International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inapenda kuufahamisha Umma kwamba, Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imeondoa hitajio la visa kwa Raia wa Tanzania...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
Trump anazidi kuwaumbua Wapinzani wanaodanganya watu kwamba Rais wetu ana madaraka makubwa. Huyu wa Nchi kubwa ya Kidemokrasia mbona nae ana madaraka makubwa kuliko Hadi wa kwetu? Ikumbukwe Trump...
3 Reactions
75 Replies
3K Views
Maadui wa Israeli hawako salama popote. Kiongozi wa Namba 1 wa Hamas, Sinwar, aliangamizwa Gaza 🇵🇸. Kiongozi wa namba 2 wa Hamas, Haniyeh, aliangamizwa Iran 🇮🇷. Kiongozi nambari 1 wa Hezbollah...
7 Reactions
31 Replies
1K Views
Klaus Schwab, mwanzilishi wa Jukwaa la Uchumi Duniani, amefahamisha wafanyakazi na wadhamini kwamba atajiuzulu wadhifa wake wa uenyekiti. Baada ya kuongoza Jukwaa kwa miongo mitano na kuunda...
1 Reactions
3 Replies
425 Views
Mamlaka nchini Burkina Faso zinamshikilia mwanachama wa asasi ya kiraia kwa kosa la kukosoa utawala wa kijeshi wa Kapteni Ibrahim Traore. Katika taarifa yake ya Aprili 4, 2025, asasi hiyo iitwayo...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Mohammed Awad aliingia Nir Oz mara kadhaa tarehe 7 Oktoba. Alikuwa mmoja wa viongozi wa mauaji hayo na inaonekana alihusika katika utekaji nyara na mauaji ya kikatili ya Shiri, Ariel, na Kfir...
3 Reactions
12 Replies
856 Views
Kiongozi wa kijeshi wa Burkina Faso Kapteni Ibrahim Traore amedai nchi haiwezi kupata maendeleo ikiwa katika mfumo wa demokrasia. Kapteni Traore alitoa kauli hiyo mnamo Jumatatu ya tarehe 1 April...
43 Reactions
406 Replies
13K Views
Rais wa Marekani Donald Trump ameitangaza na kuionesha rasmi kadi ya gold (Gold Card au Trump Card) yenye sura ya Trump ambayo itagharimu USD milioni 5 (Tsh. bilioni 13.375) ambapo Mtu...
2 Reactions
2 Replies
432 Views
Habari za uhakika Handaki lenye urefu wa kilomita moja limeangamizwa na majeshi ya Israel huko Gaza. Magaidi wa Hamas wanaendelea kupoteza maeneo kila kukicha. Mahandaki huko Gaza ndiyo maficho ya...
12 Reactions
66 Replies
3K Views
IDF imewaangamiza makamanda wa polisi wa Gaza Murid Farjallah na naibu wake Yunus al-Masraf kufuatia shambulio dhidi ya vikosi vya usalama huko Deir al-Balah, katikati mwa Gaza.
5 Reactions
19 Replies
686 Views
Baada ya uongozi wa Trump jana kutangaza kuongeza tariffs kwa mataifa mbalimbali dunia kutia ndani China, leo pia China nayo imetangaza kuongeza tariffs kwa 34% kwa bidhaa zote za Marekani...
9 Reactions
74 Replies
4K Views
Kwenye mkutano wa viongozi wakuu wa majeshi ya nchi wanachama wa SADC, huko Goma, Serena Hotel, badhi ya makubaliano yamefikiwa, ikiwa ni pamoja na haya: -AFC/M23 kusaidia majeshi ya SADC...
13 Reactions
107 Replies
5K Views
Libya yahofia 'njama kubwa' za kuigeuza asilia ya taifa Libya, iwe nchi ya Waafrika weusi wengi. Libya yapiga marufuku mashirika yasiyo ya kiserikali ya kigeni yanayoshutumiwa kutaka 'kuwapa...
3 Reactions
10 Replies
725 Views
Vikosi vya Israel vimemuangamiza Mohammed Saleh Mohammed Al-Bardawil, Mpiga propaganda wa Hamas na mgaidi wa kisaikolojia. Bardawil alikuwa akifanya kazi katika kutengeneza video za kizushi za...
4 Reactions
16 Replies
854 Views
Kuna wahamiaji halali huko Marekani inadaiwa wamechanganywa kimakosa na wengine wanaodaiwa kuwa ni wahamiaji haramu wakatupwa geza la watu watukutu zaidi wa magenge ya uhalifu huko El Salvador...
4 Reactions
10 Replies
698 Views
Iran imeripotiwa kuwaamuru wanajeshi wake kuondoka Yemen na inapunguza uungaji mkono wake kwa Wahouthi huku kukiwa na mashambulizi makubwa ya anga ya Marekani dhidi ya kundi hilo la waasi. Gazeti...
9 Reactions
33 Replies
2K Views
Wakuu, Inaonekana Marekani imeipokea ofa ya Rais wa Congo wa kuipa madini Marekani in exchange ya kupambana na M23 Mshauri mwandamizi wa Rais Donald Trump, Massad Boulos, amethibitisha kuwa...
1 Reactions
38 Replies
2K Views
Binadamu ni wanyama tu kama wanyama wengine. Tuache kuwacheka nyumbu wengi wakifurumushwa na simba mmoja. Historia fupi hadi tumefika hapa: US ameanza kuisumbua dunia mara tu baada ya vita kuu ya...
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Suppose, china and his allies and the world in general wakimsusia USA anaweza ku survive peke yake? 1. Industrial products zake ataziuza wapi? 2. Raw materials za viwanda vyake atazipata wapi? 3...
11 Reactions
182 Replies
6K Views
TRUMP KAWA SUPERHERO (TARIFFMAN!) Ukiingia tu kwenye 18 zake unatwangwa na silaha ya maangamizi iitwayo 'TARIFFS' (sio FUTARI) ... HE HAS WEAPONIZED TARIFFS! :cool:
2 Reactions
2 Replies
389 Views
Back
Top Bottom