technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,647
- 58,453
Barack Obama Rais wa marekani kupitia chama cha Democratic amesema Jana kuwa Trump ni mbaguzi wa hali ya juu na hawezi kuwa Rais wa taifa kubwa kama marekani .
Amesema video iliyovuja na kuonyesha akiwazalilisha wanawake imemfanya asiweze kuaminika tena hata na watu wachache waliokuwa bado wanaimani naye..
Amesema pia wakati ni sasa ambapo amekuwa akiona wanachama mmoja mmoja wa Republican wakijitokeza kumpinga sasa ni wakati wa kumutimua na kutafuta mgombea anayefaa.....
""It the right time for all Republican representative to say enough is enough for you're Racist tell him the Truth find another representative"
Obama amesikitishwa sana na kampeni za ubaguzi kutoka kwa Bilionea huyo na kuwaonya kuwa hakuna wamarekani wenye akili timamu watamaomchagua mtu aina ya Trump.
Chanzo : BBC
Amesema video iliyovuja na kuonyesha akiwazalilisha wanawake imemfanya asiweze kuaminika tena hata na watu wachache waliokuwa bado wanaimani naye..
Amesema pia wakati ni sasa ambapo amekuwa akiona wanachama mmoja mmoja wa Republican wakijitokeza kumpinga sasa ni wakati wa kumutimua na kutafuta mgombea anayefaa.....
""It the right time for all Republican representative to say enough is enough for you're Racist tell him the Truth find another representative"
Obama amesikitishwa sana na kampeni za ubaguzi kutoka kwa Bilionea huyo na kuwaonya kuwa hakuna wamarekani wenye akili timamu watamaomchagua mtu aina ya Trump.
Chanzo : BBC