International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Israel ina uwezo wa kuua na kukalia ardhi lakini tutapambana nao na hawatoweza kupata utulivu. Uwezo huo upo mikononi mwetu na sasa tumekuwa imara kuliko hapo awali. Marekani ni tishio kwa nchi...
9 Reactions
24 Replies
1K Views
Trump anataka ushindi katika vita ambayo 'hapigani' na Putin anataka ushindi dhidi ya 'dunia nzima'. Na kila mtu yuko tayari kufanya lolote kuhakikisha anashinda. Hili linaleta hatari ya vita...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Vikosi vya usalama vya Israel vilifanya operesheni sahihi katikati mwa Hebron, kumkamata gaidi anayesakwa ndani ya tawi la benki. Wakiwa wamejigeuza kama wateja, wapiganaji waliofichwa kutoka...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Tusiwe wanafiki.. au kwa vile palestina ipo live aljazeerq basi ndio sisi akina baba+mama huruma tunajikuta tunawasikitikia wa Gaza ila wa hapa kwetu ndani ya bara la Afrika hatuwaoni sio...
7 Reactions
25 Replies
752 Views
Mkurugenzi wa U.S. Centers for Disease Control and Prevention (CDC), Susan Monarez, amefutwa kazi na Ikulu ya Marekani ya utawala wa Rais Donald Trump, chini ya uongozi wa Waziri wa Afya Robert F...
2 Reactions
5 Replies
736 Views
Kwa utumishi wa zaidi ya miaka 40 kama padri mkuu wa kanisa ya orthodox David Gould, kwa sasa anaitwa kwa majina ya Abdul Rahman amekua Muislamu rasmi. Na hili limeanza baada ya kuenda Perth...
34 Reactions
126 Replies
4K Views
Viongozi wa Kijeshi nchini Iran wamesema kuwa wanaona Israel ikijiandaa kuishambulia. Iran imesema itahakikisha inalipiza kisasi mapema kuliko na ndani ya Msaa 48 Israel haitokuwepo. Zaidi ya...
26 Reactions
219 Replies
8K Views
Mvutano kati ya Iran na mataifa matatu ya Ulaya — Ufaransa, Ujerumani na Uingereza maarufu kama E3 — umeongezeka baada ya mataifa hayo kutishia kurejesha vikwazo vyote vya Umoja wa Mataifa dhidi...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
BREAKING: IDF inathibitisha kwamba kamera za uchunguzi za Hamas ambazo zilikuwa karibu na Hospitali ya Nasser huko Khan Yunis zilikuwa zikitumiwa kufuatilia mienendo ya wanajeshi wa Israel na...
3 Reactions
14 Replies
717 Views
Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, amedhamiria kuitwaa Gaza yote bila kujali kelele za mataifa yanayompinga. Ujasiri huo anaupata wapi? Katika kupitia pitia Maandiko nimegundua kumbe ni...
8 Reactions
122 Replies
4K Views
kwa mujibu wa shirika la habari la ANI Agosti 27, 2025 mvua kubwa imesababisha mafuriko na maporomoko ya udongo katika njia maarufu ya hija ya Kihindu kaskazini mwa India, na kusababisha vifo...
0 Reactions
3 Replies
412 Views
Wabunge wa Marekani wameanzisha Sheria ya Bunker Buster, ambayo itaidhinisha Rais Trump kuhamisha ndege za B-2 na mabomu ya GBU-57 ya bunker-buster kwenda Israeli ikiwa Iran itarejelea...
10 Reactions
93 Replies
3K Views
Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamoud, pamoja na viongozi wakuu wanne wa upinzani, wamesaini makubaliano kuhusu uchaguzi ujao nchini humo. Makubaliano haya yaliyokamilika tarehe 25 Agosti 2025...
0 Reactions
2 Replies
666 Views
Ni makosa kisheria kushambuliwa makazi ya rais wa nchi kwa sheria za UN. Taarifa kutoka Israel muda huu:Israel Air Force strikes against the Houthis in Yemen’s capital, Sanaa, hit a military...
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imewaita maafisa wake waandamizi wa kijeshi 41, wakiwemo majenerali 35 na makamanda wa ngazi ya kanali 6, ili kuhojiwa kufuatia kushindwa mara kwa mara...
0 Reactions
0 Replies
302 Views
Baada ya waarabu kueneza tabia ya kuchana na kuchoma Bendera za Marekani sasa Rais wa Marekani amekuja na Muarobaini wa kuamua kuwafunga a kuwafukuza Marekani wote watakaofanya vitendo hivyo vya...
1 Reactions
5 Replies
739 Views
❗️Ndege za usafiri za kijeshi za Urusi ziliripotiwa kutua katika kambi kadhaa za jeshi la wanahewa nchini Iran katika siku kadhaa zilizopita. Utawala wa ayatollah unaonekana kurejesha haraka...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Kwa nini hakuna hata nchi moja ya kiarabu yenye demokrasia? Demokrasia haiivii chungu kimoja kabisa na uarabu? Hii ina athari gani kwetu pia kama nchi kwetu sisi ambapo utamaduni wa Kiarabu una...
10 Reactions
221 Replies
6K Views
Kama ulikuwa hujui kuwa PUTIN amesema nini kuhusu AFRIKA, wacha nikufahamishe: RAIS wa URUSI, Mheshimiwa VLADIMIR PUTIN, Jana amelihutubia taifa na kusema kuwa: Kuna watu wananilaumu mimi na...
38 Reactions
62 Replies
4K Views
Back
Top Bottom