International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Mamlaka za Misri zimeanza kuwasaka vijana maarufu wa TikTok wenye mamilioni ya wafuasi, ambapo katika wiki za karibuni makumi yao wamekamatwa. Polisi wamesema wanafanya uchunguzi na baadhi ya...
0 Reactions
0 Replies
331 Views
Msemaji wa kundi la Hamas Abu Ubaida ameangamizwa Leo na jeshi la Israel tumuombee inshallah afike salama huko kuzimu anapoelekea Kwa sasa. Heko IDF Kila gaidi aliyehusika na tukio la Oct 7...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Tathmini za Israel zinaonyesha kuwa Abu Ubaida ameangamizwa bila huruma yoyote Afisa mmoja mkuu wa Israeli alisema: "Ikiwa angekuwa huko, hakuna uwezekano wa kunusurika jaribio hili la mauaji."...
4 Reactions
54 Replies
2K Views
Naangalia Al-Jazeera Naona Kiongozi wa Waasi wa Hamas, Mohammed Sinwar ameliwa Kichwa na yeye ameshakutana na wale Mabikira 72 Ikumbukwe jana tu Msemaji wa Hamas naye amewahi kukutanishwa na...
9 Reactions
22 Replies
1K Views
Majanga Kwa Putin🤔 .. Pokrovsk continues to be one of the hottest areas on the frontlines in , the scene of fierce fighting.
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Rais wa Tume ya Ulaya, Ursula von der Leyen, ameeleza hasira yake kufuatia shambulio kubwa zaidi la Urusi mjini Kyiv tangu Julai, ambapo watu 23 akiwemo watoto wanne waliuawa na ofisi ya ujumbe wa...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
dah jana sikuamini mlivyoamua kushangiliq wamoroco hivi mmelogwa mmnwezqje kuandaa mashindano na mwishoo mnaishia kushangilia timu za wageni.........Wageningen.......... Nawaza.mmelogwa ama
1 Reactions
1 Replies
463 Views
Hili suala ni kweli au laa!?.. trump hajaonekana hadharani tangu jumanne na hata ratiba yoyote ya kuonekana hadharani kwa muda wa wiki, tofauti na ada yake. Vance kakoleza uvumi kwa kusema yuko...
9 Reactions
84 Replies
5K Views
https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kimataifa/aliyekuwa-spika-bunge-la-ukraine-auawa-kwa-kupigwa-risasi-5173452
3 Reactions
10 Replies
928 Views
Iblisi ni kiumbe miongoni mwa majini ambaye huwapambia binadamu matendo yaliyo maovu sana akitumia fursa aliyoiomba siku alipoumbwa binadamu. Hata hivyo Iblisi mara mtu anapotenda lile ovu...
13 Reactions
26 Replies
2K Views
Waongoza ndege wa uwanja wa ndege wa Charles de Gaule wa Paris kuwaambia marubani wa ndege ya Israel 'Free Palestine" akimuaga baada ya kumsafishia njia ya kuondoka. Kauli hiyo ya muongoza ndege...
10 Reactions
46 Replies
2K Views
Duru za kikachero zinadai israel iliiomba marekani ruhusa ya kufanya shambulio la kujihami(pre-emptive strikes) dhidi ya Iran Japo duru haziarifu ikiwa Marekani ilikubali au laa, lakini kitendo...
10 Reactions
143 Replies
6K Views
Ndg wana JF msidanganywe na propaganda za mitandaoni na za magharibi kwamba urusi ni nchi maskini. Ile nchi ni tajiri sana Kwa vipimo vyote vya kiuchumi halafu miji ni mizuri na misafi mno ambayo...
12 Reactions
27 Replies
2K Views
Kyiv imeshambuliwa usiku kucha na shambulio la anga la pili kwa ukubwa lililofanywa na Urusi tangu uvamizi wake kamili wa Ukraine, ambapo watu wasiopungua 23 wameuawa, wakiwemo watoto wanne, kwa...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Mpaka sasa hivi namba za Wapelestina waliouawa zinakaribia 40,000 na bado wanauawa kila siku, ilhali wanaosababisha yote hayo bado wameshupaza shingo, wameshikilia mateka watoto wa Wayahudi huku...
5 Reactions
141 Replies
5K Views
Kama hakuna adui kutokea ndani hakuna kitakacho kutokea. Check your inner circle. Malizia na Bongo ? Yes, malizia na Bongo!! 1.Amebakia Nani ? 2.Vipi nchini kwako hayajatokea haya ?
2 Reactions
11 Replies
661 Views
Nchi Zinazojulikana kwa Uzuri na mpangilio mzuri wa Muundo na Mazingira 1. Italy Inajulikana kwa mafanikio ya kipekee ya usanifu kama miundo ya Kirumi, Renaissance, Baroque, na Neoclassical...
2 Reactions
11 Replies
974 Views
Nchi nyingi za Mashariki ya kati na Asia ya kati zina sheria kali sana linapo kuja suala la kukabiliana madawa ya kulevya,hizi ndo nchi ambazo ukikamatwa na madawa ya kulevya kukiepuka kitanzi...
30 Reactions
121 Replies
7K Views
Jana Alhamisi, tarehe 28 Agosti 2025, katika Kituo cha Jeshi la Anga cha Radom kilichopo Warsaw, Poland, ndege ya kivita ya kimarekani aina ya F-16 ya Jeshi la Anga la Poland, ilipata ajali mbaya...
0 Reactions
2 Replies
691 Views
Wanaukumbi. Kufuatia uamuzi wa Uturuki wa kukata kabisa uhusiano wa kiuchumi na kufunga anga yake na Israel, waziri wa siasa kali za mrengo wa kulia wa Israel Itamar Ben-Gvir alichapisha kwenye X...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…