Bila shaka sasa siyo siri, Israel imeonyesha kwa vitendo na maneno kuwa Inataka ile kitu inayoitwa "Greater Israel".
Hilo lilithibitishwa na Bwana Benjamin Netanyahu wakati akihojiwa na mbunge wa...
Kwa nini hizi jamii za Asia zinaonekana kufanya vyema kwenye AI kwa sasa duniani ? Hasa jamii ya kichina iwe ndani ya nchi zao za kuzaliwa au hata nje ya nchi zao
Nini siri ya mafanikio yao au...
Naomba kujibiwa swali hili bila mihemko.
Ningependa kujuzwa ni kwa namna gani Wayahudi na raia wa Israel wana nguvu kiasi gani ndani ya marekani, kiuchumi na kisiasa ?
Treatment anayopata...
MFUNGWA Emmanuel Magede aliyehukumiwa kifungo cha miaka 10 kwa kumbaka mtoto mdogo amekutwa na hatia ya kumbaka mfungwa mwenzake aliyekuwa anaoga wakiwa gerezani.
Mwendesha mashtaka, Loveit...
GUINEA:Serikali ya kijeshi nchini Guinea imesitisha kwa miezi mitatu shughuli za vyama vitatu vikubwa vya siasa, ikiwemo chama cha Rais wa zamani Alpha Condé (RPG), Union of Democratic Forces...
Wachambuzi wa Israel wanaamini kuwa Israel inajiandaa kwa duru nyingine ya mapigano dhidi ya Iran. Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Ulinzi, Meja Jenerali Amir Baram, aliuagiza ujumbe wa Wizara ya...
Wakuu
Nimekuwa nikilalamikia sana kuhusu hawa Wachina humu, naona sasa Wanigeria wameamua kufanya kweli.
Malawi na Angola na sasa Nigeria wameshaanza kuchukua hatua dhidi ya hawa watu. Sisi...
Kwa mara ya kwanza katika historia Somalia, marais watatu wastaafu Sharif Sheikh Ahmed, Abdiqasim Salad Hassan na Mohamed Abdullahi Farmaajo wameungana kutoa tamko kali dhidi ya serikali ya Rais...
Katika mkutano wa ngazi ya juu katika Amri ya Kusini, PM Netanyahu, DM Katz, na Mkuu wa Wafanyakazi Zamir walipitia mpango wa uendeshaji wa kuliteka Jiji la Gaza - uwezekano wa mabadiliko katika...
Watu wanaojihusisha na Ugaidi huko West-bank na huko Gaza zaidi ya 100 leo hii wametiwa nguvuni na kuhojiwa kutokana na vitendo vyao vya kigaidi wanavyovifanya katika miji mbalimbali huko...
Wakati akina Webabu wanaeneza Propaganda uchwara za kudai kuwa askari 14,600 wa Israel wamekimbia vitani-
IDF itaanza kutoa maagizo ya kuwaita askari wa akiba takriban 60,000 katika siku zijazo...
Shambulizi lililoratibiwa na Hamas kwenye Kituo cha IDF Karibu na Khan Yunis
IDF ilithibitisha kuwa Hamas walianzisha shambulio lililoratibiwa kwa kutumia bunduki na vifaru, na hivyo kufanikiwa...
Maendeleo makubwa kwa kundi dogo huwaacha wengine na wivu na hasira
Quran na Biblia zimeweka wazi upendeleo wa Mungu kwa kuwabarikia wayahudi akili zaidi japo kwa upendeleo huu walikuwa na jukumu...
Mnamo 2005, Israeli ilijiondoaUkanda wa Gaza na kuvunja makazi yote 21 ya Israeli huko. Kama sehemu ya mchakato huu, makazi manne ya Waisraeli katika Ukingo wa Magharibi yalivunjwa pia. Kuondolewa...
Former army Chief Col.Jean Bikomagu assassinated. Wounded daughter admitted.
He fought against CNDDFDD while in rebellion, he commanded government forces which were fighting the then rebels...
Salaam!
Kumbe Africa yetu ni kubwa kuliko tulivyochorewa kwenye ramani.
BBC Swahili imekuja na ripoti iliyoandakiwa na wataalamu toka Africa kuwa baada ya tafsiri na vipimo vya ardhi ya nchi...
Mkutano wa 30 kuhusu mabadiliko ya tabia nchi (COP30) unatarajiwa kufanyika mwezi Novemba mjini Belém nchi Brazil, ambao unatajwa kuwa mkutano wa kilele wa kihistoria utakaoweka ajenda kuhusu...
Lavenda Chepkirui, mwanafunzi mwenye umri wa miaka 25 kutoka Chuo Kikuu cha Kabianga nchini Kenya, alipiga hatua kubwa ya kutimiza maono yake ya kubadilisha kilimo barani Afrika kwa kutumia suluhu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.