Aiseee huu mtambo sio poa!! Dude linajulikana kama Khorramshahr-5 hili dude ni hatari lina mlipuko mkubwa kuliko hata yale madude ya Bunker buster ya US
Iran is preparing to test the heavy...
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa ya mwaka 2024 imeonyesha kuwa kiwango cha njaa duniani kimepungua kwa mwaka wa tatu mfululizo, hasa kutokana na upatikanaji bora wa chakula nchini India na katika...
manuwari ya marekani yafurumushwa kwenye bahari ya Oman.
-US destroyer "Fitzgerald'' ilijaribu kuingia kwenye eneo la maji linalolindwa na Iran.
kwenye video iliyoachiwa siku ya jana inaonyesha...
Trump's playing the ultimatum game with Russia: 50 days or 10…
He should remember 2 things:
1. Russia isn't Israel or even Iran.
2. Each new ultimatum is a threat and a step towards war. Not...
Niaje waungwana?
Wazungu baada ya kuona wamefanikiwa kutawala sehemu kubwa ya dunia haswa haswa katika bara zima la Afrika, wakaona kuwa hata uongo wao pia watakaoleta kwa watawaliwa utaweza...
Wakuu,
Mwanamuziki wa Marekani, Ciara, amekuwa mmoja wa watu wa kwanza maarufu kupata uraia wa Benin chini ya sheria mpya ya nchi hiyo ndogo ya Afrika Magharibi inayotoa uraia kwa watu wenye...
Rais wa Marekani Donald Trump ameamua kuiuzia Ukraine silaha za kukabiliana na makombora ya Urusi pamoja na kushambulia pia vikosi vya Urusi. Vifaa hivi vitalipiwa na nchi za Ulaya.
Haya ni...
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amemfungulia mashtaka mwandishi maarufu wa habari kutoka nchini Marekani Candace Owens kwa kutoa taarifa za kupotosha kuwa mke wa Rais Macron , Brigitte Macron ni...
Operation Dudula which is currently perceived as nationalistic movement against foreign nationals in South Africa is tarnishing the image of the country. Many People are now living in fear...
Sikutegemea kwamba itafika stage kwenye hii vita ,wapalestina wanakufa kwa njaa. Mashirika na jumuiya za kimataifa ziingilie kati tu kumaliza hii vita. Nchi za kiarabu zisikae kimya pazeni...
Raisi Trump hapo juzi akiwa Scotland alimtaka mwenzake Netanyahu amalize kazi ya Gaza kwa kuwaangamiza Hamas.
Kwa maelezo yake aliyoyatoa hadharani alisema Hamas wamechagua kufa hivyo ni vyema...
Mvutano mkali ulitokea ndani ya Bunge la Mkoa wa Punjab, Pakistan, siku ya Jumatatu, baada ya mbunge wa chama cha Pakistan Tehreek-e-Insaf (PTI), Khalid Nisar Dogar, kumshambulia kimwili mbunge wa...
Siku hizi ukitaja jina la Allah sehemu yenye watu lazima ukimbiwe, aisei hizi nyakati ni mbovu sana na zilitabiriwa kwenye Biblia na tunazishudia, tutaishi kwa hofu sana.
Jamaa amesababisha...
Waisrael Kupiga bomu kanisa huko Gaza na kuharibika kwa hali ya ubinadamu katika vita vya gaza sasa ni kama imepitiliza mstari wa utu.
Wakristo pia ni kama wanaanza kubugudhiwa tena kwenye nchi...
Niaje waungwana
Ni week sasa imepita toka ilipotangazwa kwa njia ya uficho, kwamba waziri mkuu wa Israel mwenye asili ya Poland Mr Benjamin Shetaninyau alibugia chakula chenye sumu kali, na hivyo...
Masettler wa Kiyahudi huko West bank wameendelea na harrassment yao kwa Wakiristo waishio huko. Lengo ni kuwafrustrate Wakiristo hao ili waondoke katika ardhi hizo. Mashambulizi ya Masettler wa...
Kenneth Parks, mkazi wa Ontario, Kanada, alimuua mama mkwe wake akiwa amelala.
Kenneth alikuwa na historia ya kufanya vitendo akiwa amelala (sleepwalking).
Siku ya tukio, aliamka kitandani akiwa...
Kikosi cha Wanahewa cha Marekani B-2 Spirit kinapaa kuunga mkono Operesheni MIDNIGHT HAMMER katoka Whiteman Air Force Base, Missouri, Juni 2025.
Mgogoro nchini Iran
'Miaka 15 ya kazi ya...
Wakuu,
Abiria wa ndege ya American Airlines walilazimika kuteremka kwa kutumia milango ya dharura katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Denver baada ya tairi la ndege kuungua wakati wa jaribio...
Marekani imefikia makubaliano ya awali ya kibiashara na Umoja wa Ulaya siku ya July 27,2025, ambapo imeweka ushuru wa kuagiza bidhaa kutoka EU kwa kiwango cha asilimia 15 ikiwa ni nusu ya kiwango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.