Hii ni sawa kweli?

KiuyaJibu

JF-Expert Member
Aug 29, 2007
843
176
Serikali ya Nigeria imetoa agizo kuwa wanawake wanaovaa suruali za kubana wachapwe viboko hadharani ili kufanya jamii iwe na adabu kabisa.
Je, unauonaje uamuzi huu?-Voice of Zigua
FB_IMG_1476457643483.jpg
 
KUTOKANA na kuporomoka ki maadili naiona hiyo ni sahihi kabisa jpm angeiruhusu na uku hiyo ingekuwa vyema sana
 
Back
Top Bottom