International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Mwanahabari wa kijeshi Doron Kadosh akiwa na maelezo ya ziada kuhusu jinsi shambulio la kumuondoa Muhammad Sinwar lilivyotekelezwa kwa njia ambayo ingegeuza mfumo wa mifereji ya maji kuwa mtego wa...
5 Reactions
46 Replies
2K Views
Ndio, nchini Iran unaweza kisheria kuuza baadhi ya viungo vya mwili, hasa figo. Iran ndiyo nchi pekee duniani ambako uuzaji wa figo ni halali na unadhibitiwa na serikali. Mfumo huu uliwekwa ili...
4 Reactions
80 Replies
3K Views
Katika hotuba yake ya kwanza kwa vyombo vya habari vya kimataifa Jumatatu, Papa Leo XIV aliwashukuru waandishi wa habari kwa huduma yao kwa ukweli na kwa kuwasiliana amani katika nyakati ngumu...
1 Reactions
0 Replies
210 Views
Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye ameongoza maelfu ya wakazi wa nchi hiyo katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa wabunge na madiwani huku akiwataka Warundi kutorudi katika...
0 Reactions
0 Replies
257 Views
Ijumaa ya tarehe 27 September 2024, katikati ya makao makuu ya Hezbollah yaliyopo kwenye mtaa uitwao Danieh kwenye viunga vya jiji la Beirut nchini Lebanon: Kikao cha kimkakati kilikuwa...
26 Reactions
50 Replies
4K Views
Wadau hamjamboni nyote? Tafadhali toa sababu za msingi ukinukuu vyanzo makini Lugha zisizo na staha haikubaliki Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu
0 Reactions
7 Replies
481 Views
Ni kijana Wode Maya kutoka Ghana ambaye amekuwa mstari wa mbele kuimba nyimbo na mapambio ya sifa kwa Ibra Traore, mtawala wa Burkina Faso. Hivi kwa nini wanaompamba sana Traore wengi wao kama...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Hii picha ya Rais Traore kukutana na Rais Maduro wa Venezuela huko Russia huku akiwa na Bastola yake inayoonekana wazi kabisa imejadiliwa sana. Tena sio hivyo tu bali pia Traore ameshuka kwenye...
9 Reactions
147 Replies
6K Views
Israel Mossad wanajua vizuri Yahya Sinwar alipo movements zake lakini kamwe hawataweza kuua na kumuangamiza kwasababu kazungukwa na mateka wayahudi hasa watoto na wanawake. Sinwar ni intelligent...
12 Reactions
59 Replies
4K Views
Najua wengi mmemmiss sana bwana Osama bin Laden, Mbali zaidi amekufa bila watu kuwahi kusikia hata sauti yake , Katika mahojiano yake alitoa sababu kuu nne 1. Marekani imeset standard zake...
3 Reactions
18 Replies
6K Views
IDF imejaribu kumuua kiongozi wa Hamas Mohammed Sinwar katika hospitali ya Gaza, duru zinaiambia Shirika la habari la 'Post' Maafisa wa usalama wameamini kwa muda mrefu kuwa Mohammed Sinwar...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Je, Israel inaweza kushambulia malengo gani ili kudhoofisha utawala wa Houthi? Kufikia sasa, Israel imeshambulia bandari, mitambo ya saruji, mitambo ya kuzalisha umeme na viwanja vya ndege nchini...
2 Reactions
15 Replies
808 Views
Huwa nasoma na kuchanganyikiwa. Watu wamegeuka mazwazwa hadi kushabikia uovu na uuaji! Japo siyo shabiki wa siasa za mashariki ya kati kwa sababu ni mambo yao, kinachoendelea Palestina kinaudhi na...
0 Reactions
5 Replies
289 Views
Kulingana na ripoti kutoka Gaza, mwandishi wa habari wa Palestina Hassan Aslih, anayejulikana kwa kuandika shambulio la Hamas la Oktoba 7 na kuwa na uhusiano wa karibu na Hamas, aliuawa katika...
3 Reactions
7 Replies
612 Views
Ni kweli kabisa Majeshi ya Israel yalijaribu mara moja kutaka kumuua Mwandishi huyo wa Kipalestina Hassan Aslih na kumjeruhi vibaya sana akalazwa Hospitali ambako jana waliamua kumfuata huko huko...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Rais wa Marekani Donald Trump yuko tayari kupokea ndege ya kifahari aina ya Boeing 747-8 kama zawadi kutoka kwa familia tawala ya Qatar wakati wa safari yake ya Mashariki...
0 Reactions
2 Replies
757 Views
Hawa walinzi makomandoo walinzi wa mfalme wa Saudi Arabia na Ikulu nasubiria kesho kuwaona kwenye ziara ya trump Saudi Arabia wengi wao NI waarabu weusi wanavaa nyeupe na mikanda mieusi huku...
2 Reactions
46 Replies
2K Views
Army aircraft were reportedly hovering above as the killings took place, showing command control of the operation. At least 130 civilians belonging to the Fulani ethnic group were killed by...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Kutokana na matishio ya kiusalama na matishio ya kumuua Rais Ibrahim Traore wa Burkina faso, kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un amesema serikali yake itaipatia Burkinafaso msaada mkubwa wa...
9 Reactions
27 Replies
2K Views
Hadithi Sunan an-Nasai 3175 inasema kuna Makundi mawili ya Umma wa Mohammad ambayo Allah atawaokoa kutoka moto wa Jehanam. Kundi moja ni Waislamu watakaoivamia India. Aidha, Kiongozi wa Juu wa...
4 Reactions
63 Replies
3K Views
Back
Top Bottom