🚨BREAKING: Vikosi Maalum vya Israel vimefanikiwa kumuondoa Nour Al-Bitawi, kiongozi wa shirika la kigaidi huko Jenin na mmoja wa magaidi wa Kipalestina waliokuwa wakisakwa sana huko Yudea na...
An archive containing more than 100 documents of internal information of the MFA of Ukraine has appeared in the public domain. Tone of voise and content of letters reveals the inconvenient truth...
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Serikali ya Watu China imezindua mfumo wake wa kufanya malipo GLOBAL DIGITAL PAYMENT NETWORK na kuukwepa mfumo wa Marekani wa SWIFT ambao Marekani anautumia kama silaha dhidi ya...
Wadau hamjamboni nyote?
Anaitwa Rashad Muhammad al-Alim na amezaliwa 1954 na anaishinAden
Yeye ndiye Rais wa nchi ya Yemen!
Niwatakie sabato njema
Taarifa kamili za makazi yake hapo chini kwa...
Baada ya milipuko hiyo iliyoripotiwa na wakaazi wa jiji hilo, moto sasa unatanda katika milima ya Shiraz, Iran. Kwa mjibu wa taarifa za kijasusi hizo ni mvua za rasha-rasha zinazoendelea...
Huyu mtawala wa China huwa ni kama roboti fulani, sijawahi kumuona akizungumza na viongozi wenzake au akifanya mazungumzo na waandishi wa habari.
Huko Kremlin, Moscow ameonekana kama anazungumza...
Rais Donald Trump anatarajiwa kuweka ushuru wa kushangaza wa asilimia 104 kwa bidhaa zote zinazoingia kutoka China kuanzia Jumatano, kwa mujibu wa msemaji wa Ikulu ya White House, Karoline...
Kukamatiwa ndugu zao na kuchinjwa wakiona huku wakiwa wamekaa kimya,tuliona kama ni ugonjwa wa waarabu pekee.Kumbe dunia nzima imeambukizwa.
Watu wazima na watoto wanauliwa bila kizuizi na...
🪖 Nani Angeshinda: Pakistan dhidi ya India
Katika vita vya kawaida, India ina faida kutokana na uchumi wake mkubwa, idadi ya watu, na zana za kijeshi-viwanda. Walakini, nchi zote mbili ni zenye...
Houthis wamepata ujuzi wa kurusha makombora ya balestiki—si kwa sababu waliyatengeneza na waliyalipia wao au hata kuelewa kikamilifu jinsi yanavyofanya kazi, lakini kwa sababu askari wa iran...
Waziri wa Ulinzi wa Pakistani anasema, Ikibidi, tutawatumia watoto wa madrasa kwa vita, wao ndio safu yetu ya pili ya ulinzi.
Kambi nyingi za mafunzo ya ugaidi zinaendeshwa kwa kivuli cha...
Donald Trump ni kama anataka kuja na mpango mpya wa punguzo la ushuru kwa China kutoka 145% kwa sasa mpaka 80% huku kazi nzima akiachiwa waziri wa fedha Scott Bessent.
Pia ni kama anaiomba au...
Meja Jenerali Gagandeep Bakshi, afisa mkuu mstaafu katika Jeshi la India, juu ya Uturuki: "India ni nguvu ya nyuklia, India ni nguvu ya anga. Tunaweza kulipua kuzimu kutoka Uturuki ikiwa...
Wakati raisi Donald Trump akijitayarisha kuanza ziara ya mashariki ya kati hivi punde,utawala huo umeonekana kubadili nia ghafla kuhusiana na vita vya Gaza.
Katika ziara hiyo raisi Trump...
Hali ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Yemen mjini Sanaa siku moja baada ya shambulio kutoka Israel. Hakuna kilichosalia. Inasemekana Yemen wamedai kupata hasara ya dollar za kimatekani nusu...
Kiongozi wa kijeshi wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traore amewasili mjini Moscow nchini Urusi leo tarehe 8 Mei 2025.
Kapteni Traore ni miongoni mwa viongozi walioalikwa nchini Urusi kwa ajili...
Kumetokea mapigano yasiyo ya kawaida eneo la mpaka wa kusini wa Gaza na kupelekea kikundi kikubwa cha askari wa Israel kuripukiwa na bomu wakati wamo ndani ya jengo moja mpakani huko.
Habari hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.