Mwanahabari wa kijeshi Doron Kadosh akiwa na maelezo ya ziada kuhusu jinsi shambulio la kumuondoa Muhammad Sinwar lilivyotekelezwa kwa njia ambayo ingegeuza mfumo wa mifereji ya maji kuwa mtego wa...
Ndio, nchini Iran unaweza kisheria kuuza baadhi ya viungo vya mwili, hasa figo. Iran ndiyo nchi pekee duniani ambako uuzaji wa figo ni halali na unadhibitiwa na serikali. Mfumo huu uliwekwa ili...
Katika hotuba yake ya kwanza kwa vyombo vya habari vya kimataifa Jumatatu, Papa Leo XIV aliwashukuru waandishi wa habari kwa huduma yao kwa ukweli na kwa kuwasiliana amani katika nyakati ngumu...
Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye ameongoza maelfu ya wakazi wa nchi hiyo katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa wabunge na madiwani huku akiwataka Warundi kutorudi katika...
Ijumaa ya tarehe 27 September 2024, katikati ya makao makuu ya Hezbollah yaliyopo kwenye mtaa uitwao Danieh kwenye viunga vya jiji la Beirut nchini Lebanon:
Kikao cha kimkakati kilikuwa...
Ni kijana Wode Maya kutoka Ghana ambaye amekuwa mstari wa mbele kuimba nyimbo na mapambio ya sifa kwa Ibra Traore, mtawala wa Burkina Faso.
Hivi kwa nini wanaompamba sana Traore wengi wao kama...
Hii picha ya Rais Traore kukutana na Rais Maduro wa Venezuela huko Russia huku akiwa na Bastola yake inayoonekana wazi kabisa imejadiliwa sana.
Tena sio hivyo tu bali pia Traore ameshuka kwenye...
Israel Mossad wanajua vizuri Yahya Sinwar alipo movements zake lakini kamwe hawataweza kuua na kumuangamiza kwasababu kazungukwa na mateka wayahudi hasa watoto na wanawake.
Sinwar ni intelligent...
Najua wengi mmemmiss sana bwana Osama bin Laden,
Mbali zaidi amekufa bila watu kuwahi kusikia hata sauti yake ,
Katika mahojiano yake alitoa sababu kuu nne
1. Marekani imeset standard zake...
IDF imejaribu kumuua kiongozi wa Hamas Mohammed Sinwar katika hospitali ya Gaza, duru zinaiambia Shirika la habari la 'Post'
Maafisa wa usalama wameamini kwa muda mrefu kuwa Mohammed Sinwar...
Je, Israel inaweza kushambulia malengo gani ili kudhoofisha utawala wa Houthi?
Kufikia sasa, Israel imeshambulia bandari, mitambo ya saruji, mitambo ya kuzalisha umeme na viwanja vya ndege nchini...
Huwa nasoma na kuchanganyikiwa. Watu wamegeuka mazwazwa hadi kushabikia uovu na uuaji! Japo siyo shabiki wa siasa za mashariki ya kati kwa sababu ni mambo yao, kinachoendelea Palestina kinaudhi na...
Kulingana na ripoti kutoka Gaza, mwandishi wa habari wa Palestina Hassan Aslih, anayejulikana kwa kuandika shambulio la Hamas la Oktoba 7 na kuwa na uhusiano wa karibu na Hamas, aliuawa katika...
Ni kweli kabisa Majeshi ya Israel yalijaribu mara moja kutaka kumuua Mwandishi huyo wa Kipalestina Hassan Aslih na kumjeruhi vibaya sana akalazwa Hospitali ambako jana waliamua kumfuata huko huko...
Wadau hamjamboni nyote?
Rais wa Marekani Donald Trump yuko tayari kupokea ndege ya kifahari aina ya Boeing 747-8 kama zawadi kutoka kwa familia tawala ya Qatar wakati wa safari yake ya Mashariki...
Hawa walinzi makomandoo walinzi wa mfalme wa Saudi Arabia na Ikulu nasubiria kesho kuwaona kwenye ziara ya trump Saudi Arabia wengi wao NI waarabu weusi wanavaa nyeupe na mikanda mieusi huku...
Army aircraft were reportedly hovering above as the killings took place, showing command control of the operation.
At least 130 civilians belonging to the Fulani ethnic group were killed by...
Kutokana na matishio ya kiusalama na matishio ya kumuua Rais Ibrahim Traore wa Burkina faso, kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un amesema serikali yake itaipatia Burkinafaso msaada mkubwa wa...
Hadithi Sunan an-Nasai 3175 inasema kuna Makundi mawili ya Umma wa Mohammad ambayo Allah atawaokoa kutoka moto wa Jehanam. Kundi moja ni Waislamu watakaoivamia India.
Aidha, Kiongozi wa Juu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.