Nimeishi Urusi najua Tamaduni zake, pamoja na Ukubwa wa Jeshi lake Rushwa ndiyo inawafanya wasikamilishe malengo kwa muda

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,644
30,007
Nimekuwa Russia tokea mwaka 2008 hadi 2011 alafu nikaenda Peru Na baadae kurejea Russia 2013

Russia ina rasilimali nyingi sana, ardhi hakika imebarikiwa. Russia ina historia, Russia ina utamaduni. Russia ina watu washindani wenye kuichangamsha dunia kwa kuipa ladha.

Tatizo kubwa linaloiumiza Russia ni Rushwa. Tatizo hili ndiyo chanzo cha hata huu utendaji wa hovyo ulioonyeshwa na Jeshi lake.
Russia imejitahidi sana kuwekeza kwenye huduma za kijamii.

Ukiungalia mtandao wa huduma za afya nchini Russia upo vizuri kuliko Marekani, Russia wamejenga health facilities na kuweka vitanda n.k, lakini huduma ni mbovu.

Wafanyakazi wanafanya kazi kimazoea, serikali kuu yenyewe hakuna transperency. Labda ndiyo ya mwisho barani ulaya kwa kutokuwa na transperency.

Uimarishaji wa Jeshi lake mao unaathiriwa na Rushwa, mafunzo na vitendea kazi ni Rushwa tupu, matokeo yake mafunzo yanakuwa ni yale yasiyo na ubora.

Uundwaji wa mifumi na silaha za kujeshi unawekewa magharama makubwa makubwa, lakini ubora wake unatia mashska sana. Huko kwenye silaha na mifumo ya ulinzi ndiyo watu wanapopigia hela kiulaini sana.

Military research ni njia nyingine ya kupigia hela.

Rushwa ndani Russia ni kama salaam tu. Kati ya nchi 180 duniani Russia ina rank namba 136 kwa kiwango kidogo cha Rushwa.

Kwa nafasi hiyo anayoshika Russia usitarajie lolote at all, ni taifa ambalo lina malizia zama zake

Leo hii tunaona tunaambiwa Kwamba ni jeshi kubwa Sana Duniani kama inavyojipambanua , lakin kuna harufu Ya rushwa Na sabotage kwenye Mäli Na mipango Ya jeshi.

Kuna kusaliti kambi Sana kwa kupewa ahadi Na Mali kwa Wanajeshi Na wapiganaji wanaounga mkono Urusi.

UNPROGRESS OF RUSSIA
Hii ngoma inapokwenda si mchezo. Russia wanafanikiwa kutangaza kuteka eneo, lakin hawamalizi siku mbili hapo, kwani uKrainians wanaenda kulichukua tena.

Kherson ilianguka juzi ma Russia wakawa wame take full control na kuanzisha mchakato wa kuwalazimisha watu wa Kherson wapige kura ya kujitenga na Ukraine.

Sasa hivi imeshabadilika tena, Ukraine wameshaanza kurudisha baadhi ya maeneo huko kherson, wakielekea upande wa Mariupol ili kuunganisha maeneo wanayoyateka kutokea Kherson.

Wakati Ukranians wakiielekea Mariupol kutokea Khersons, kumbuka ndani ya Mariupol kuna askari takriban 2,000 wa Russia, akari hao watalazimika kupambana na vikosi hivyo vya Ukraine, kumbuka ndani ya Mariupol kuna takriban akari 700 wa Ukraine ndani ya kile kiwanda, hapo Russian atajikuta analazimika kupambana na Ukranians wanaotokea Kherson kuja Mariupol halafu wale wa kuwandani nao watalianzisha kitu kitakachopelekea Russia wagawanyike ili kuweza kuwakabili.

Russia hapa anazidiwa akili, ili kuweza kupigana na kuendelea kuikamata Mariupol, atalazimika kuligawanya Jeshi lake, ili kuongeza askari zaidi Mariupol, kitendo cha kupunguza askari maenro mengine itakuwa ni sawa na kuyaachia maeneo hayo au kukunali kuuawa kwa askari wake watskaobaki maeneo hayo.

Ukranians wameshajua, maeneo mengi ambayo Russia wameyateka huwa hawana uwezo wala amani ya kuwepo hapo sababu huwa hawakai sana kabla hayajarudishwa, hivyo kuna kipindi huyaacha maeneo hayo ili baadaye waje kuwazunguka. Mbinu hii ya kuzungukwa, Russia wameipenda na wao wameanza kuitumia lakini kila wakijaribu kuzunguka, miduara haikamiliki huishia kukatwa au upungufu wa askari kwa wakati huo hupelekea waishie kuuawa tu.

Wakati Russia anaenda kuivamia Ukraine, alituma askari 150,000, ngoma ikabadilika, askari wa Russia 15,000 wameuawa, sasa hivi jumla ya askari waliopelekwa na Russia nchini Ukraine ni 300,000

Ntaeleweka hapo December December hapo 2022



Britanicca
 
Britanicca napenda sana Kukusoma hapa Lakin nauliza kwanza Hivi ndo wewe Britanicca wa twitter? Wa twitter Mbona anaonekana kupwaya sana ?

Ulivyosema kuna ukweli fulani ndani yake mara zote Urusi , UKRAINE na nchi zilizokuwa chini ya USSR Rushwa iko juu sana na Kwa mambo ya Msingi

Na hii tulikuwa kwenye Kongamano chuoni St. Petersburg mwaka 2006 tulilugusia


Endelea na Uchambuzi wako wa mambo


Mwalimu Lwaitama
 
Britanicca napenda sana Kukusoma hapa Lakin nauliza kwanza Hivi ndo wewe Britanicca wa twitter? Wa twitter Mbona anaonekana kupwaya sana ?

Ulivyosema kuna ukweli fulani ndani yake mara zote Urusi , UKRAINE na nchi zilizokuwa chini ya USSR Rushwa iko juu sana na Kwa mambo ya Msingi

Na hii tulikuwa kwenye Kongamano chuoni St. Petersburg mwaka 2006 tulilugusia


Endelea na Uchambuzi wako wa mambo


Mwalimu Lwaitama
Ni mimi Yule Yule ila twitter panataka utumie sentence fupi kisamarize kilicho kichwani
Hakuna uwanja wa kujieleza Kama hapa! Pia twitter vijana wana pewa attention sana wale wa hovyo kisa kaongea upuuzi wanapata likes za kijinga na followers!

Nami nauliza swali we ndo Dr Lwaitama wa UDSM?
 
Kwa watafiti Mbona wanajua hivo labda sisi watanzania ambao tupo kufanya tafiti za ngono malaya mtamu ni wa buguruni Au Kinondoni haha hivo Jamaa anaweza kuwa ametafiti
We kupitia hao watafiti unajua aina ya ndege tunazomiliki? Zipo ngapi?
 
Nimekuwa Russia tokea mwaka 2008 hadi 2011 alafu nikaenda Peru Na baadae kurejea Russia 2013

Russia ina rasilimali nyingi sana, ardhi hakika imebarikiwa. Russia ina historia, Russia ina utamaduni. Russia ina watu washindani wenye kuichangamsha dunia kwa kuipa ladha.

Tatizo kubwa linaloiumiza Russia ni Rushwa. Tatizo hili ndiyo chanzo cha hata huu utendaji wa hovyo ulioonyeshwa na Jeshi lake.
Russia imejitahidi sana kuwekeza kwenye huduma za kijamii.

Ukiungalia mtandao wa huduma za afya nchini Russia upo vizuri kuliko Marekani, Russia wamejenga health facilities na kuweka vitanda n.k, lakini huduma ni mbovu.

Wafanyakazi wanafanya kazi kimazoea, serikali kuu yenyewe hakuna transperency. Labda ndiyo ya mwisho barani ulaya kwa kutokuwa na transperency.

Uimarishaji wa Jeshi lake mao unaathiriwa na Rushwa, mafunzo na vitendea kazi ni Rushwa tupu, matokeo yake mafunzo yanakuwa ni yale yasiyo na ubora.

Uundwaji wa mifumi na silaha za kujeshi unawekewa magharama makubwa makubwa, lakini ubora wake unatia mashska sana. Huko kwenye silaha na mifumo ya ulinzi ndiyo watu wanapopigia hela kiulaini sana.

Military research ni njia nyingine ya kupigia hela.

Rushwa ndani Russia ni kama salaam tu. Kati ya nchi 180 duniani Russia ina rank namba 136 kwa kiwango kidogo cha Rushwa.

Kwa nafasi hiyo anayoshika Russia usitarajie lolote at all, ni taifa ambalo lina malizia zama zake

Leo hii tunaona tunaambiwa Kwamba ni jeshi kubwa Sana Duniani kama inavyojipambanua , lakin kuna harufu Ya rushwa Na sabotage kwenye Mäli Na mipango Ya jeshi.

Kuna kusaliti kambi Sana kwa kupewa ahadi Na Mali kwa Wanajeshi Na wapiganaji wanaounga mkono Urusi.

UNPROGRESS OF RUSSIA
Hii ngoma inapokwenda si mchezo. Russia wanafanikiwa kutangaza kuteka eneo, lakin hawamalizi siku mbili hapo, kwani uKrainians wanaenda kulichukua tena.

Kherson ilianguka juzi ma Russia wakawa wame take full control na kuanzisha mchakato wa kuwalazimisha watu wa Kherson wapige kura ya kujitenga na Ukraine.

Sasa hivi imeshabadilika tena, Ukraine wameshaanza kurudisha baadhi ya maeneo huko kherson, wakielekea upande wa Mariupol ili kuunganisha maeneo wanayoyateka kutokea Kherson.

Wakati Ukranians wakiielekea Mariupol kutokea Khersons, kumbuka ndani ya Mariupol kuna askari takriban 2,000 wa Russia, akari hao watalazimika kupambana na vikosi hivyo vya Ukraine, kumbuka ndani ya Mariupol kuna takriban akari 700 wa Ukraine ndani ya kile kiwanda, hapo Russian atajikuta analazimika kupambana na Ukranians wanaotokea Kherson kuja Mariupol halafu wale wa kuwandani nao watalianzisha kitu kitakachopelekea Russia wagawanyike ili kuweza kuwakabili.

Russia hapa anazidiwa akili, ili kuweza kupigana na kuendelea kuikamata Mariupol, atalazimika kuligawanya Jeshi lake, ili kuongeza askari zaidi Mariupol, kitendo cha kupunguza askari maenro mengine itakuwa ni sawa na kuyaachia maeneo hayo au kukunali kuuawa kwa askari wake watskaobaki maeneo hayo.

Ukranians wameshajua, maeneo mengi ambayo Russia wameyateka huwa hawana uwezo wala amani ya kuwepo hapo sababu huwa hawakai sana kabla hayajarudishwa, hivyo kuna kipindi huyaacha maeneo hayo ili baadaye waje kuwazunguka. Mbinu hii ya kuzungukwa, Russia wameipenda na wao wameanza kuitumia lakini kila wakijaribu kuzunguka, miduara haikamiliki huishia kukatwa au upungufu wa askari kwa wakati huo hupelekea waishie kuuawa tu.

Wakati Russia anaenda kuivamia Ukraine, alituma askari 150,000, ngoma ikabadilika, askari wa Russia 15,000 wameuawa, sasa hivi jumla ya askari waliopelekwa na Russia nchini Ukraine ni 300,000

Ntaeleweka hapo December December hapo 2022

Britanicca
hao Askari 700 unaanzaje kuwaweka kwenye idadi ya wanajeshi wa Ukraine!!?? Inaonekana huna experience na battle field !!! hao ni mateka mpaka Sasa,they are dead working soldier's RightNow,NI mipango ya Putin ndo inawapa ahueni kuwa hai mpaka Sasa, otherwise walitakiwa kuwa mavumbi mpaka Sasa!!
 
We wadanganye akina mzee lwaitama aliyejiunga juzi kwenye Jamii forums sio sis tunaokujua naporojo zako...katika miji ambayo Urusi kaclear kabisa ni kherson, mariupal nayo ni kama imekuwa cleared kabisai, eti labda kwa sababu ya wale jamaa waliojifungia kiwandani wanaendelea kujiua wenyewe taratibu kwa njaa, maradhi na majeraha waliyonayo..
 
We wadanganye akina mzee lwaitama aliyejiunga juzi kwenye Jamii forums sio sis tunaokujua naporojo zako...katika miji ambayo Urusi kaclear kabisa ni kherson, mariupal nayo ni kama imekuwa cleared kabisai, eti labda kwa sababu ya wale jamaa waliojifungia kiwandani wanaendelea kujiua wenyewe taratibu kwa njaa, maradhi na majeraha waliyonayo..
Una mu underestimate LWAITAMA?
 
Nimekuwa Russia tokea mwaka 2008 hadi 2011 alafu nikaenda Peru Na baadae kurejea Russia 2013

Russia ina rasilimali nyingi sana, ardhi hakika imebarikiwa. Russia ina historia, Russia ina utamaduni. Russia ina watu washindani wenye kuichangamsha dunia kwa kuipa ladha.

Tatizo kubwa linaloiumiza Russia ni Rushwa. Tatizo hili ndiyo chanzo cha hata huu utendaji wa hovyo ulioonyeshwa na Jeshi lake.
Russia imejitahidi sana kuwekeza kwenye huduma za kijamii.

Ukiungalia mtandao wa huduma za afya nchini Russia upo vizuri kuliko Marekani, Russia wamejenga health facilities na kuweka vitanda n.k, lakini huduma ni mbovu.

Wafanyakazi wanafanya kazi kimazoea, serikali kuu yenyewe hakuna transperency. Labda ndiyo ya mwisho barani ulaya kwa kutokuwa na transperency.

Uimarishaji wa Jeshi lake mao unaathiriwa na Rushwa, mafunzo na vitendea kazi ni Rushwa tupu, matokeo yake mafunzo yanakuwa ni yale yasiyo na ubora.

Uundwaji wa mifumi na silaha za kujeshi unawekewa magharama makubwa makubwa, lakini ubora wake unatia mashska sana. Huko kwenye silaha na mifumo ya ulinzi ndiyo watu wanapopigia hela kiulaini sana.

Military research ni njia nyingine ya kupigia hela.

Rushwa ndani Russia ni kama salaam tu. Kati ya nchi 180 duniani Russia ina rank namba 136 kwa kiwango kidogo cha Rushwa.

Kwa nafasi hiyo anayoshika Russia usitarajie lolote at all, ni taifa ambalo lina malizia zama zake

Leo hii tunaona tunaambiwa Kwamba ni jeshi kubwa Sana Duniani kama inavyojipambanua , lakin kuna harufu Ya rushwa Na sabotage kwenye Mäli Na mipango Ya jeshi.

Kuna kusaliti kambi Sana kwa kupewa ahadi Na Mali kwa Wanajeshi Na wapiganaji wanaounga mkono Urusi.

UNPROGRESS OF RUSSIA
Hii ngoma inapokwenda si mchezo. Russia wanafanikiwa kutangaza kuteka eneo, lakin hawamalizi siku mbili hapo, kwani uKrainians wanaenda kulichukua tena.

Kherson ilianguka juzi ma Russia wakawa wame take full control na kuanzisha mchakato wa kuwalazimisha watu wa Kherson wapige kura ya kujitenga na Ukraine.

Sasa hivi imeshabadilika tena, Ukraine wameshaanza kurudisha baadhi ya maeneo huko kherson, wakielekea upande wa Mariupol ili kuunganisha maeneo wanayoyateka kutokea Kherson.

Wakati Ukranians wakiielekea Mariupol kutokea Khersons, kumbuka ndani ya Mariupol kuna askari takriban 2,000 wa Russia, akari hao watalazimika kupambana na vikosi hivyo vya Ukraine, kumbuka ndani ya Mariupol kuna takriban akari 700 wa Ukraine ndani ya kile kiwanda, hapo Russian atajikuta analazimika kupambana na Ukranians wanaotokea Kherson kuja Mariupol halafu wale wa kuwandani nao watalianzisha kitu kitakachopelekea Russia wagawanyike ili kuweza kuwakabili.

Russia hapa anazidiwa akili, ili kuweza kupigana na kuendelea kuikamata Mariupol, atalazimika kuligawanya Jeshi lake, ili kuongeza askari zaidi Mariupol, kitendo cha kupunguza askari maenro mengine itakuwa ni sawa na kuyaachia maeneo hayo au kukunali kuuawa kwa askari wake watskaobaki maeneo hayo.

Ukranians wameshajua, maeneo mengi ambayo Russia wameyateka huwa hawana uwezo wala amani ya kuwepo hapo sababu huwa hawakai sana kabla hayajarudishwa, hivyo kuna kipindi huyaacha maeneo hayo ili baadaye waje kuwazunguka. Mbinu hii ya kuzungukwa, Russia wameipenda na wao wameanza kuitumia lakini kila wakijaribu kuzunguka, miduara haikamiliki huishia kukatwa au upungufu wa askari kwa wakati huo hupelekea waishie kuuawa tu.

Wakati Russia anaenda kuivamia Ukraine, alituma askari 150,000, ngoma ikabadilika, askari wa Russia 15,000 wameuawa, sasa hivi jumla ya askari waliopelekwa na Russia nchini Ukraine ni 300,000

Ntaeleweka hapo December December hapo 2022

Britanicca
Sawa mkuu tumeshajua umefika Russia.
Hofu yangu itakuwa Russia ya Gongolamboto. Na yale makombora yakutungulia ndege yalipolipuka yalikuathiri kiasi chakudhani umefika Russia ya kweli

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom