Rais wa Marekani Donald Trump alitangaza kwamba Marekani inarejesha kizuizi chake cha majini dhidi ya Iran, akitangaza kwamba Marekani sasa itajulikana kama "Mlinzi wa Mlango Bahari wa Hormuz."...
Aliyekuwa Rais wa Iran, Mahmoud Ahmadinejad (aliyeongoza hadi mwaka 2013), anaripotiwa kushikiliwa na mamlaka nchini humo kufuatia mfululizo wa kauli zake za ukosoaji dhidi ya serikali.
Taarifa...
Serikali ya Yemen inayotambuliwa kimataifa imesema vikosi vyake vimeishambulia Uwanja wa Ndege wa Sanaa unaodhibitiwa na waasi wa Houthi, kwa lengo la kuzuia ndege ya Iran kutua katika uwanja huo...
Wakati ukandamizaji ukizidi kushika kasi Burkina Faso na sifa kedwkede Kwa Traore ximeyeyuka baada ya Nchi kugeuka omba omba wa Kila kitu.
Bwana yule alijizolea umaarufu miongoni Kwa wajinga na...
Hatimaye leo 10 July, China imeandika historia nyingine angani!
Roketi ya Long March 10B ilirushwa kutoka Hainan, na baada ya kutimiza kazi yake, booster ilirudi duniani kwa kutua wima kwenye...
US President Donald Trump said on Sunday that Iran's new leadership wants to talk to him and that he has agreed.
“They want to talk, and I have agreed to talk, so I will be talking to them...
time is ticking for the communist cuba aidha kuingia dili na D.Trump (ending communism na kurudia Christian democracy) au waendelee kushupaza shingo wakiwa gizani, hali ni mbaya sana, kisiwa chote...
Aliyekuwa kiongozi wa Qatar, Hamad bin Khalifa Al Thani, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 74, kwa mujibu wa Shirika la Habari la Serikali ya Qatar (QNA). Sababu ya kifo chake haikutangazwa...
Israel imeishirikisha Marekani taarifa za kiintelijensia zinazoonyesha kuwa Iran imesuka mpango mpya na mahususi wa kutaka kumuua Rais Donald Trump.
Ingawa Marekani imekuwa ikifuatilia vitisho...
Namaste, Tike, Buri na Buda ndo maneno maarufu Nepal
Namaste iko Kama Indian ni salamu, Buri maana yake Mume, na buda ni mke,
Hali ya Nepali Kiuchumi
Nilifikia Kathamndul kwa Miezi miwili lengo...
Afisa wa Jeshi la Anga la Marekani, Jason Watson, alikamatwa baada ya kutoa tamko hadharani akitaka Rais na Makamu wa Rais washtakiwe na kuondolewa madarakani.
Kwa sasa Watson anakabiliwa na...
Mahakama ya Katiba nchini Senegal imetupilia mbali mswada uliokuwa unalenga kupunguza madaraka ya Rais na kuongeza yale ya Bunge.
Uamuzi huo wa Alhamisi ndio maendeleo ya hivi punde katika...
Ushahidi umekamilika sasa kilichobaki ni namna ya kumpeleka ICC ahukumiwe.
Alipoulizwa.kuwa Bashir mpaka leo hajapelekwa huko akajibu: Ni mamlaka za ndani kumkabidhi kwetu tumshughulikie...
Wanaukumbi.
IRGC ya Iran Yajibu kwa Mgomo Mzito kwenye Kambi za Marekani
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya: Hatutaruhusu Marekani kuingilia mambo au kusimamia Mlango-Bahari wa Hormuz.
Tukio hilo...
Wasalaam kwa kinachoendelea kwa sasa ni dhahir mgogoro wa Iran na Marekan&Israel haujapata suluhu.. vikao kadhaa za vya maridhiano vimefanyika lakin havijazaa matunda
Juzi Nato wamekaa kikao...
Nimetoka SabaSaba!
Hali iko shwari kabisa. Ingawaje hakuna watu wengi kutokana na hali ilivyo pamoja na hali ya hewa ya manyunyu.
Kuna watu wananiambia hapa hakuna Nywinyinywi wala...
Mapema Leo Trump alisema usiku huu watafanya mashambulizi Makubwa ndani ya Iran. Kweli bwana muda huu Kuna mashambulizi Makubwa ya Maangamizi yanafanyika ndani ya Iran😭
Marekani wanapiga Kila...
Leo jeshi la wanajeshi wa mapinduzi ya kiislam ya Iran IRGC limesema kuwa hakutakua na muingiliano wowote wa majeshi kutoka nje ya nchi za ghuba na ghuba ya uajemi usipokua Iran.
Strait of...