Picha la Kutisha: Huyu ndo Netanyahu?

Picha la Kutisha: Huyu ndo Netanyahu?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,170
Reaction score
24,555
Huyu ndo bibi Netanyahu waziri mkuu mpenda vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel?

Mbona kanywea hivi?Mbona kawa hivi hatujamzoea hivi?[emoji33][emoji33][emoji1313][emoji1313]

Miongoni mwa watu wanaokaribia kufa vibaya ni huyu mzee[emoji1313][emoji1313]

Mbona kawa hivi kwani imekuaje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
20250620_225357.jpeg
20250620_182450.jpeg
 
Jamaa sasa hivi anaishi shimoni kama panya. Hali, haogi wala halali. Kila anapokaa anahisi Ayatollah atamuangushia kitu kizito kichwani kwake. Hata ingekuwa wewe ungeisha na kuzeeka kwa wiki moja tu mkuu.

Hapo vita ina week 1 tu. Sasa ikifika mwezi, miezi, mwaka, miaka kama ile ya Ukraine si ndo tutamkuta amejifia ndani peke yake. Anashindwa ukakamavu hata na Zelenks wa Ukraine japo husahau kuchana nywele.
 
Huyu ndo bibi Netanyahu waziri mkuu mpenda vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel?

Mbona kanywea hivi?Mbona kawa hivi hatujamzoea hivi?[emoji33][emoji33][emoji1313][emoji1313]

Miongoni mwa watu wanaokaribia kufa vibaya ni huyu mzee[emoji1313][emoji1313]

Mbona kawa hivi kwani imekuaje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3377169View attachment 3377170
Umeanza kumsikia lini?
 
Huyu ndo bibi Netanyahu waziri mkuu mpenda vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel?

Mbona kanywea hivi?Mbona kawa hivi hatujamzoea hivi?[emoji33][emoji33][emoji1313][emoji1313]

Miongoni mwa watu wanaokaribia kufa vibaya ni huyu mzee[emoji1313][emoji1313]

Mbona kawa hivi kwani imekuaje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3377169View attachment 3377170
Wiki tu kazeeka zaidi,Yuko rafu..halali pazuri
 
[emoji23]
Jamaa sasa hivi anaishi shimoni kama panya. Hali, haogi wala halali. Kila anapokaa anahisi Ayatollah atamuangushia kitu kizito kichwani kwake. Hata ingekuwa wewe ungeisha na kuzeeka kwa wiki moja tu mkuu.

Hapo vita ina week 1 tu. Sasa ikifika mwezi, miezi, mwaka, miaka kama ile ya Ukraine si ndo tutamkuta amejifia ndani peke yake. Anashindwa ukakamavu hata na Zelenks wa Ukraine japo husahau kuchana nywele.
 
Aisee kachakaa vibaya mno
Jamaa sasa hivi anaishi shimoni kama panya. Hali, haogi wala halali. Kila anapokaa anahisi Ayatollah atamuangushia kitu kizito kichwani kwake. Hata ingekuwa wewe ungeisha na kuzeeka kwa wiki moja tu mkuu.

Hapo vita ina week 1 tu. Sasa ikifika mwezi, miezi, mwaka, miaka kama ile ya Ukraine si ndo tutamkuta amejifia ndani peke yake. Anashindwa ukakamavu hata na Zelenks wa Ukraine japo husahau kuchana nywele.
 
Anakunywa zake chai kwenye handaki
Sio shida zake
 

Attachments

  • IMG-20250620-WA0098(1).jpg
    IMG-20250620-WA0098(1).jpg
    104.7 KB · Views: 16
  • IMG-20250620-WA0098(1).jpg
    IMG-20250620-WA0098(1).jpg
    104.7 KB · Views: 16
Huyu ndo bibi Netanyahu waziri mkuu mpenda vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel?

Mbona kanywea hivi?Mbona kawa hivi hatujamzoea hivi?[emoji33][emoji33][emoji1313][emoji1313]

Miongoni mwa watu wanaokaribia kufa vibaya ni huyu mzee[emoji1313][emoji1313]

Mbona kawa hivi kwani imekuaje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3377169View attachment 3377170
Umeweka avatar ya ayatollah,halafu unajifanya neta kapata tatizo gani,
 
Huyu ndo bibi Netanyahu waziri mkuu mpenda vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel?

Mbona kanywea hivi?Mbona kawa hivi hatujamzoea hivi?[emoji33][emoji33][emoji1313][emoji1313]

Miongoni mwa watu wanaokaribia kufa vibaya ni huyu mzee[emoji1313][emoji1313]

Mbona kawa hivi kwani imekuaje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3377169View attachment 3377170
I like his boldness. Ameenda mpaka eneo hatarishi , kweli huyu mwamba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom