International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Maisha ya Cairo ni tofauti na Dar es salaam au Nairobi kijiografia na uoto wa asili. Ni jiji wakazi milioni 23 na ukame wa nyasi hadi miti. Hali ya hewa ni joto kali na Bado wenyeji wana utamaduni...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Hivi karibuni kama mlikuwa mnafuatilia habari za kidunia, kulikuwa na mgogoro baina ya India na pakistan. Mgogoro huu umepelekea serikali ya Pakistan kupiga marufuku ndege za abiria za...
5 Reactions
21 Replies
1K Views
Wengi wanaona hizi ni siasa mpya kabisa huko Marekani ambapo mawaziri na watumishi wa Serikali wanashinda wakimsifu Trump kwa sifa zilizopitiliza.
0 Reactions
2 Replies
368 Views
Ofisi ya Rais wa Ufilipino imeripoti kukamatwa kwa Rais wa zamani wa nchi hiyo, Rodrigo Duterte, baada ya kupokea ombi kutoka kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC). Duterte alikamatwa...
5 Reactions
49 Replies
3K Views
Kwa mujibu wa taarifa zilizoripotiwa na aljazeera ,moto mkubwa umezuka maeneo ya Jerusalem na kuzua hofu ya kupoteza maisha ya watu. Waziri wa mambo ya nje ameomba msaada kutoka nchi jirani na za...
4 Reactions
17 Replies
969 Views
Habari za hivi punde ambazo ni mpasuko kupitia BBC zinasema Prince Charles wa Wales amepata maambukizi ya virusi vya Corona. Prince alikuwa anafanya kazi zake kutokea nyumbani na haijulikani...
2 Reactions
53 Replies
6K Views
Wadau hamjamboni nyote? Nimeweka takwimu ya orodha ya hospitali bora kabisa duniani na huku kwetu Africa hakuna hata hospital moja. Sababu za msingi zipi hasa? Jioni njema Orodha ya Forbes...
3 Reactions
51 Replies
3K Views
Tarehe 11 April, jijini Dar Es Salaam huko Tanzania, kilifanyika kikao cha dharula kinachohusu hatma ya jeshi la SADC, Mission (failed) ya SAMIDRC. Kikao hicho kiliwahusisha: -General Rudzani...
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Sheria za Kiislam( SHARIA LAW ) zinatarajiwa kulazimishwa kufanya kazi huko Uingereza watu wataanza kuzuiwa kula kipindi cha mfungo wezi kukatwa mikono,wauaji kuuliwa kwa kukatwa shingo,na viboko...
8 Reactions
58 Replies
2K Views
Huyu Macrosn anaakili za kimbwa kweli yani anawadharau waafrika huku anataka rasilimali zao President Macron said, now is not the time for France to leave Africa, that Africa is not capable of...
12 Reactions
66 Replies
3K Views
Israel haitaruhusu Iran kuwa na silaha za nyuklia Si sasa si kesho wala si milele. Israel haitaruhusu kabisa kitendo hicho na ikibidi iko tayari kuingia vitani na Iran peke yake bila kuwa na...
1 Reactions
9 Replies
678 Views
Wanaukumbi. NNA - Katibu Mkuu wa Amnesty International Agnes Callamard alithibitisha Jumanne kwamba vikosi vya Israel vinafanya mauaji ya halaiki kwenye televisheni ya moja kwa moja katika Ukanda...
2 Reactions
22 Replies
923 Views
Shirika la fedha duniani limetoa takwimu za mwaka 2025 zikitaja nchi 5 tajiri barani Afrika kwa vigezo vinavyokubalika. BBC swahili news
1 Reactions
6 Replies
722 Views
Hii nimeiona kwenye sikukuu ya Siku 100 za Rais Trump madarakani nikakumbuka onyo la mbunge mtarajiwa Steve Merenge kuwataka Wanasiasa wasichanganye na dini Sidhani kama Malaria 2 ataifurahia...
0 Reactions
5 Replies
627 Views
Sijui maamuzi ya kuifanya Jordan kuwa wadhamini wa msikiti mtakatifu wa Aqswa yalifanyika kwa mtindo gani.Kinachoonekana maamuzi hayo yalikuwa na kasoro kubwa kwani waiokabidhiwa hawastahiki kazi...
1 Reactions
11 Replies
588 Views
Mbunge wa Irani anaishutumu Israel kwa mlipuko katika bandari ya Bandar Abbas na kufichua maelezo mapya kuhusu kilichotokea jana: Mohammad Saraj, Mbunge wa Irani, kwenye mlipuko kwenye bandari...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Habari za waislamu hasa wa jamii ya kiarabu tuziwache pembeni kwanzo,kwani matatizo yao ni mengine kabisa. Ama kwa wakristo duniani basi wangekuwa wanajitambua vizuri basi wangemuiga katibu mkuu...
3 Reactions
53 Replies
2K Views
Wanaukumbi. This is an extremely serious incident for U.S. Navy. It would mean hostile missiles or drones got past the carrier’s layered defenses (fighters, AEGIS ships, CIWS), showing potential...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Updates baada ya vita kuanza kati ya Iran na Israel 13/06/2025 Hakuna hata taifa moja la kiarabu litakaloheshimiwa na kuachwa salama kwa mtindo wa mayahudi kujikweza na kutaka kuitawala dunia...
13 Reactions
277 Replies
18K Views
Waingereza wengi wanadai mrithi wa kiti Cha ufalme mfalme mtarajiwa kama Baba Yake king Charles akifa, prince William anafanana Kama real estate agent Yani dalali. Muonekano wake umekaa kushoto...
3 Reactions
10 Replies
971 Views
Back
Top Bottom