Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano na Posta Sudan imetangaza kufungia huduma za simu na video kupitia WhatsApp kuanzia Ijumaa, 25 Julai, ikidai sababu za kiusalama. Ujumbe wa maandishi na makundi...
Mamlaka nchini Côte d'Ivoire zimemhukumu muuguzi mmoja kifungo cha miaka mitatu jela kwa kutoa maoni yanayochukuliwa kuwa ya matusi dhidi ya Rais Alassane Ouattara kupitia mitandao ya kijamii...
Kiburi chote kwisha. Wamekubali sasa wapo tayari kuzungumza. Kabla ya kile kichapo walikuwa wanasema haitakuja kutokea wakazungumzia hilo suala. Wao wanajua kutengeneza tu. Zaidi na zaidi. Sasa...
Tawala zisizo za kidemokrasia za Africa huwa zinapenda zaidi kuchukua mifano mibaya na makosa ya magharibi kuhalalisha maovu yao na ukandamizaji wanaowafanyia wapinzani na wakosaoji wao, ikiwa...
Nchini Mozambique, mwanasiasa wa upinzani Venancio Mondlane amefunguliwa mashtaka matano ya jinai, likiwemo la uchochezi wa ugaidi, kufuatia machafuko yaliyotokea baada ya uchaguzi wa mwaka 2024...
Gambia imeripoti mlipuko wa ugonjwa wa mpox baada ya kugunduliwa kisa kimoja kupitia mfumo wa uchunguzi wa kawaida. Ugonjwa huo, ambao ni dharura ya afya ya kimataifa, unazidi kuenea katika nchi...
BREAKING NEWS
Putin amesema NATO inafanya makosa makubwa kushambulia ndani ya Russia, Jibu la Russia itakua na sehemu mbili kuanzisha Vita vya tatu vya Dunia na kuiangamiza NATO au kuwatwanga...
VOICES FROM IRAN
'A big prison with no water or power', fed up Iranians speak out
2 hours ago
Share
Iranians are speaking out with increasing urgency over chronic water and electricity outages...
Mkuu wa baraza la ulinzi la Urusi Dmitry Medvedev amesema Urusi haitishwi na kauli ya raisi wa Marekani Donald Trump kuhusu vikwazo zaidi kwa nchi hiyo endapo itagoma kusaini mkataba wa kusitisha...
Allah Akbar...! Alisikika mwanajeshi mmoja baada ya kumuua Mdruze huyu.
Wadruze wamejikuta wakilengwa au kuingia kwenye migogoro nchini Syria kutokana na sababu za kisiasa, kijamii na kidini...
Rais Donald Trump amemtuhumu Barack Obama kwa uhaini, akidai aliongoza njama ya kumhusisha na Urusi ili kuhujumu kampeni yake ya 2016, ingawa hakutoa ushahidi. Msemaji wa Obama alikana madai hayo...
Kulingana na taarifa za kutoka kwenye mitandao ya kijamii, hasa X, Barack Obama anaonekana kuwa ana trend kutokana na madai yanayohusiana na uchunguzi wa jinai wa FBI yanayodaiwa kuwa yanahusiana...
Miaka zaidi ya themanini tangu utawala wa Adolf Hitler ulipoanzisha vita vya dunia na mauaji, kivuli cha historia ya Nazi kimeibuka tena, safari hii kutoka kwenye sehemu isiyotarajiwa, basement ya...
Wakazi wa eneo la machimbo ya dhahabu Lomera, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), wamekuwa wakitumia mikono yao na vifaa vya kawaida kuwaokoa wachimbaji waliokwama chini ya ardhi...
For any employer or office in need of a worker or workers in any of these categories, please feel free to contact me.
1. Drivers (Private & Office Drivers )
2. Cleaners (For homes and...
Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amemvua wadhifa Waziri wa Elimu ya Juu, Nobuhle Nkabane, kufuatia tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka zilizotolewa na mshirika mkuu wa muungano wa...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limelaani vikali mashambulizi dhidi ya jengo lililokuwa na wafanyakazi wake mjini Deir al Balah, Gaza. Mashambulizi hayo yalifanyika baada ya jeshi la Israel kutoa...
Watu wasiopungua saba wamejeruhiwa katika mlipuko uliotokea kwenye jengo la makazi pembezoni mwa mji wa Qom, Iran, kwa mujibu wa vyombo kadhaa vya habari vya Iran.
Angalau magari matano ya...
Mamlaka za Ubelgiji zimesema ziliwakamata na kuwahoji kwa muda mfupi raia wawili wa Israel waliokuwepo kwenye tamasha la muziki la Tomorrowland wiki iliyopita, baada ya makundi yanayoiunga mkono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.