International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Netanyahu na wenzake wamefanya kosa kubwa sana. Kinachoenda kufuata itabaki kuwa Story Majibu ya Iran yataishangaza dunia Kwasababu Iran wanaenda kumaliza kazi waliokua wanaingoja kwa hamu siku...
24 Reactions
113 Replies
5K Views
Waziri wa Ulinzi wa Israel ameionya Iran leo Jumamosi kuwa mji wake mkuu Tehran "utawaka moto" iwapo itaendelea kuvurumisha makombora ya masafa kuelekea Israel.https://p.dw.com/p/4vu3p...
0 Reactions
8 Replies
480 Views
Marekani imeamrisha wanajeshi wake wote kwenye base za mashariki ya kati waingie kwenye bunker ili kuokoa viwiliwili baada Iran kuanza maangamizi ndani ya Israel U.S. Servicemembers at two bases...
6 Reactions
6 Replies
598 Views
Wadau hamjamboni nyote nyote. Shambulio la Israel limethibitishwa kwenye kambi ya kijeshi huko Kermanshah Shirika la Habari la Tasnim, lenye mafungamano na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi...
2 Reactions
8 Replies
715 Views
Muda huu Iran imetuma drones zitakachokua masaa kufika, walipigwa maeneno yote ambayo walikua wanatumia kutuma yale magobore yao.....Wamebaki na nguvu ya kutuma vi-drones tu IDF Spokesman Effie...
6 Reactions
47 Replies
2K Views
General wa Israel aliyechelewa kuingia kwenye mapango ametafunwa mara moya na makombora ya Iran 🇮🇷🇮🇱 | BREAKING: Highly credible reports confirm the Israeli Navy Commander has been killed in...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Hii video imeshtua wengi, Telaviv mitaaa imegeuka Kama Gaza. This is worse than Ever[emoji1313] https://x.com/AlanRMacLeod/status/1933673107736105000?t=RNEkIJQhB9oaV0miCVMQMg&s=19
9 Reactions
79 Replies
4K Views
Muda huu hapa ndege nyingine ya F-35 ya Israel imeangushwa huko magharibi mwa Iran Naona jamaa wameactivate air defense yao vizuri zaidi More info to come [emoji845][emoji1130][emoji1134]|...
1 Reactions
5 Replies
706 Views
Ndivyo ilivyo kuwa wakati Iran inaijibu Israel usiku wa kuamkia Jumamosi
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) linasema limewaua wanasayansi na wataalamu tisa wa nyuklia wa Iran. Hapo awali, jeshi la Israel lilisema liliwaua sita katika wimbi la kwanza la mashambulizi dhidi...
0 Reactions
1 Replies
513 Views
Houthi wa Yemen wanaoungwa mkono na Iran wamesema wamefyatua makombora mawili ya masafa marefu (ballistic missiles) kuelekea Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion usiku wa kuamkia leo. Jeshi la Ulinzi la...
2 Reactions
7 Replies
682 Views
Video hapo chini
0 Reactions
3 Replies
470 Views
Wakuu haya ni makombora gani Iran kayatumia kupiga Israel? Yanapenya tu bila kutunguliwa na mfumo wa Iron dome[emoji1313]...
3 Reactions
9 Replies
796 Views
Professor Jeffrey Sachs ni mtu anaeheshimika Sana Marekani.. Serikali ya Marekani imejaa wanafunzi wake...juzi amesema Washington imejaa wanafunzi wangu waliofeli 😃.. The most interesting part ni...
21 Reactions
179 Replies
7K Views
Wadau hamjamboni nyote. IDF says it’s continuing to strike nuclear targets and scientists, military sites and officials in Iran By Emanuel Fabian Follow...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Miongoni mwa miujiza ya Qur'an na kwamba ni kitabu chenye muongozo kwa wanadamu wote ni kule kutoonewa haya waarabu ambao kitabu hicho kimeteremshwa kwa lugha yao. Kuonesha kuwa ni maneno ya...
20 Reactions
243 Replies
8K Views
Watumiaji wakubwa wa uwanja wa ndege wa Ben Gurion ambao ni mashirika ya ndege wenyeji yameamua kuuhama uwanja huo mkubwa pekee nchini humo. Mashirika hayo ambayo ni Arika na El Al si kuuhama...
2 Reactions
4 Replies
562 Views
Moja ya kiumbe mwepesi kumuangusha katika vita ni mwarabu. Kwa sababu ni Rais kumnunua na kumtumia KUWA Adui wa NDUGU zake. Hii ndio maana maagents wa mossad walikuwa kwenye kazi maalumu KWA miaka...
9 Reactions
72 Replies
3K Views
Wadau hamjamboni nyote. Mlipuko mkubwa ulisikika muda mfupi uliopita karibu na kambi ya kijeshi ya kijeshi katika mkoa wa Hamedan magharibi mwa Iran, vyombo vya habari vya serikali...
9 Reactions
113 Replies
5K Views
Wadau kwa nini huyu Kim wa Korea Kaskazini na utawala wake hawa shambuliwi kwa kuwa na silaha za Kinyuklia kama anavyo hisia Iran kutaka kuwa nazo hizo silaha japo haijathibitika mpaka sasa kama anazo
2 Reactions
41 Replies
2K Views
Back
Top Bottom