International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Pichani ni Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda na Swahiba wake kutoka Sudan Kusini wakiwa wanatembea kwa taabu kweli kweli. Ninawashauri Wazee wangu hawa wapumzike waache vijana waongoze Nchi...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Mataifa zaidi ya 50 duniani yamesema yapo tayari kujadiliana na Marekani juu ya kuondoa vikwazo vya kibiashara kwa bidhaa za Marekani zinazoingizwa katika mataifa hayo. Hii inakuja baada ya...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
'Hawataweza Kuzamisha Meli Zetu Tena!' Trump awaambia magaidi wa Houthi. Rais wa Marekani Donald Trump, katika chapisho kwenye akaunti yake rasmi ya Ukweli wa Kijamii, alishiriki video ya...
6 Reactions
17 Replies
1K Views
Rais wa marekani Donald Trump amesema President Trump says he will not make a deal with China unless the trade deficit is solved...
2 Reactions
14 Replies
850 Views
Mapema leo (Jumatatu), IDF ilimpiga na kumwangamiza gaidi Mohammed Adnan Mansour, kamanda wa mizinga wa Hezbollah katika eneo la Taybeh kusini mwa Lebanon. Wakati wote wa vita, Mohammed...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Masoko ya hisa ya Marekani Jumatatu hii, Aprili 7, 2025 yamefunguliwa yakiwa yameshuka kwa kasi kwa mara ya tatu mfululizo, huku ushuru uliowekwa na Rais Donald Trump ukiendelea kulemaza biashara...
3 Reactions
4 Replies
638 Views
Ukisoma ufunuo wa yohana utagundua ya kuwa haya yote yatokeayo duniani yalishatabiriwa 2000yrs ago. Taifa moja lenye nguvu duniani ndilo hilo marekani. Rais mmoja mwenye nguvu ndiyo huyo atawalaye...
3 Reactions
14 Replies
964 Views
Watu wengi wanatamani kuona vijana wetu wakiingilia kati aggression ya M23 inayoendelea nchi ya congo. Conspiracies zimekuwa nyingi mno kujua nikwanini vikosi vyetu havijaingilia kati kwa sasa...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Maandamano ya Kumpinga Trump yanazii kushika Kasi kote Duniani hasa USA na Ulaya akishutumiwa Kwa kuvuruga Uchumi na mahusiano ya Kimataifa. Wakati hayo yakiendelea Wananchi wa Marekani...
8 Reactions
57 Replies
3K Views
Kamanda mkuu wa Hamas Hamada Abu Daqa, ambaye alihusika katika utekaji nyara wa askari wa IDF wakati wa shambulio la Oktoba 7, aliantami zwą katika shambulio la anga la IDF huko Bani Suheila...
10 Reactions
67 Replies
3K Views
Leo,usiku huu, Hamas walirusha maroketi kumi,mengi zaidi katika miezi kadhaa,habari toka israel zinadai wateule watatu walipata majeraha mepesi kama kawaida yao, isipokua magari tu...
5 Reactions
18 Replies
986 Views
Waasi wa M23 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameingia Bukavu, mji wa pili kwa ukubwa katika eneo hilo la mashariki. Corneille Nangaa, kiongozi wa Muungano unaojumuisha waasi wa M23...
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Kwa sababu sisi ni binadamu haikupaswa kutokea kitu kama hiki kinachotokea na kuvutia watu kukiona kwenye mbuga za wanyama kama vile serengeti na nyengine kadhaa nchini Tanzania na kwengineko...
6 Reactions
76 Replies
3K Views
Urusi inasema kwamba haitasambaza tena gesi kwa Poland na Bulgaria kwa sababu nchi zote mbili zilikataa kulipa kwa sarafu yake ya Rouble. Umoja wa Ulaya umesema kuwa hatua hii ya Urusi ni sawa na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Members Ritz na Webabu walituaminisha kuwa baada ya kile kipigo kule ndani Iran walikuwa wanajipanga kuja lipiza. Ni miezi mingi imepita wamejinyamazia tu. Toka wadhalilishwe na wanawake wa...
12 Reactions
80 Replies
3K Views
List of items US imported from Russia 🇷🇺💪
3 Reactions
5 Replies
598 Views
Wamarekani wameanza kutoa mlio baada Jeshi lao kutumia Dola billion 1 kushambulia mawe jangwani huko Yemen na kusema hasara tupu hamna lengo lolote lililofikiwa NEW: 🇺🇸🇾🇪 The U.S. has spent over...
2 Reactions
5 Replies
501 Views
Kamanda wa kitengo cha upelelezi cha Golani cha Israeli anazungumza na askari wake wakati wanaunga Rafah!!! "Kila mtu unayekutana naye ni adui. Ukiona sura, muwashe moto, mwangamize, na usonge...
6 Reactions
31 Replies
1K Views
Sayari ya Mars imekuwa ikiwashangaza, kuwasisimua na kuwavutia binadamu kwa miaka mingi. Maelfu ya miaka iliyopita, binadamu walikuwa wakishangaa na kujiuliza nini kinapatikana katika sayari hiyo...
12 Reactions
64 Replies
9K Views
Ni muendelezo wa Trump na kuwakalia kooni wachina toka awamu yake ya kwanza mpaka sasa kawaweka mdomoni kweli. Trump anasema anachofanya sasa ni mapinduzi ya kiuchumi na hakika lazima washinde...
10 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom