Kutoka BBC Swahili
10 Julai 2025
Habari za magazeti ya Uingereza zinaangazia wasiwasi unaoongezeka kuhusu machafuko ya ndani nchini China, huku kukiwa na ripoti za mvutano kati ya Rais Xi Jinping...
Afisa mwandamizi wa ujasusi wa Ukraine ameuawa kwa kupigwa risasi mchana kweupe mjini Kyiv, maafisa wamesema.
Afisa huyo wa Huduma ya Usalama ya Ndani ya Ukraine alipigwa risasi mara kadhaa...
Askari wa akiba aliuawa huko Khan Yunis baada ya kuhangaika na magaidi waliojaribu kumteka nyara.
Kulingana na uchunguzi wa awali, wakati wa operesheni za IDF huko Khan Yunis, magaidi waliibuka...
Jana wakati Rais Trump alipokutana na baadhi ya viongozi wa nchi za Afrika Magharibi, alimsifia Rais wa Liberia kwa kuongea Kiingereza kizuri.
Maneno hayo ya Trump yamezua mjadala.
Kuna wanaodai...
The Challenge
Approximately one-quarter of Tanzanian women will experience sexual violence before the age of 18, and in a National cross-sectional survey conducted with ~15,000, 15–24-year-old...
Watu tisa wa familia ya Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Felix Tshisekedi
wamefunguliwa kesi mjini Brussels wakishutumiwa kwa wizi wa madini ya migodi iliyopo majimbo ya Lualaba na Upper...
Julai 10, 2025, kupitia ripoti ya UNAIDS iliyozinduliwa nchini Afrika Kusini, Mkurugenzi Mtendaji wa UNAIDS, Winnie Byanyima, alieleza hatua ya Marekani kusitisha ghafla ufadhili kupitia mpango...
Habari hii sijaichakachua. Nairipoti kama nilivyoisikia. Tazama source ujiridhishe.
Habari kutoka Iran zinasema kwamba misikiti mingi sana(kwa maelfu) katika nchi ya Iran imefungwa na mamilioni...
Ayatullah Ahmad Khatami, mjumbe wa Baraza la Walinzi la utawala wa Iran, alisema katika khutba ya Ijumaa (Julai 4) mjini Tehran kwamba Trump na Netanyahu wanahitaji kunyongwa.
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amewataka viongozi na wafanyabiashara waongeze uwekezaji katika ulinzi, wakati ambapo Urusi inaimarisha mashambuliziZelensky amesisitiza kwamba huo ndio msimamo...
https://www.youtube.com/watch?v=SqJvJ4Yv8Xw
Kila Mmoja ameshinda kivyake ila faida amepata Israel malengo yote 100%
Iran kwake kupona kwa Ayatollah na kuendelea kutawala Iran ni Ushindi kwake 100%
Cairo. Mpango wa Diplomasia ya Afya kwa Wanafunzi wa Tiba umezinduliwa nchini Misri kwa udhamini wa Muungano wa Kimataifa wa Wanafunzi wa Tiba wa nchi hiyo na tawi lake katika Chuo Kikuu cha MTI...
Magaidi wa dini ya waislamu, Alshabaab wakiri ndio walihusika kwenye bomu lililolipuliwa jana kwa mmoja wao kujitoa mhanga......
An explosion hit a military base in the Somali capital on...
Rais wa Marekani Donald Trump, amefanya mkutano na viongozi wa nchi tano za Afrika, Gabon, Guinea-Bissau, Liberia, Mauritania na Senegal katika Ikulu ya White House. Mkutano huo uliandaliwa...
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amewataka washirika wake kuharakisha kuiwekea Urusi vikwazo vipya baada ya Urusi kuishambulia Ukraine usiku kucha kwa kutumia makombora na mamia ya ndege za...
Naona mwamba ana jambo lake kwa afrika
Naangalia tv hapa WANASEMA trump ameitisha chakula cha Pamoja kwa viongozi WA afrika
Jambo gani
Niko kwa wakala nawela bundle ngoja tusubirie
===
Rais wa...
Mkutano wa 16 wa viongozi wa nchi za BRICS umefungwa hivi karibuni nchini Brazil, ambapo viongozi wanaohudhuria mkutano huo wamejadili kwa kina mada mbalimbali ikiwemo akili bandia na mabadiliko...
She claims she thought it was a bonus
A Florida horse clinic mistakenly paid a receptionist with a veteranian's checks and now the $60, 000 a year employee stands accused of stealing hundreds of...
Wakati Dunia ikiadhimisha siku ya Kiswahili, lugha hiyo sasa inaonekana kuvuka mipaka ya Afrika Mashariki, ambapo sasa Jukwaa la Kimataifa la Nasser la nchini Misri limejitokeza kuwawezesha vijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.