Kundi la kigaidi la PKK, ambalo limehusika na mapigano ya zaidi ya miongo minne na kuwaua zaidi ya watu 40,000, limetangaza kuwa limevunjwa na kuweka silaha chini
Chama cha Wafanyakazi wa...
Vituo kadhaa vya habari vya Gaza vinaitukuza video hii kuanzia leo. Inaonyesha magaidi huko Gaza wakiwanyonga watu wao wenyewe, bila kesi, hadharani.
Huu ni utamaduni wa aina gani? Ni nani...
Mwanadiplomasia wa Marekani nchini Israel amefichua mpango ambao utaanza hivi punde wa kuingiza misaada eneo la Gaza ili kuokoa maisha.
Huckabee amesema mpango huo utashirikisha makampuni binafsi...
Washukiwa watano wamekamtwa kuhusiana na kutoweka kwa mwandishi wa habari Aserie Ndlovu na mpenzi wake Zodwa Mdhluli wanatarajiwa kufikishwa katika Mahakama ya Hakimu wa KwaMhlanga huko...
Juzi tulishuhudia India ikitembeza kichapo ndani ya Pakistan ambapo Pakistan waliapa kulipiza, Sasa leo wametuma makombora kuelekea India.
Chanzo cha hii yote ni kwamba Pakistan wamekua wakilea...
Makamo wa raisi wa Marekani JD Vance amesema walipata taarifa za kientelijensia za kutisha na ndipo juhudi kubwa zikafanyika kusitisha vita kwa kumpigia waziri mkuu wa India,Neranda Modi haraka...
Mzuqa
Yani huyu bwana mdogo hatari sana. Umri mdogo tu 32 anawapelekesha watu vibaya sana.
Ni yeye ndie alilazimisha waziri wa mambo ya nje Marekani Rex Tillerson kufukuzwa kazi na Trump. Hii...
Hamas wamekubaliana na marekani kumuachia raia pacha wa israel na marekani hapo kesho,baada ya mazungumzo ya Hamas na marekani
Marekani hivi karibuni imekua ikiingia makubaliano na makundi hasimu...
Serikali ya kijeshi ya nchini MALI imetangaza kusitishwa kwa shuguli zote za vyama vya kisiasa nchini humo hadi hapo itakapotangazwa tena. Tangazo hilo limetolewa tarehe 7 May 2025 kupitia...
Wadau hamjamboni nyote?
IDF na Mossad wameupata mwili wa Sgt. Daraja la Kwanza Zvi Feldman, ambaye hajapatikana tangu Vita vya Kwanza vya Lebanon vya 1982 vya Sultan Yacoub, Waziri Mkuu Benjamin...
Baada ya magaidi wa Hamas kuonekana wakijikusanya kwa wingi katika jengo moja huko Khan younis majeshi ya Israel yaliamua kulishambulia kwa bomu jengo hilo na kuangamiza kila kitu ki licho kuweto...
Wahouthi huko Yemen wametangaza mkakati wa kulifunga anga la israel kwa kupiga viwanja vya ndege
Kwa ile shughuli iliyofanywa leo ben gurion, sidhani kama kuna ndege itaeanda israel
Shirika la...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo
Syrian minister says Qatar to provide $29 million a month for salary payments
By Reuters
Qatar is set to provide Syria with $29...
https://www.instagram.com/p/DJb7VKly4tE/?igsh=MTdyMjI3eTRiaHlxag==
My Take
Kiwango hicho Cha ugunduzi kitaifanya Somalia kuwa mzalishaji namba 3 wa Mafuta Afrika nyuma ya Nigeria na Libya...
Ndugu zangu Watanzania,
Kumbe Rais Wa Burkina Faso Ibrahim Traore tabia ya kufanya mbwembwe za kuweka Silaha Kiunoni ikiwa nje nje pamoja na kusalimia watu na viongozi mbalimbali kwa kuwapa Tano...
Makamu wa Rais wa Ufilipino, Sara Duterte, ameondolewa madarakani kwa tuhuma kadhaa, zikiwemo kupanga kumuua Rais wa nchi hiyo, ufisadi wa kiwango kikubwa, na kushindwa kulaani vikali hatua za...
Pakistani wapo milioni 247 wakati India wapo zaidi ya milioni 1400 (bilioni 1.4) hivi lakini Pakistan wameweza kumshughulikia India ipasavyo
Hili nawaambiaga humu hata Rwanda hatupaswi...
✓✓✓New details on the million-dollar theft✓✓✓✓✓
In the recent history of the small town of West Haven, two major events have unfolded. The first was the theft of one million dollars, committed...
HUYU NDIYE PAPA MPYA.
Robert Francis Prevost, aliyezaliwa tarehe 14 Septemba 1955 mjini Chicago, Marekani, ni Papa mpya wa Kanisa Katoliki, Anachukua jina la Papa Leo wa XIV. Kuchaguliwa kwake...
Kuna habari kuwa baadhi ya wanajeshi walioasi nchini Guinea walifanya jaribio la kutaka kumuua kiongozi wa kijeshi wa nchi hiyo Capteni Mousa Didas Kamara. Habari zinasema kuwa mlinzi wa Capteni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.