The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 9,251
- 20,486
Natoa Onyo Kali Kwa maadui wa kipenzi chetu cha dhati ndugu Ibrahim Traoure Rais wa Burkina Faso The son of Africa.
Endapo chochote kibaya kitamtokea bwana mdogo hata mkwaruzo tu patachimbika na ndio mwisho wa ubepari duniani.
Narudia tena ole wao wale wanamtamania mabaya kijana wetu kipenzi Ibrahimu. Wale wote wanataka kumdhuru na wale wote wanataka kumkwamisha katika harakati zake sahihi (just cause) kaeni mkijua patachimbika na mtajuta kuzaliwa.
Namtakia heri, afya njema na maisha marefu the son of Africa Ibrahim Traoure. Na asiwe na hofu na tena alale tu mlango wazi kwani Sisi vijana tuko Radhi kufa kumlinda.
Sasa Kayngay yoyote athubutu aonje ladha ya maumivu.
Senior JF/JA staunch and die hard supporter of Ibrahim Traoure
Nyau de adriz
Endapo chochote kibaya kitamtokea bwana mdogo hata mkwaruzo tu patachimbika na ndio mwisho wa ubepari duniani.
Narudia tena ole wao wale wanamtamania mabaya kijana wetu kipenzi Ibrahimu. Wale wote wanataka kumdhuru na wale wote wanataka kumkwamisha katika harakati zake sahihi (just cause) kaeni mkijua patachimbika na mtajuta kuzaliwa.
Namtakia heri, afya njema na maisha marefu the son of Africa Ibrahim Traoure. Na asiwe na hofu na tena alale tu mlango wazi kwani Sisi vijana tuko Radhi kufa kumlinda.
Sasa Kayngay yoyote athubutu aonje ladha ya maumivu.
Senior JF/JA staunch and die hard supporter of Ibrahim Traoure
Nyau de adriz