Ok habari ya Max imewafikia number one cable news in USA .Human rights group washaanza kumwita magufuli dictator.Mnajua habari Kama hii ikifika Fox mjue Magufuli amejiharibia.Tucker Carlson ,will...
Kiongozi wa Gambia Yahya Jammeh mara baada ya kupinga matokeo ya urais na kudai matokeo hayo yamechakachuliwa hivyo ameamua kupinga kwa kupeleka madai yake mahakama kuu.Maamuzi aliyoyachukua Yahya...
Ok habari ya Max imewafikia number one cable news in USA .Human rights group washaanza kumwita magufuli dictator.Mnajua habari Kama hii ikifika Fox mjue Magufuli amejiharibia.Tucker Carlson ,will...
Nearly 1,000 civilians and 26 wounded people have been evacuated in buses and ambulances from a besieged rebel-held enclave in the Syrian city of Aleppo.
The International Committee of the Red...
African leaders head to Gambia for mediation talks
Msimamo wa dunia kuhusu uhuni wa Yahya Jammeh pia ni hukumu ya dhulma ya kufutwa uchaguzi wa Zanzibari. Justices for Gambia.Justice for Zanzibar.
Utumwa ni jambo lililokuwa linadhalilisha sana Utu wa binadamu hasa waafrika ambao ndiyo walitumika kwa kiasi kikubwa katika biashara hiyo, watu walipatwa na madhara makubwa kutokana na biashara...
Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir, ameitisha mazungumzo ya kitaifa yatakayomaliza vita vya vya miaka mitatu vya wenyewe kwa wenyewe.
Akihutubia bunge mjini Juba, amesema jopo la wataalam litaongoza...
Rais mteule nchini Marekani Donald Trump amethibitisha kuwa mkuu wa kampuni ya Exxon Mobil, Rex Tillerson ndiye waziri wa mambo ya nje nchini Marekani.
Bwana Trump alimsifu Tillerson mwenye umri...
Umoja wa Mataifa umesema kuwa zaidi ya watoto laki nne wanakabiliwa na utapiamlo nchini Nigeria kwa sababu ya mapigano ya Boko Haram na robo yao huenda wakafariki mwakani.
Shirika la...
Africans are poor because when it rains they think of sex instead of farming – Donald Trump - Africans are poor because when it rains they think of sex instead of farming - Donald Trump
Yanayofanywa na Rais wa Gambia, Mr. Jammeh aliyeshindwa na kukatalia madarakani kunahalalisha ICC ionekane kama inawaandama viongozi wa Afrika tu. Hali kama hii haiwezi kutokea Ulaya au Marekani...
Jeshi la Syria limesema mapigano ya mjini Aleppo yapo katika hatua za mwisho baada ya kufanikiwa kudhibiti sehemu kubwa ya mji huo kutoka mikononi mwa waasi.
Mkuu wa kamati ya usalama Luteni...
Vitengo vya ujasusi nchini Marekani vinaamini kwamba Urusi iliingilia uchaguzi wa Marekani ili kumpiga jeki Donald Trump katika uchaguzi huo kulingana na maafisa wa Marekani.
Ripoti moja katika...
UNITED NATIONS (AP) — Former Portuguese prime minister Antonio Guterres was sworn in Monday as Secretary-General of the United Nations, becoming the ninth U.N. chief in the body's 71-year history...
Jumuiya ya Ulaya na Marekani zimeweka vikwazo dhidi ya maofisa wakubwa wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa kuhusika na mauaji ya waandamanaji waliotaka Rais Joseph Kabila kuachia madaraka...
Kwa takribani wiki kadhaa vyombo vya habari vinaripoti maandamano ambayo yanafanyika kila mwisho wa wiki kumshinikiza raisi wa nchi hiyo kujiuzuru jambo ambalo limefanikiwa jana baada ya bunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.