Gen Z waandamanaji Nepal wachoma Bunge

Gen Z waandamanaji Nepal wachoma Bunge

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
969
Reaction score
1,939
Waandamanaji kuvamia na kuchoma jengo la bunge jijini Kathmandu. Vijana wengi wamejitokeza mitaani wakisukumwa na hasira dhidi ya ufisadi na kile wanachokiita “nepo kids” watoto wa wakubwa wanaopewa upendeleo serikalini.

Wachambuzi wanasema haya ndiyo machafuko makubwa zaidi kushuhudiwa nchini humo kwa miongo kadhaa, na yaliwaacha Waziri Mkuu mstaafu bila chaguo zaidi ya kung’atuka madarakani.

 
Safi sanaaa
Choma kila kitu hakuna kucheka na kima
Mafisadi wanatesa sana wananchi
 
Expect this to happen more often all over the world..., The times have changed, wengi wapo kitaa hawana chochote wakati wachache wanakula na kusaza; ukizingatia wengi hao hata ujira wa kupata mkate wao wa kila siku hakuna.., No Hope...

Ushauri wangu ni uleule hawa watawala wa dunia wajifunze kula na Vipofu....
 
Nimesikia huko nepal kushanuka mambo yalianza kwenye kunyima uhuru.
IMG_2526.jpeg



Wazee minyama VPN pongezi JAmiiforum yetu na wadau wote.
Picha ya pamoja
IMG_2527.jpeg
 
Waandamanaji kuvamia na kuchoma jengo la bunge jijini Kathmandu. Vijana wengi wamejitokeza mitaani wakisukumwa na hasira dhidi ya ufisadi na kile wanachokiita “nepo kids” watoto wa wakubwa wanaopewa upendeleo serikalini.

Wachambuzi wanasema haya ndiyo machafuko makubwa zaidi kushuhudiwa nchini humo kwa miongo kadhaa, na yaliwaacha Waziri Mkuu mstaafu bila chaguo zaidi ya kung’atuka madarakani.


View: https://x.com/Whiplash437/status/1965401743438840184
 
Expect this to happen more often all over the world..., The times have changed, wengi wapo kitaa hawana chochote wakati wachache wanakula na kusaza; ukizingatia wengi hao hata ujira wa kupata mkate wao wa kila siku hakuna.., No Hope...

Ushauri wangu ni uleule hawa watawala wa dunia wajifunze kula na Vipofu....
Mwalimu Nyerere aliisha wahi kuonya viongozi wa kisiasa kufuatia kile alichofanyiwa Rais wa Hungary Che
Expect this to happen more often all over the world..., The times have changed, wengi wapo kitaa hawana chochote wakati wachache wanakula na kusaza; ukizingatia wengi hao hata ujira wa kupata mkate wao wa kila siku hakuna.., No Hope...

Ushauri wangu ni uleule hawa watawala wa dunia wajifunze kula na Vipofu....
Mwalimu Nyerere aliisha wahi toa onyo kwa viongozi wa kisiasa kufuatia kile alichofanyiwa Rais wa Romania Nicolae Ceaușescu, baada kuchoshwa na udhulumati wake
 
Back
Top Bottom