Wanaukumbi.
⚡️🇾🇪BREAKING: Makamu wa rais wa Ansarallah wa Yemen Mohammed Ali Al-Houthi:
Kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu Mtukufu,
Msaada kwa Gaza unaendelea, na pia majibu.
Netanyahu aanze kuandaa...
A gentle reminder...
When You See the White Smoke…
Don’t think of prestige. Don’t rush to post, to speculate, or to celebrate power.
Kneel. And pray.
Because the man who will soon step out...
Rais wa China Xi Jinping akutana na Rais wa Urusi Vladimir Putin katika Ikulu ya Kremlin mjini Moscow
Rais wa Urusi alimpokea Xi kwa mazungumzo katika Ikulu ya Kremlin na katika kikao hicho...
Uwanja wa ndege wa Sana'a:
Uharibifu unaokadiriwa kutoka kwa shambulio la Israeli ni karibu dola milioni 500. Itachukua muda mwingi kukarabati na kurejesha Uwanja wa Ndege wa Sana'a katika...
Imefahamika kuwa ndege ya pili ya kivita ya Marekani katika wiki moja ilikuwa imedondoka ndani ya bahari nyekundu muda mfupi tu kabla ya raisi Trump kutangaza kusitisha vita.
Msemaji wa jeshi la...
India imethibitisha kuzindua makombora kuelekea Pakistan Jumanne, kufuatia mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea Kashmir ambapo watu 26 waliuawa.
Maafisa wa usalama wa Pakistan wamesema makombora...
Dini ya uislamu katika usasa wake iliingia bara hindi punde tu baada ya utume wa Muhammad saw.Hiyo ilikuwa ni karne ya 7.Baada ya hapo wakaingia waislamu kwa makundi kutokana na sababu mbali...
Urusi inasema Ukraine imeanzisha shambulizi la usiku wa kuamkia jana na ndege isiyo na rubani iliyolenga Moscow kwa usiku wa pili mfululizo.
Viwanja vyote vinne vya ndege vikubwa vya mji mkuu...
Lebanon imehamanika kutekeleza makubaliano ya kusitisha vita na bado kila siku inapigwa katika ya Beirut.
Kama kweli wanakerwa na mashambulio hayo basi serikali ya nchi hiyo haina budi iache...
IDF imewaita makumi kwa maelfu ya askari wa akiba kabla ya upanuzi mkubwa wa mashambulizi yake Gaza.
Hatua hiyo ya kijeshi iliyoidhinishwa na Waziri Mkuu Netanyahu, inakuja ikiwa ni sehemu ya...
Wadau hamjamboni nyote?
Hajajulikana Rais huyo atasema nini hasa ila ameahidi ndani ya siku chache kabla haijaanza ziara ya Mashariki ya kati atatoa tangazo kubwa kubwa sana...
Wakuu,
Donald Trump alisema kwamba Marekani itasitisha mashambulizi dhidi ya Wahouthi nchini Yemen kwa sababu kundi hilo "limejisalimisha", huku Oman ikithibitisha kuwa makubaliano ya "kusitisha...
IDF yatoa onyo la 'haraka' la watu kuhamishwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sanaa wa Yemen
Katika hali isiyo ya kawaida, IDF imetoa onyo la "haraka" la kuhamishwa watu kwenye Uwanja wa...
Waasi wa Houthi wanadai kwa uwongo kuwa waliweza kuushambulia uwanja wa ndege wa Israel Ben Gurion, mbeba ndege-vita USS Harry Truman ya Marekani madai hayo ya uongo yalitolewa kama ifuatavyo...
Wadau hamjamboni nyote?
Iran yaanika hadharani makombora mapya ya masafa marefu yenye uwezo kupiga hadi kilometa 1,200
Tulishawaambia duniani kote hakuna anayemzidi uwezo kisayansi muiran...
Majeshi ya Israel jana yalifanikiwa kuwaua magaidi wa Hamas 15 kwa mpigo baada ya kuwashambulia maficho yao huko Gaza. Kwa taarifa zilizotolewa na IDF magaidi hao walikuwa wanajiandaa...
Baada ya Hauthi kusitisha mapigano, Seneta anayemuunga mkono Trump Tales asema Israeli 'Fanyani muwezavyo kwa ajili ya Kujilinda'
Seneta wa Republican Lindsey Graham wa Carolina Kusini, mmoja wa...
India wameshindwa tena kutekeleza operation yao ya kijeshi bila majeraha makubwa kwenye jeshi lao. Ikiwa tayari ni miaka sita imepita toka walipofanya military failed mission dhidi ya Pakistan...
Eti wakuu, leo wakati ninatazama Al Jazeera ghafla ikaja akili mwangu kujiuliza, hivi Ikulu za nchi kama Marekani, Russia, China au Uingereza kuna watu wa aina gani kule wanaajiriwa??
Kwa maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.