Mataifa ya Magharibi yahimizwa kuunga mkono vita dhidi ya Tehran kupitia kampeni ya mitandaoni
Israel imeonya kuwa makombora yanayorushwa na Tehran yanaweza kulenga Ulaya, huku ikiongeza juhudi...
Trump atatoa wiki mbili zaidi kwa ajili ya diplomasia kabla ya kuamua juu ya shambulio la Marekani dhidi ya Iran, yasema Ikulu ya White House
Msemaji wa Ikulu ya White House, Karoline Leavitt...
Mods msiunganishe huu Uzi tafadhali ili kuweka mizani sawa ya kile kilichojiri kwenye mashambulizi ya Iran ndani ya Israel, hii ni kuonyesha uhalisia baada ya Israel na vyombo vya habari vya...
Balozi wa Israel katika Umoja wa Mataifa, Danny Danon, Amshambulia Balozi wa Iran kwa Kusema "Anajifanya Mhusika wa Unyanyasaji"
Balozi wa Israel katika Umoja wa Mataifa, Danny Danon, ambaye...
1. Marekani na Migogoro ya Mashariki ya Kati
Iraq (2003): Marekani ilivamia Iraq kwa madai kuwa Saddam Hussein alikuwa na silaha za maangamizi (WMD), jambo ambalo baadaye halikuthibitishwa. Vita...
Kutoka kwenye korido za mamlaka mjini Malabo hadi maduka ya kifahari ya Paris na Mahakama za Geneva, simulizi ya Teodorin Obiang Mangue, Makamu wa Rais wa Guinea ya Ikweta na mtoto wa rais...
Biblia ya Scofield ni tafsiri ya King James Version (KJV) iliyoambatana na maelezo ya kina kutoka kwa Cyrus Ingerson Scofield, mchungaji wa Kimarekani aliyekuwa na ushawishi mkubwa katika karne ya...
Inakuaje Serikali ya nchi flani ijipange kuifuta nchi nyingine?
Hapa najiuliza sipati jibu. Taifa kutafuta NGUVU za kivita ukiwa na lengo ya kuzitumia sio kujilinda bali kwenda kuliangamiza taifa...
Huyu ndo bibi Netanyahu waziri mkuu mpenda vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel?
Mbona kanywea hivi?Mbona kawa hivi hatujamzoea hivi?[emoji33][emoji33][emoji1313][emoji1313]
Miongoni mwa watu...
Ukisoma historia ya waisrael, ni waarabu wenye dini tofauti baina yao na waarabu wenzao ambao ni waislam nao wayahudi. Ila ukaingalia wengi wanaojiita waisrael kama akina Netanyahu, unagundua kuwa...
Trump Asema Iran Inataka Kuzungumza na Marekani, Sio Umoja wa Ulaya
Rais wa Marekani, Donald Trump, alisema siku ya Ijumaa kuwa Washington imekuwa na mawasiliano na Iran, na kuongeza kuwa Tehran...
Mahakama jijini London imemhukumu kifungo cha maisha jela raia wa China, Zhenhao Zou (28) na mwanafunzi wa shahada ya uzamili, kwa kosa la kuwabaka wanawake 10 nchini Uingereza na China.
Zou...
Siku kadhaa baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump kuwaonya raia wa Iran waliopo mji wa Tehran kuhama mara moja kuwa kutakuwa na mashambulizi yanayoweza kufanyika katika eneo hilo amedai kuwa ba...
Katika hali isiyotarajiwa jana kuliripotiwa kuwepo kwa tetemeko la ardhi lenye kipimo cha Ritcher 4.5 katika eneo la Semnan nchini Iran tukio linalokuja siku kadhaa tangu mzozo kati ya Israel na...
Tumeisha toa amri Israel lazima atiwe adabu na nchi yeyote inayo ingilia tutaishambulia
https://youtu.be/ij4yaxMawng?si=Pepu-im6QwJ48gLZ
Vitu vinaondoka mda huu...
Mshauri wa kiongozi Ali Shamkhani, aliyejeruhiwa katika uvamizi wa Israel, anasema 'alfajiri ya ushindi imekaribia'
Kukomesha uvumi, Admiral Ali Shamkhani, mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya...
Kampuni ya TotalEnergies (TTEF.PA) inatarajia kuanza tena uendelezaji wa mradi wake wa gesi asilia iliyolengwa kushindikwa (LNG) wenye thamani ya dola bilioni 20 nchini Msumbiji “msimu huu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.