International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Itabidi ubalozi wetu nchini Israel itangaze kwa niaba ya taifa la usa ya kwamba nchi ya Israel haikaribishi tena taasisi za dini za Kikristo na wawakilishi wao badala yake wanajihusisha na...
11 Reactions
162 Replies
4K Views
Rais wa Syria Ahmed al-Sharaa ameituhumu Israel kwa kujaribu kuiburuza Syria katika vita na amesema nchi yake haitakubali kunaswa na chambo hicho.Katika hotuba iliyorushwa mapema alfajiri katika...
3 Reactions
5 Replies
692 Views
Watu ambao idadi yao haijafahamika wanahofiwa kufariki dunia baada ya meli ya abiria ya KM Barcelona VA, kuwaka moto karibu na kisiwa cha Talise nchini Indonesia leo Julai 20,2025. Video hii...
0 Reactions
7 Replies
593 Views
PICHA: Luteni Jenerali Mashikilisane Fakudze, Mkuu wa majeshi nchini Eswatini 🇸🇿…
7 Reactions
35 Replies
2K Views
Baada ya Kujiendesha kwa hasara kwa miaka kadhaa, bandari hiyo iko mbioni kufungwa mapema Jumapili hii ambapo chanzo kimesema shughuli za hapo zimeshuka kwa zaidi ya 90% , huku ikidaiwa...
5 Reactions
38 Replies
2K Views
Rais Trump na mwenzake wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, wanafikiria "mpango mkubwa" ambao utaifanya Marekani kununua ndege zisizo na rubani za Ukraine zilizojaribiwa katika uwanja wa vita huku Kyiv...
0 Reactions
8 Replies
495 Views
Tulsi Gabbard's Revelations Confirm a Deep State Conspiracy Against Trump 🚨BREAKING NEWS FROM DNI Tulsi Gabbard: "Americans will finally learn the truth about how in 2016, intelligence was...
0 Reactions
8 Replies
893 Views
Rais mstaafu wa Marekani, Barrack Obama na mkewe Michelle Obama wamekanusha tetesi za kutengana wakisema ni uzushi mtupu. Wakizungumza Julai 16, 2025 katika kipindi kipya cha podcast ya Michelle...
3 Reactions
6 Replies
545 Views
Mamia ya raia wa Liberia waliandamana jijini Monrovia wakiongozwa na kiongozi wa upinzani Mulbah Morlu, Wakitaka serikali ya Rais Joseph Boakai kuwajibika kwa ahadi za kampeni na maisha bora...
0 Reactions
2 Replies
419 Views
Power corrupts, and absolute power corrupts absolutely. Madaraka yakianza kulevya. Sababu alizotoa hazina mashiko. Bado moyo wangu ni mzito kumkubali Ibrahim Traore kama ambavyo mitandao mingi...
5 Reactions
42 Replies
2K Views
Wengine panya huwapa hofu, lakini huko Cambodia, viumbe hawa wamekuwa msaada mkubwa usioepukika Panya wa Kiafrika aina ya giant pouched rats hupita kwa ustadi kwenye mashamba wakitafuta harufu ya...
0 Reactions
2 Replies
374 Views
Marekani hivi karibuni iliandaa mkutano kati yake na nchi tano za Afrika ambazo ni Gabon, Guinea-Bissau, Mauritania, Senegal na Liberia. Lakini kwenye mkutano huo, Rais Donald Trump wa Marekani...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Kundi la wanasheria wa haki za binadamu nchini Sudan wameishtumu jeshi la kijeshi la Rapid Support Forces (RSF) kwa kuvamia na kuchoma moto vijiji katika jimbo la Kordofan Kaskazini na kuua...
0 Reactions
9 Replies
678 Views
Kwa watu wanaofahamu masuala ya usalama, Kwa nini watu hutakiwa kuvua viatu kwenye scanners za viwanja vya ndege wakati wa ukaguzi wa kuingia ndani ?
1 Reactions
15 Replies
780 Views
Ufaransa inakabidhisha rasmi vituo vya mwisho vya jeshi kwa serikali Senegal, hatua inayomfanya mkoloni huyo wa zamani sasa kutokuwa na kambi yoyote ya kudumu ya kijeshi kote magharibi na kati ya...
3 Reactions
9 Replies
764 Views
Kiuhalisia taifa la Ufaransa linapaswa kuwa nchi maskini zaidi kuliko mataifa mengi ya Afrika.Hata hivyo kwa uzoefu wao wa ukoloni na unyonyaji wanaonekana kama taifa lililoendelea sana. Tanzania...
10 Reactions
24 Replies
1K Views
Kanisa Katoliki nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, limepinga agizo la serikali, kuwataka wasichana waliopata mimba kuendelea na masomo. Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki CENCO, limesema...
1 Reactions
12 Replies
549 Views
Wakuu, Sema watu 100 ni wengi jamani tuacheni masihara. Alafu Trump huyu baba alipunguza budget ya National Weather Service (NWS) na kusababisha watu 600 kufukuzwa kazi. Leo majanga kama haya...
0 Reactions
9 Replies
613 Views
Rais Donald Trump amegundulika kuwa na tatizo la mzunguko wa damu kwenye miguu, linalojulikana kitaalamu kama chronic venous insufficiency, baada ya kufanyiwa uchunguzi na madaktari wa Ikulu ya...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Jeshi la Israel (IDF) lashutumiwa kwa kulenga kanisa kwa makusudi Kardinali Pierbattista Pizzaballa amesema: “Tunachojua kwa hakika ni kwamba tanki — IDF wanasema kwa bahati mbaya — lakini sisi...
0 Reactions
8 Replies
357 Views
Back
Top Bottom