Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 9,000
- 7,618
Houthis wamepata ujuzi wa kurusha makombora ya balestiki—si kwa sababu waliyatengeneza na waliyalipia wao au hata kuelewa kikamilifu jinsi yanavyofanya kazi, lakini kwa sababu askari wa iran IRGC iliwafundisha jambo moja tu: jinsi ya kubofya kitufe kikubwa chekundu tu basi.