International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Takribani watu 19 wamepoteza maisha na kadhaa kujeruhiwa nchini Nepal baada ya maandamano dhidi ya ufisadi wa kisiasa na baada ya serikali kuchukua hatua ya kufungia mitandao ya kijamii amabapo...
3 Reactions
11 Replies
907 Views
Inasemekana silaha iliotumika imekutwa na chata ya Antifa na trasgender (wanaobadirisha viungo vya ngono na kulazimisha atambulike jinsia mpya) Antifa ni kundi la mrengo wa kushoto ambalo itikadi...
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Mpaka sasa hajajulikana ni viongozi wangapi walikuwemo ndani jengo Hilo la makao makuu mjini DOHA. Kwa habari Kile kipigo kilichoenda Kwa wahouthi na Kufa Kwa mawaziri wake nahisi inaenda kutokea...
10 Reactions
160 Replies
6K Views
Sehemu nyingi Duniani askari police huwa hawana akili. Askari Police wengi asilimia 80 huwa hawana tofauti sana na Mbwa.(Naamini wa Tanzania wapo tofauti) Wana Elimu ya kutosha na wameelimika...
1 Reactions
12 Replies
449 Views
Wakuu, Huko Senegal, Serikali ya imeanzisha “shule za wanaume ” Kwenye hizo shule wanaume wanafundishwa kuhusu umuhimu wa kushiriki kwenye kazi za nyumbani pamoja na namna ya kumsaidia mwanamke...
2 Reactions
7 Replies
694 Views
Maelfu ya waandamanaji nchini Bangladesh walielekeza hasira zao kwa aliyekuwa Waziri Mkuu, Sheikh Hasina, aliyepinduliwa na kukimbilia uhamishoni, kwa kuvamia na kuharibu nyumba ya familia yake...
1 Reactions
3 Replies
608 Views
Hivi ndivyo viongozi wa Hamas walikuwa wakila mboga saba kutokana na pesa za misaada halafu wakija Al Jazeera wanatunga kuwa Israel wanasababisha njaa
1 Reactions
0 Replies
295 Views
Hatar mpya katika ustawi na usalama wa mataifa ya magharibi na dunia ilio timamu n muunganiko itikadi ya mrengo wa kushoto na itikadi ya msimamo mkali Katika usawa huu ambao watoto wenu...
5 Reactions
12 Replies
647 Views
This is commendable. Tomorrow when this country starts doing very well, some people will leave the bad politicians in their country to go and drag jobs with them and even take their jobs because...
1 Reactions
0 Replies
299 Views
"In time of difficulties, we must not lose sight of our achievements." – Mao Zedong (1956) HOW IT STARTED & HOW IT ENDED: 1958 – Soviet Union ilijitoa na kukataa kuisaidia China kutengeneza...
32 Reactions
110 Replies
5K Views
Wakuu, FBI wameashaanza kutoa clue huko kuhusu nani alihusika na kumpiga risasi Charlie Kirk. Kwenye briefing yao wamesema kwamba aliyehusika kwenye unyama huo wameshamfahamu lakini details...
1 Reactions
0 Replies
242 Views
Wanaukumbi. Baadhi ya Watanzania wenye huruma ni utu wamakusanya misaada na kuipeleka GAZA, kama vile Chakula na mahitaji mengine muhimu kwa watoto. Tunawashukuru Watanzania waliojitolea kidogo...
21 Reactions
141 Replies
5K Views
Rais wa Ghana, John Dramani Mahama, amesema nchi yake imekubali kuwapokea raia wa Afrika Magharibi waliorejeshwa kutoka Marekani. Alithibitisha kuwa tayari Ghana imepokea kundi la watu 14...
1 Reactions
0 Replies
256 Views
Huyu Mzee George Zinn miaka 71 alijitokeza yeye ndio muuaji aliyehusika kumpiga risasi na kumuua mwanaharakati wa mrengo wa kulia Marekani Charlie Kirk. Umati ulishaanza kumshambulia kwa maneno...
1 Reactions
2 Replies
231 Views
Hapa ni baadhi ya sababu ambazo watu Wafaransa wanamkosoa au kukosa upendo kwa Rais Emmanuel Macron, na kwanini baadhi wanaona “bogus” au haaminiki. Kuna mambo mengi, si yote yatakukubalika na...
0 Reactions
5 Replies
420 Views
Wanaukumbi. ⚡️BREAKING: Vikosi vya Al-Qassam: "Angalia: kama sehemu ya mfululizo wa operesheni ya "Gates of Hell" mashariki mwa mji wa Rafah… Vikosi vya Al-Qassam vinafanya mashambulizi ya...
9 Reactions
89 Replies
3K Views
Moja kwa moja. NB : Huu Uzi umejikita zaidi kuzungumzia harakati za chinichini za Siri na wazi za Mazayuni zenye malengo wa Kigaidi zilizopelekea kuunda Taifa la Israeli . Kabla ya kuundwa kwa...
4 Reactions
104 Replies
3K Views
Idadi ya vifo kutokana na maandamano yenye vurugu nchini Nepal imeongezeka na kufikia watu 31, huku juhudi zikiendelea kuunda serikali ya mpito kufuatia kuondolewa kwa Waziri Mkuu KP Sharma Oli...
0 Reactions
0 Replies
171 Views
Back
Top Bottom