Israel ina uwezo wa kuua na kukalia ardhi lakini tutapambana nao na hawatoweza kupata utulivu.
Uwezo huo upo mikononi mwetu na sasa tumekuwa imara kuliko hapo awali.
Marekani ni tishio kwa nchi...
Trump anataka ushindi katika vita ambayo 'hapigani' na Putin anataka ushindi dhidi ya 'dunia nzima'. Na kila mtu yuko tayari kufanya lolote kuhakikisha anashinda. Hili linaleta hatari ya vita...
Vikosi vya usalama vya Israel vilifanya operesheni sahihi katikati mwa Hebron, kumkamata gaidi anayesakwa ndani ya tawi la benki. Wakiwa wamejigeuza kama wateja, wapiganaji waliofichwa kutoka...
Tusiwe wanafiki.. au kwa vile palestina ipo live aljazeerq basi ndio sisi akina baba+mama huruma tunajikuta tunawasikitikia wa Gaza ila wa hapa kwetu ndani ya bara la Afrika hatuwaoni sio...
Mkurugenzi wa U.S. Centers for Disease Control and Prevention (CDC), Susan Monarez, amefutwa kazi na Ikulu ya Marekani ya utawala wa Rais Donald Trump, chini ya uongozi wa Waziri wa Afya Robert F...
Kwa utumishi wa zaidi ya miaka 40 kama padri mkuu wa kanisa ya orthodox David Gould, kwa sasa anaitwa kwa majina ya Abdul Rahman amekua Muislamu rasmi.
Na hili limeanza baada ya kuenda Perth...
Viongozi wa Kijeshi nchini Iran wamesema kuwa wanaona Israel ikijiandaa kuishambulia.
Iran imesema itahakikisha inalipiza kisasi mapema kuliko na ndani ya Msaa 48 Israel haitokuwepo.
Zaidi ya...
Mvutano kati ya Iran na mataifa matatu ya Ulaya — Ufaransa, Ujerumani na Uingereza maarufu kama E3 — umeongezeka baada ya mataifa hayo kutishia kurejesha vikwazo vyote vya Umoja wa Mataifa dhidi...
BREAKING: IDF inathibitisha kwamba kamera za uchunguzi za Hamas ambazo zilikuwa karibu na Hospitali ya Nasser huko Khan Yunis zilikuwa zikitumiwa kufuatilia mienendo ya wanajeshi wa Israel na...
Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, amedhamiria kuitwaa Gaza yote bila kujali kelele za mataifa yanayompinga. Ujasiri huo anaupata wapi? Katika kupitia pitia Maandiko nimegundua kumbe ni...
kwa mujibu wa shirika la habari la ANI Agosti 27, 2025 mvua kubwa imesababisha mafuriko na maporomoko ya udongo katika njia maarufu ya hija ya Kihindu kaskazini mwa India, na kusababisha vifo...
Wabunge wa Marekani wameanzisha Sheria ya Bunker Buster, ambayo itaidhinisha Rais Trump kuhamisha ndege za B-2 na mabomu ya GBU-57 ya bunker-buster kwenda Israeli ikiwa Iran itarejelea...
Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamoud, pamoja na viongozi wakuu wanne wa upinzani, wamesaini makubaliano kuhusu uchaguzi ujao nchini humo. Makubaliano haya yaliyokamilika tarehe 25 Agosti 2025...
Ni makosa kisheria kushambuliwa makazi ya rais wa nchi kwa sheria za UN. Taarifa kutoka Israel muda huu:Israel Air Force strikes against the Houthis in Yemen’s capital, Sanaa, hit a military...
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imewaita maafisa wake waandamizi wa kijeshi 41, wakiwemo majenerali 35 na makamanda wa ngazi ya kanali 6, ili kuhojiwa kufuatia kushindwa mara kwa mara...
Baada ya waarabu kueneza tabia ya kuchana na kuchoma Bendera za Marekani sasa Rais wa Marekani amekuja na Muarobaini wa kuamua kuwafunga a kuwafukuza Marekani wote watakaofanya vitendo hivyo vya...
❗️Ndege za usafiri za kijeshi za Urusi ziliripotiwa kutua katika kambi kadhaa za jeshi la wanahewa nchini Iran katika siku kadhaa zilizopita.
Utawala wa ayatollah unaonekana kurejesha haraka...
Kwa nini hakuna hata nchi moja ya kiarabu yenye demokrasia?
Demokrasia haiivii chungu kimoja kabisa na uarabu?
Hii ina athari gani kwetu pia kama nchi kwetu sisi ambapo utamaduni wa Kiarabu una...
Kama ulikuwa hujui kuwa PUTIN amesema nini kuhusu AFRIKA, wacha nikufahamishe:
RAIS wa URUSI, Mheshimiwa VLADIMIR PUTIN,
Jana amelihutubia taifa na kusema kuwa:
Kuna watu wananilaumu mimi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.