International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Rais Trump wa Marekani amesema kuwa Marekani imeshambulia site tatu za mitambo ya nyuklia ya Iran vilivyoko Fordow, Natanz na Isfahan huku akiwaonya Iran kutolipiza kisasi Pia Waziri Mkuu wa...
31 Reactions
533 Replies
23K Views
1. Lord's Resistance Army (LRA): Hili ni kundi la waasi lililoanzishwa mwaka 1987 nchini Uganda na Joseph Kony. Kundi hili limehusishwa na vitendo vya kikatili, ikiwa ni pamoja na utekaji nyara...
17 Reactions
123 Replies
28K Views
Anawaambia Congo na Rwanda ole wenu atakaekiuka mkataba huu. Hii ni baada ya kuwasainisha mkataba. Trump ana dharau mpaka anakera.
10 Reactions
44 Replies
2K Views
Hatua ya Donald Trump kupunguza kiwango kikubwa cha ufadhili wa Marekani kuelekea misaada ya kibinadamu ya kigeni inaweza kusababisha vifo vya zaidi ya watu milioni 14 ifikapo mwaka 2030...
5 Reactions
29 Replies
1K Views
Mahakama ya Katiba ya Thailand imemsimamisha kazi Waziri Mkuu Paetongtarn Shinawatra, ambaye anakabiliwa na shinikizo kubwa la kujiuzulu baada ya tukio la kuvujishwa kwa mazungumzo yake ya simu na...
2 Reactions
17 Replies
987 Views
Kiongozi wa upinzani nchini Chad na Waziri Mkuu wa zamani, Succès Masra, ambaye amekuwa kizuizini kwa zaidi ya mwezi mmoja, amesitisha mgomo wake wa kutokula chakula uliodumu karibu wiki moja, kwa...
0 Reactions
1 Replies
414 Views
Ndani ya wiki moja baada ya kusitisha mapigano, israel imepokea zaidi ya tani 800 za silaha toka marekani, ujerumani na nchi za magharibi,bila shaka na makombora ya udunguaji ya iron dome Pakiwa...
13 Reactions
105 Replies
6K Views
Imeweza kuthibitishwa sasa kwamba yale mabomu ya Marekani na Israel yaliweza kuyeyusha kabisa kilogram 400 za uranium zilizokuwa zimerutubishwa kwa asilimia 60 na Iran. Vyanzo vya kuaminika...
5 Reactions
32 Replies
2K Views
WATAALAM SADC WAKUTANA ZIMBABWE KUJADILI SEKTA YA NISHATI NA MAJI 📌 Miundombinu ya usafirishaji umeme kikanda kujadiliwa 📌 Nishati Safi ya kupikia kupewa kipaumbele 📌 Mkakati mahsusi wa...
0 Reactions
1 Replies
228 Views
Yohana Jacob, a father of three from Kisiriri Village in Iramba District, has been a farmer for more than 20 years. Like many smallholder farmers in the Singida region, he faced major setbacks...
0 Reactions
0 Replies
433 Views
Mwanaume Mwingereza mwenye umri wa miaka 92 amehukumiwa nchini kwa kosa la ubakaji na mauaji yaliyotokea karibu miaka 60 iliyopita, katika moja ya kesi kongwe zaidi za jinai nchini Uingereza...
0 Reactions
1 Replies
425 Views
Una chochote unachojiuliza kuhusu Rwanda? Una chochote unachotaka kujua kiundani zaidi? Una chochote ulichokisikia na bado umebaki njia panda!! Iwe jambo la maana, iwe utani, iwe siasa...
31 Reactions
483 Replies
24K Views
Wakati wa usiku, mifumo ya ulinzi wa anga "iliharibu na kukatiza" droni 60 za Ukraine, Wizara ya Ulinzi ya Urusi inadai. Kulingana na taarifa hiyo, ndege zisizo na rubani 17 zilipigwa juu ya...
0 Reactions
1 Replies
339 Views
Citizen Digital Live TV Live Radio search Change of Guard: President Ruto makes new appointments, promotions in KDF Joseph Muia By Joseph Muia Published on: June 27, 2025 12:59 (EAT)...
0 Reactions
2 Replies
948 Views
Vita inayoendelea ya kupandishiana ushuru kati ya Marekani na China (ongeza niongeze) imekula kwa China, wamejipiga pini kwa kuona ni sifa kubwa kusifiwa sio waoga lakini Marekani inazidi...
21 Reactions
222 Replies
11K Views
Mchambuzi wa runinga ya taifa ya Iran amesema Jumapili kuwa usitishaji wa mapigano uliopo kwa sasa ni kipindi kifupi tu kwa Israel na Marekani kujipanga upya, na kwamba wataendelea na mashambulizi...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Inashangaza jinsi waandishi wa habari wa BBC na CNN waliweza kumpata Osama kwa mahojiano lakini serikali ya Marekani haikuweza kumpata kwa miaka mingi Sasa najiuliza walikuwa wanawaelekezaje njia...
21 Reactions
115 Replies
5K Views
Elon Musk anasema bajeti ya serikali ya Trump maarufu kama "Big Beatiful Bill" iliyopitishwa na bunge linaloongozwa na Republicans ni ya hovyo kuwahi kutokwa na itavunja rekodi kuongeza deni la...
4 Reactions
8 Replies
588 Views
Wakuu wale wanaharakati wa Kenya na Uganda waliodai kufanyiwa vitendo vya kikatili na Tanzania wamesema lazima wadai fidia kwa Serikali ya Tanzania. Haya yameandikwa kwenye gazeti maarufu la...
4 Reactions
8 Replies
534 Views
Brand Mini LIVE 'I am not offering Iran anything,' Trump says 'I am not offering Iran anything,' Trump says Summary US President Donald Trump said Monday he is not offering Iran “anything” and...
0 Reactions
3 Replies
998 Views
Back
Top Bottom