International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Jeshi la Wanajeshi wa Kivita la Israel linasema linajiandaa kwa uwezekano wa kushambulia Israel kufuatia mashambulizi yake dhidi ya malengo ya Hezbollah huko Beirut. Mkuu wa Wafanyakazi Luteni...
2 Reactions
10 Replies
164 Views
Hawa wapuuzi Israel sijui ni maajent?Imagine Iran na US ilikua wasaini dili la amani leo au kesho ili maisha duniani yarudi kama mwanzo Mafuta na gesi vingeshuka ila Israel kaharibu tena mambo...
1 Reactions
2 Replies
221 Views
Ni wazi kuwa Iran ilishambulia makombora ya balistiki takriban 200 Jumanne jioni hii, kuelekea kwenye vituo vya kijeshi na kijasusi vya taifa la Israel kama shambulio la kulipiza kisasi lililoitwa...
6 Reactions
40 Replies
4K Views
Vikundi vidogo ndani ya Iran vimeonyesha kuchukizwa baada ya madai ya makubaliano na Marekani. Vikundi hivyo vimeonekana vikifanya maandamano siku ya Jumamosi katika miji kama Tehran na Mashhad...
1 Reactions
19 Replies
334 Views
Israel imetoka ONYO Kali kwa maadui zake kutoka nje kwa kuwaambia Shambulio moja la kigaidi, roketi, kombora au ndege isiyo na rubani na utapata kuonja utamu wa kombola letu pendwa la Jericho.
11 Reactions
77 Replies
1K Views
Iran walitoa tamko kuwa kama Israel itaendelea kushambulia Lebanon basi nao wataishambulia Israel, walijaribu juzi kufanya hivi, Israel ikajibu kwa kufanya mashambulizi makubwa ndani ya Iran...
5 Reactions
51 Replies
907 Views
Wanaukumbi. 🇮🇷 Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imekataa madai ya Rais Trump kwamba pande zote zimeidhinisha makubaliano yaliyopendekezwa kati ya Marekani na Iran. Maafisa mjini Tehran walisema: ❌...
1 Reactions
35 Replies
583 Views
Taifa teule tukufu, takatifu na teule la Mungu wa kweli linazidi kuimarika kiuchumi. Licha ya vita mashariki ya kati uchumi wake mwaka huu tu umekua 3.5%. Israel haina mafuta kama wenzake...
6 Reactions
41 Replies
914 Views
Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imemsimamisha kazi Mwendesha Mashtaka Mkuu, Karim Khan. Hatua hii inakuja baada ya uchunguzi wa miezi 18 uliofanywa na Umoja wa Mataifa kuhusu tuhuma za...
7 Reactions
64 Replies
979 Views
10 June 2026 Kuwait City Kuwait imeanzisha kanuni mpya za kuajiri wafanyakazi wa ndani kwa nchi 10, huku ikizuia kuajiri kutoka nchi zingine 27. Kuwait: Kulingana na ripoti za vyombo vya habari...
5 Reactions
29 Replies
515 Views
Hivi karibuni kwenye mitandao mbalimbali kumeenea video kadhaa zikionesha raia wa Afrika kusini wakiwapiga na kuwafukuza raia kutoka maifa mengine barani Afrika kwa madai kwamba wamechukua kazi...
2 Reactions
4 Replies
233 Views
Baada ya Mashindano ya Urembo kuzua Mjadala mkali wa Ubaguzi baada ya watu Mtandaoni kudai kuwa Mshiriki Chidimma Adetshina (23) ni Mnaigeria, na hivyo kudai hawataki kuwakilishwa na Raia wa...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Kumekuwa na dhana potofu zinazoenezwa na Wafuga Midevu na Majini wakiongozwa na Mzee wa UHARO Ritz na mjinga mwenzako zitto junior wakidai kuwa Israel ni wachokozi na wanavamia nchi zingine...
1 Reactions
13 Replies
246 Views
Mzuka wana jamvi ? Babu Trump alijisifu leo Iran itaenda kuwa majivu atapiga vibaya mno lakini ghalfa amePost kuwa amesitisha Hilo. Sasa Trump watu watamchoka kumuona muimba Taarabu ikumbukwe...
8 Reactions
34 Replies
712 Views
Wanaukumbi. Iran imeshambulia kambi za kijeshi za Marekani katika eneo la Ghuba kulipiza kisasi duru ya hivi karibuni ya mashambulizi ya Marekani, yaliyokuja baada ya Donald Trump kusema kwamba...
3 Reactions
21 Replies
516 Views
Wanaukumbi. 🇮🇷🇺🇳 Iran kwa Umoja wa Mataifa: Nchi 6 za Kiarabu Zinadaiwa Kutulipa Nchi SITA za Kiarabu: Bahrain 🇧🇭 Jordan 🇯🇴 Kuwait 🇰🇼 Qatar 🇶🇦 Saudi Arabia 🇸🇦 UAE 🇦🇪 Mwakilishi wa Umoja wa...
5 Reactions
8 Replies
509 Views
zaidi ya makamanda 10 wa uwanja wa Hezbollah walioongoza magaidi wa shirika la kigaidi katika mapambano dhidi ya wanajeshi wa IDF na Jimbo la Israeli, wameondolewa. Miongoni mwa makamanda...
4 Reactions
2 Replies
115 Views
Baadhi ya vipengele muhimu vya makubaliano hayo ni; Kusitishwa kwa mapigano kwa siku 60 katika nyanja zote, ikiwemo nchini Lebanon. Mlango bahari wa Hormuz kufunguliwa mara moja, bila Iran...
0 Reactions
3 Replies
368 Views
Bwana Yesu asifiwe sana ndugu zangu. Hatimaye rais wa Somalia kutembea taifa la kiyahudi, wote hao ni ndugu wa damu kabisa. Rais huyo kutoka nchi ya Kiislamu anatarajiwa kuwasili Israel siku...
3 Reactions
19 Replies
284 Views
1. Xi alimuonya Trump kuhusu "Thucydides Trap." "Can China and the US overcome the Thucydides Trap" –Xi Jinping Nini maana ya Thucydides Trap? Nchi mpya yenye nguvu inapoinuka, nchi kubwa ya...
20 Reactions
81 Replies
2K Views
Back
Top Bottom