International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Bila shaka sasa siyo siri, Israel imeonyesha kwa vitendo na maneno kuwa Inataka ile kitu inayoitwa "Greater Israel". Hilo lilithibitishwa na Bwana Benjamin Netanyahu wakati akihojiwa na mbunge wa...
10 Reactions
69 Replies
4K Views
Kwa nini hizi jamii za Asia zinaonekana kufanya vyema kwenye AI kwa sasa duniani ? Hasa jamii ya kichina iwe ndani ya nchi zao za kuzaliwa au hata nje ya nchi zao Nini siri ya mafanikio yao au...
6 Reactions
90 Replies
3K Views
Naomba kujibiwa swali hili bila mihemko. Ningependa kujuzwa ni kwa namna gani Wayahudi na raia wa Israel wana nguvu kiasi gani ndani ya marekani, kiuchumi na kisiasa ? Treatment anayopata...
12 Reactions
35 Replies
2K Views
MFUNGWA Emmanuel Magede aliyehukumiwa kifungo cha miaka 10 kwa kumbaka mtoto mdogo amekutwa na hatia ya kumbaka mfungwa mwenzake aliyekuwa anaoga wakiwa gerezani. Mwendesha mashtaka, Loveit...
9 Reactions
57 Replies
3K Views
GUINEA:Serikali ya kijeshi nchini Guinea imesitisha kwa miezi mitatu shughuli za vyama vitatu vikubwa vya siasa, ikiwemo chama cha Rais wa zamani Alpha Condé (RPG), Union of Democratic Forces...
0 Reactions
0 Replies
463 Views
Wachambuzi wa Israel wanaamini kuwa Israel inajiandaa kwa duru nyingine ya mapigano dhidi ya Iran. Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Ulinzi, Meja Jenerali Amir Baram, aliuagiza ujumbe wa Wizara ya...
4 Reactions
11 Replies
690 Views
Wakuu Nimekuwa nikilalamikia sana kuhusu hawa Wachina humu, naona sasa Wanigeria wameamua kufanya kweli. Malawi na Angola na sasa Nigeria wameshaanza kuchukua hatua dhidi ya hawa watu. Sisi...
0 Reactions
5 Replies
693 Views
Kwa mara ya kwanza katika historia Somalia, marais watatu wastaafu Sharif Sheikh Ahmed, Abdiqasim Salad Hassan na Mohamed Abdullahi Farmaajo wameungana kutoa tamko kali dhidi ya serikali ya Rais...
0 Reactions
3 Replies
766 Views
Katika mkutano wa ngazi ya juu katika Amri ya Kusini, PM Netanyahu, DM Katz, na Mkuu wa Wafanyakazi Zamir walipitia mpango wa uendeshaji wa kuliteka Jiji la Gaza - uwezekano wa mabadiliko katika...
0 Reactions
5 Replies
421 Views
Watu wanaojihusisha na Ugaidi huko West-bank na huko Gaza zaidi ya 100 leo hii wametiwa nguvuni na kuhojiwa kutokana na vitendo vyao vya kigaidi wanavyovifanya katika miji mbalimbali huko...
3 Reactions
2 Replies
435 Views
Wakati akina Webabu wanaeneza Propaganda uchwara za kudai kuwa askari 14,600 wa Israel wamekimbia vitani- IDF itaanza kutoa maagizo ya kuwaita askari wa akiba takriban 60,000 katika siku zijazo...
0 Reactions
8 Replies
465 Views
Shambulizi lililoratibiwa na Hamas kwenye Kituo cha IDF Karibu na Khan Yunis IDF ilithibitisha kuwa Hamas walianzisha shambulio lililoratibiwa kwa kutumia bunduki na vifaru, na hivyo kufanikiwa...
4 Reactions
9 Replies
797 Views
Maendeleo makubwa kwa kundi dogo huwaacha wengine na wivu na hasira Quran na Biblia zimeweka wazi upendeleo wa Mungu kwa kuwabarikia wayahudi akili zaidi japo kwa upendeleo huu walikuwa na jukumu...
9 Reactions
70 Replies
2K Views
Mnamo 2005, Israeli ilijiondoaUkanda wa Gaza na kuvunja makazi yote 21 ya Israeli huko. Kama sehemu ya mchakato huu, makazi manne ya Waisraeli katika Ukingo wa Magharibi yalivunjwa pia. Kuondolewa...
1 Reactions
13 Replies
522 Views
Former army Chief Col.Jean Bikomagu assassinated. Wounded daughter admitted. He fought against CNDDFDD while in rebellion, he commanded government forces which were fighting the then rebels...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Salaam! Kumbe Africa yetu ni kubwa kuliko tulivyochorewa kwenye ramani. BBC Swahili imekuja na ripoti iliyoandakiwa na wataalamu toka Africa kuwa baada ya tafsiri na vipimo vya ardhi ya nchi...
1 Reactions
7 Replies
530 Views
Mkutano wa 30 kuhusu mabadiliko ya tabia nchi (COP30) unatarajiwa kufanyika mwezi Novemba mjini Belém nchi Brazil, ambao unatajwa kuwa mkutano wa kilele wa kihistoria utakaoweka ajenda kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
254 Views
Lavenda Chepkirui, mwanafunzi mwenye umri wa miaka 25 kutoka Chuo Kikuu cha Kabianga nchini Kenya, alipiga hatua kubwa ya kutimiza maono yake ya kubadilisha kilimo barani Afrika kwa kutumia suluhu...
0 Reactions
0 Replies
266 Views
Back
Top Bottom