International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Leo Oktoba 14, 2025 ni kumbukumbu ya miaka 26 tangu kifo cha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Alizaliwa Aprili 13, 1922 na alifariki dunia Oktoba 14, 1999. Alisoma katika Chuo cha Makerere mjini...
1 Reactions
3 Replies
513 Views
Oktoba 12, 2025 Wananchi wa Cameroon walishiriki zoezi la kupiga kura kumchagua Rais atakayeshika Madaraka kwa Muda wa Miaka saba kama ilivyo katiba ya nchi hiyo Uchaguzi huu umekuwa na vuguvugu...
2 Reactions
1 Replies
202 Views
Oktoba 12, 2025 Ikulu ya Madagascar ilitoa taarifa kuwa “jaribio haramu la kutumia nguvu kuchukua madaraka” linaendelea nchini humo, siku moja baada ya baadhi ya wanajeshi kujiunga na vuguvugu la...
3 Reactions
5 Replies
323 Views
Rais Andry Rajoelina anayekabiliwa na upinzani mkali nchini Madagascar ametangaza kulivunja Bunge la Taifa mara moja Hatua hiyo imekuja muda mfupi baada ya upinzani kutangaza kuwa utaanzisha...
5 Reactions
16 Replies
910 Views
Kwa wale GEN Z ambao hawajawahi kupata historia vizuri ni kwamba Rais wa Madagascar wa sasa alianza Urais wake kwa njia ya maandamano kwa kumtoa Richard Ravalomanana yaani kwa ufupi Andry...
0 Reactions
3 Replies
129 Views
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametua nchini Israel kupitia uwanja wa ndege wa Ben Gurion, ambapo amepokewa na Rais wa Israel, Isaac Herzog, pamoja na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu. Trump...
2 Reactions
3 Replies
299 Views
BREAKING NEWS: Jeshi la Madagascar limetangaza mapinduzi na limesimamisha katiba na kumwondoa madarakani Rais Andry Rajoelina kufuatia maandamano yaliyokuwa yakiendelea. Kitengo maalumu cha...
27 Reactions
77 Replies
3K Views
Raia wa Cameroon walipiga kura Jumapili, Oktoba 12, 2025, katika uchaguzi unaotarajiwa kumrejesha madarakani Rais Paul Biya, mwenye miaka 92, ambaye ameiongoza nchi hiyo kwa zaidi ya miongo minne...
0 Reactions
1 Replies
210 Views
Zoezi la kuhesabu kura linaendelea nchini Cameroon kufuatia uchaguzi wa urais uliofanyika Oktoba 12, 2025, ambapo Rais aliyepo madarakani, Paul Biya, anatafuta kuendelea kushikilia madaraka baada...
0 Reactions
6 Replies
249 Views
Jean Bertrand M mwanaharakati anayejitokeza wazi nchini Cameroon, ametuma ujumbe mkali kwa Waziri wa Utawala wa Ndani, Paul Atanga Nji, akitangaza kwa ujasiri kuwa Rais Paul Biya “ameanguka” na...
0 Reactions
1 Replies
194 Views
Rais wa Marekani Donald Trump amesema “vita imekwisha” wakati akisafiri kuelekea Israel kwa ajili ya kuachiwa kwa mateka kutoka Gaza chini ya makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na...
2 Reactions
12 Replies
549 Views
Nchini Albania katika Mji wa Trianna Jaji Astrit Kalaja ameuawa kwa risasi baada ya mtuhumiwa katika kesi aliyokuwa akiendesha kufyatua risasi wakati kesi ikiendelea katika 'Mahakama ya Rufaa...
3 Reactions
8 Replies
597 Views
Rais wa 47 wa Taifa la Marekani, Donald John Trump (79) ameeleza mashaka yake ya kuingia mbinguni ambapo amesema hana hakika kama kuna kitu kinachoweza kumfanya aingie mbinguni ila ana uhakika...
7 Reactions
18 Replies
867 Views
Vatican makao makuu ya kanisa katoliki duniani yapokea hija takatifu ya kwanza rasmi ya watu wanaoingiliana kinyume na maumbile. Kwa mara ya kwanza katika historia ya Kanisa Katoliki, hija ya...
9 Reactions
131 Replies
4K Views
https://x.com/marxistJorge/status/1976999644975841453?s=19 "Watoto wetu wanahangaika sana , hayupo hapa Kuwaua wala kuwpaiga .Na sisi pia tunatipitia kile kile wanachopitia watoto wetu.Ni lazima...
6 Reactions
10 Replies
746 Views
Waandamanaji waliendelea kujitokeza mitaani nchini Madagascar Oktoba 7, 2025, siku moja baada ya Rais Andry Rajoelina kumteua waziri mkuu mpya Jenerali wa Jeshi, katika juhudi za kupunguza mzozo...
2 Reactions
12 Replies
660 Views
Wanajeshi nchini Madagascar wamejiunga na raia katika maandamano makubwa kupinga utawala uliopo, hatua ambayo imeibua taharuki kubwa kutokana na nadra ya jeshi kushiriki moja kwa moja kwenye...
1 Reactions
4 Replies
252 Views
Brazil imekataa kuidhinisha uteuzi wa Gali Dagan, aliyewahi kuwa balozi wa Israel nchini Colombia, kuwa balozi mpya wa Israel nchini Brazil, na kuacha nafasi hiyo ikiwa wazi, vyombo vya habari vya...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Mara ya mwisho Trump kuandika gazeti refu kama hili lini ?maana kalalamika sana humu😀 mpaka namuonea huruma Ubaya mwenzake Xi hayupo kwenye mitandao ya kijamii hivyo ni ngumu kujua hata anajali...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Kiongozi wa Upinzani nchini Seychelles (Ushelisheli), Patrick Herminie ameshinda kiti cha Urais kwa kupata 52.7% ya Kura zilizopigwa dhidi ya 47.3% za Rais Wavel Ramkalawan ikiwa ni baada ya...
1 Reactions
3 Replies
244 Views
Back
Top Bottom