Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametetea uamuzi wa nchi yake kusitisha ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Nguvu za Atomiki,IAEA, akimtuhumu mkuu wake kwa mwenendo wa kile alichokiita...
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesaini sheria ya kusitisha ushirikiano na Shirika la Kimataifa la Nishati ya Nyuklia (IAEA), huku mvutano ukizidi kati ya Tehran na shirika hilo la Umoja wa...
Uchambuzi
Iran ni nchi maskini ila Tanzania ni nchi maskini zaidi kuliko iran, lakini iran ni nchi yenye jeshi imara lenye uwezo wa kutengeneza mabomu ikiwemo nuclear japo kwa sasa haina silaha...
Baada ya Rais Ruto wa Kenya kulewa kidini na kuifanya dini kuwa mojawapo ya nyenzo kuu za utawala wake kuvuna ushawishi miongoni mwa raia hadi kufikia kujenga kanisa ikulu ya Kenya kwa kile...
Gesi kali aina ya Benzene imevuja na kutanda mjini Haifa, Israel baada ya Iran kulipua kituo cha usafishaji mafuta mjini humo
Uvujaji wa gesi hiyo imerikodiwa kuwa mara 100 ya kiasi kile cha...
Rais Paul Kagame wa Rwanda amesema kuwa kuna fursa ya kufikia makubaliano ya amani katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na kuongeza kuwa mzozo katika nchi hiyo unasababishwa na msukumo...
Mnangagwa aachiwa huru
Nchini Zimbabwe, Mhariri wa Gazeti huru la Zimbabwe Independent Faith Zaba, aliyekamatwa wiki hii kwa kuandika na kuchapisha makala ya kumkosoa Rais Emmerson Mnangagwa...
Museveni siku hizi amelegea, makobaz ameyaachia yanaanza kuzagaa na yanamshika kidevu, hili ni tukio la pili mwanamke kujilipua bomu. Kuna lile la kwanza ambapo mwanamke na mwanaume walilipukiwa...
Siku chache baada ya kutoa ushahidi wake mbele ya Kitengo cha Uhalifu Dhidi ya Binadamu katika Mahakama Kuu ya Paris, familia ya Bongo inaendelea kusisitisha madhila na mateso waliyoyapata kutoka...
Maafisa wa uhamiaji wa Marekani wamemkamata mshambuliaji maarufu wa ndondi wa Mexico Julio Cesar Chavez Jr, mwenye umri wa miaka 39, na wana mpango wa kumrejesha Mexico ambako ana "kibali cha...
Hamas inasema inashauriana na makundi mengine ya Wapalestina kabla ya kutoa jibu rasmi kwa pendekezo la hivi punde la usitishaji vita upya huko Gaza na kuachiliwa kwa mateka lililotolewa na...
Wakuu,
Huko nchini Marekani, Chama cha Democrats kimemteua Zohran Mamdani, mwenye asili ya kutoka Uganda na India, kuwa mgombea wake katika kinyang’anyiro cha Umeya wa Jiji la New York baada ya...
Urusi imekuwa nchi ya kwanza duniani kutambua rasmi serikali ya Taliban nchini Afghanistan, takriban miaka 4 baada ya kundi hilo kurejea madarakani mnamo Agosti 2021. Moscow imesema itashirikiana...
Iran leo ilitangaza kufunga anga lake la magharibi na Kati kwa ndege za kiraia, mpaka kesho
Inazua wasiwasi wakati huu israel ikiwa kwenye mazungumzo mazito na marekani na madege ya mizigo ya...
Rais Donald Trump wa Marekani atakutana na viongozi kutoka mataifa matano ya Afrika mjini Washington wiki ijayo, kujadiliana 'fursa za kibiashara' kwa mujibu wa Ikulu ya White House.
Trump...
Nakala kamili ya pendekezo la Witkoff la kusitisha mapigano Gaza na mpango wa kuwaachilia mateka
Yafuatayo ni maandishi ya mjumbe maalum wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati Steve Witkoff...
Dunia imechoshwa na hawa Wazayuni
Walioeneza ushoga na usagaji na ponografia ni wao
Ni mawakala wa Vita Dunia nzima
Ni waasisi wa Ubaguzi wa Rangi dunia nzima
Ni waasisi wa chuki na...
Madhara ni makubwa mno, hii ndo lists ya hasara walizopata Israel katika vita vyake vya siku 12 na Iran
1.Zaidi ya Waisrael elfu 18 wamebaki bila makazi hapo ni Telaviv tu
2.Hasara ya Trilioni...
Wakuu,
Jeshi la Israel limefanya mashambulizi makubwa Gaza, likisema linashambulia ngome za Hamas. Wizara ya Afya ya Hamas imeripoti vifo vya watu 330.
Mashambulizi yalianza alfajiri wakati wa...
Ndugu kulikua na mtifuano humu jf baina ya waisrael wa buza na wa Iran wa yombo ila sioni fact za kutetea Israel kwa vita ya rising lion ya siku 12 nimemaliza uzi kwa kuuliza wako wapi waliosema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.