zuckerberg kwa kumuita mjusi wakidai yeye ndiye mfitini mkubwa wa TikTok kufungiwa ili kampuni yake ya META iongeze watumiaji Watumiaji...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Watu wako mtaani kushangilia, you can't kill people's ambition by bombs, Palestine must be free
3 Reactions
43 Replies
2K Views
DR Congo: Rwandan-backed armed group and Congolese army must stop using explosive weapons in densely populated areas - Amnesty International FOR IMMEDIATE RELEASE Inaccurate explosive weapons...
0 Reactions
1 Replies
576 Views
Wakati makombora yanarushwa kutoka Gaza kuelekea Israel, Jeshi la Israel huwa wanawaisha raia kwenda kwenye mahandaki. Hamas hali ipo tofauti, huwa wanakimbilia kwenye mahandaki na kuwaacha raia...
0 Reactions
3 Replies
485 Views
Wiki iliyopita, tarehe 7, Januari 2025, akiwa Mar a Lago, Rais Trump alichimba biti. Alisema kwamba ifikapo tarehe 20 mwezi hao mateka wa Hamas hawajaachiwa, basi huko Mashariki ya Kati...
24 Reactions
161 Replies
7K Views
Wadau hamjamboni nyote? Mateka 3 wameachiwa huru kwenye utekelezaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano.baina ya Israel na magaidi wa hamas Romi Gonen, Doron Steinbrecher, na Emily samari...
0 Reactions
0 Replies
594 Views
Wadau hamjamboni nyote? Mpango kusitisha vita umekwama hadi pale Hamas iwasilishe orodha ya majina ya Waisrael watakaoachiwa Netanyau asema IDF itaendelea kuishambulia gaza kwa ndege vita hatari...
4 Reactions
31 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Inasikitisha lakini ndiyo gharama za makubaliano kusitisha vita baina ya Israel na hamas. Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: January 18, 2025 Notorious Fatah...
1 Reactions
41 Replies
2K Views
Tunamwachia Mungu
10 Reactions
142 Replies
6K Views
Uganda tayari ina mafuta, South Sudan inayo, Kenya inayo, Zanzibar nayo inayo (hata yawe kinibu ni mafuta ya Zanzibar) na sasa Rwanda nayo imepata mafuta yake. Je Tanganyika vipi...
0 Reactions
16 Replies
878 Views
Back
Top Bottom