Katika miaka ya hivi karibuni uwekezaji wa China katika miundombinu ya kidijitali, vituo vya data na nishati umekuwa ukiongezeka kwa kasi katika nchi mbalimbali duniani. Wakati maendeleo ya...
China ni nchi kubwa inayoendelea ambayo imekuwa na ushirikiano wa karibu na nchi nyingine zinazoendelea, zikiwemo za Afrika. Ushirikiano huu unajumuisha sekta mbalimbali ikiwemo elimu, uchumi na...
China na Afrika zimekuwa na ushirikiano na uhusiano uliodumu kwa miongo mingi, huku pande hizo mbili zikiendeleza urafiki wa jadi. China, ambayo ni nchi kubwa inayoendelea, imekuwa mstari wa mbele...
[emoji1134]The "Samson option" also includes American cities on the list of nuclear targets
New leak reveals Israel's 'Samson Option' includes US cities on nuclear target list.
A number of...
Vita ya kibiashara SINO-US Trade war imeonesha kumbe Uchina yuko mbele sana. Nani kushinda hii vita. Time will tell.
Binafsi natamani sana nifike Beijing nasikia ni bonge moja la jiji.
Volodymyr Zelensky alisema kuwa Ukraine imeiomba Marekani kuipatia mifumo kumi zaidi ya ulinzi wa anga ya Patriot na tayari imeweza kukubaliana na washirika wake juu ya utoaji wa mifumo mitatu ya...
Muda kidogo uliopita, televisheni ya taifa ya Jordan iliripoti kwamba Jeshi la anga la Kifalme la Jordan limehusika katika operesheni na Umoja wa Falme za Kiarabu ya kudondosha "tani 25 za chakula...
Yale mambo ya ulimwengu wa tatu ya banana republics ya mtawala hakoselewi sasa yameanza kushika kasi Marekani katika awamu ya pili ya Trump, tayari ameshamfukuzisha kazi comedian mmoja mkubwa...
Camboja na Thailand zipo kuchapana kutokana na mzozo wa muda mrefu wa mpaka, hasa kuhusu maeneo yaliyo karibu na mahekalu ya kale kama Preah Vihear, chanzo kikiwa ramani zenye utata zilizochorwa...
Kiongozi wa upinzani nchini Cameroon Maurice Kamto ameondolewa kwenye orodha ya wagombea katika uchaguzi wa urais wa Oktoba 12, 2025.
Ni majina 13 tu kati ya 83 yaliyowasilishwa kwa baraza la...
Mzozo wa mpaka kati ya Thailand na Cambodia umeingia siku ya tatu, huku pande zote mbili zikiendelea kurushiana risasi na silaha za moto. Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa wito wa...
Haya wabongo mnavyopenda vita za nchi nyingine
Tumeletewa mgogoro mwingine mpya kati ya Thailand na Cambodia
Tujuane sasa nani mthailandi wa bonyokwa na mkambodia wa kisesa....
The Mask Comes Off! Israeli Knesset Receives "Plan" to "Expel Palestinians - Move 1.2 Million Jews Into Gaza"
A new plan to settle Gaza with Israelis was presented in the Israeli Knesset today...
Trump: Hamas didn’t want to make a ceasefire deal, its leaders will be ‘hunted down’ US President Donald Trump declared Friday that Hamas isn’t interested in reaching a hostage deal and signaled...
EU bigshots travel to China for trade negotiations but face a catastrophic failure." Leave early
The self mposed bigshots of the European Union, European Commission President Ursula von der...
Wakazi wa Gaza wapatao milioni mbili (2,000,000) wanakaa katika maeneo ambayo majeshi ya Israeli hayapo. Katika ramani chini ya post, alama nyekundu ni maeneo ya Gaza yaliyokaliwa na Israeli...
Jumla ya wazayuni wapatao 1000 waliangamizwa na makombora ya Iran katika vita vya siku 12 vya Iran na Israel
[emoji599] [emoji1134]HES site hacked — devastating Israeli losses revealed:
6...
Katika Ile vita ya siku 12 Irani ametuonyesha maajabu sana kumbe vita sio lazima utumie Ndege au manuari au mimeli mikubwa mikubwa au wanajeshi unaweza tu kukaa ofisini na ukatoa kichapo...
Sehemu ya 2
Kila sifa njema zinamstahiki Mungu wa pekee aliyetupa uzima, afya na ufahamu wa mambo haya. Rehma na amani ziwe nao manabii wa Mungu wote wakiongozwa na nabii wa mwisho nabii...
Hizi Nchi za Kusini mwa Afrika thnazoambiwaga ni tajiri na zimeendelea zinaonekana Zina hali ngumu sana ya maisha on grounds.
Haiwezekani Nchi Tajiri wa Madini kama Namibia imeshindwa kutafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.