International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Msemaji wa IDF wa lugha ya Kiarabu ametoa onyo la kuhamishwa kwa maeneo kadhaa katika Jiji la Gaza, ikiwa ni pamoja na Hospitali ya Shifa na Chuo Kikuu cha Kiislamu hatakiwi mtu yeyote maeneo...
3 Reactions
4 Replies
422 Views
Jana katika ziara ya rais wa Marekani Trump wale panya wa Ikulu Saudi Arabia royal palace guards makomandoo walinzi wa mfalme walionekana wakiwaandalia kahawa Trump na MBS wakivaa kanzu nyeupe na...
9 Reactions
47 Replies
3K Views
Mazungumzo ya ngazi ya juu ya uchumi na biashara kati ya China na Marekani yamefanyika hivi karibuni huko Geneva, na kupata matokeo muhimu. Hali ambayo inaonyesha kuwa baada ya mvutano mkali wa...
2 Reactions
1 Replies
408 Views
Fikiria mateso ya wakristo na wayahudi wanaoishi middle east. Fikiria muslim brother hood na itikadi kali itakavyo iharibu uchumi wa dubai, kuwaiti na saudia Fikiria vibanda vya umachinga hapa...
1 Reactions
3 Replies
291 Views
Vita kati ya wababe wawili wa nyuklia vimeisha haraka.Hiyo ni kwa mujibu wa tangazo la raisi Trump wa Marekani. Kwa upande mwenine juhudi kubwa zinaendelea mjini Kyiv ili kusimamisha vita kati ya...
6 Reactions
82 Replies
4K Views
Papa mpya aoneshq matumaini mapya dhidi ya watu wenye itikadi za ushoga, baada ya kumkwepa mtu mwenye bendera ya ushoga aliyetaka kurazimisha salamu wakati Papa huyo akisalimiana na watu Tizama...
21 Reactions
64 Replies
4K Views
Kikundi cha Wanamgambo wa Ukraine waliokwenda kushiriki graride la Victory in Europe Day huko London wametorokea na kuingia mitaani hawataki kurudi Ukraine kusulibiwa na Vikosi vya Wachechinyia 🇷🇺...
1 Reactions
18 Replies
992 Views
Shambulizi la Diapaga na Asili ya Jama’a Nusrat ul-Islam wal-Muslimin (JNIM) Na GOODLUCK MALEKOJ UTANGULIZI Tarehe 13 Mei 2025, mji wa Diapaga ulioko Mashariki mwa Burkina Faso ulivamiwa tena...
1 Reactions
2 Replies
372 Views
Je, China Ilitoa Zawadi au Iliweka Mtego kwa Afrika? – Siri ya Wizi wa Taarifa Katika Makao Makuu ya Umoja wa Afrika Mwandishi: MalekoGJ On X @GoodluckMalekoJ Utangulizi Mwaka 2012, bara la...
3 Reactions
15 Replies
794 Views
Israel inaendeleza vita japo hatuoni mabadiliko na maendeleo kwenye vita. Us inataka mateka wote warudi lkn Israel haitaki kumaliza vita Witkoff:-mjumbe wa marekani middle east...
4 Reactions
25 Replies
833 Views
Waziri wa Ulinzi wa Israel Israel Katz: Hatutaruhusu shirika la kigaidi la Hamas kutumia hospitali na vituo vya misaada ya kibinadamu huko Gaza kama vituo vya makazi na amri za ugaidi...
3 Reactions
17 Replies
946 Views
Wadau hamjamboni nyote? Hali ni mbaya Kwa Mayahudi tuwaombee sana IDF walidhani kupiga airport na kuharibu kiwanda cha mbolea wamemaliza kila kitu kumbe wenzao ni wajuzi zaidi yao Suluhu pekee...
3 Reactions
47 Replies
2K Views
Natoa Onyo Kali Kwa maadui wa kipenzi chetu cha dhati ndugu Ibrahim Traoure Rais wa Burkina Faso The son of Africa. Endapo chochote kibaya kitamtokea bwana mdogo hata mkwaruzo tu patachimbika na...
5 Reactions
34 Replies
1K Views
Askari wa Israel wakiwa kwenye mitaa ya Jenin usiku huu hapo wako kwenye mission ya kwenda kulikamata Gaidi.
0 Reactions
7 Replies
508 Views
Ndege ya kijeshi ya Korea Kaskazini aina ya J- 35A kizazi cha 5 iliotengenezwa nchini China imewaleta makomandoo 700 welevu na weledi nchini Burkinafaso kwaajili ya kuimarisha ulinzi wa Rais wa...
20 Reactions
73 Replies
4K Views
Rais Trump anahitimisha ziara yake nchini Saudi Arabia na kuelekea Doha, mji mkuu wa Qatar, ambako pamoja na mambo mengine, mazungumzo yanaendelea kuhusu makubaliano kati ya Hamas na Israel.
1 Reactions
4 Replies
474 Views
Rais Trump alikutana muda mfupi uliopita na mtawala mpya wa kijihadi wa Syria Ahmed a-Sharaa (Mohammed al-Julani) mjini Riyadh. Ikulu ya White House ilisema Trump aliutaka utawala mpya wa Syria...
0 Reactions
1 Replies
406 Views
Hivi kwa nini Waafrika hudanganyika kirahisi rahisi hivyo? Kuna watu kwenye hii mitandao wanaotumia nguvu za ziada kulazimisha umaarufu wa dikteta uchwara wa Burkina Faso. Habari nyingi kumhusu...
30 Reactions
185 Replies
8K Views
“Yemenia”: Our Aircraft are Insured Against War Globally Except for Yemen’s Airports Due to “International Classification” Yemen Airways imepinga kwa nguvu taarifa "zisizo kweli na zisizo...
1 Reactions
36 Replies
2K Views
Back
Top Bottom