Je, Afrika ya Kusini ingelikuwa vipi kama kusingelikuwepo wazungu?

matunge

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
442
426
Wandugu,

Afrika Kusini ni taifa lililoendelea zaidi barani Afrika kuliko taifa lolote lile.

Nimebahatika kufika Johanesburg na Pretoria mara tatu kwa nyakati tofauti. Pia nimefika nchi kadhaa za Ulaya na kuishi kwa miaka kadhaa.

Afrika Kusini kwa maendeleo ya miundombinu na mifumo ya mawasiliano inakaribiana ama inazidi baadhi ya nchi za Ulaya.

Utofauti mkubwa kati ya Afrika Kusini na nchi za Ulaya ni kwamba Afrika Kusini kuna umasikini mwingi hasa kwa watu weusi.

Ukichunguza kwa makini hasa ukiwa Afrika Kusini utagundua kwamba mchango wa ujenzi wa Afrika Kusini kwa kiwango kikubwa umetokana na uwepo wa watu weupe nchini humo.

Hata ukitazama fedha yao ya rand ilikuwa na thamani zaidi dhidi ya dola kipindi cha utawala wa wazungu kuliko ilivyo kipindi weusi walianza kutawala.

Pia ukiwasoma kwa ukaribu zaidi watu weusi wa Afrika ya Kusini utagundua wengi ni wavivu na pia kila wakati hurejea suala la ubaguzi wa rangi uliokuwepo ambao hata leo upo kama njia ya kuficha mapungufu yao.

Lakini nadhani mchango wa watu weusi kwenye maendeleo ya Afrika ya Kusini ni mdogo sana.

Hii imenifanya nijiulize swahi hili:

Je, Afrika ya Kusini ingelikuwa vipi kama kusingelikuwepo wazungu?
 
Wangekuwa kama walivyo sasa
Umasikini na wizi pamoja na rushwa ndio ungetamalaki kama nchi zingine za Africa tu
Uwepo wa wazungu na kulifikisha taifa hilo mbali kimaendeleo ni juhudi zao tu na kufanya maisha bora
Ila hawakuwatendea haki watu weusi kwa kuwatenga na kuwanyima elimu ili wajikwamue kama wao

Hili tatizo ndio limewafanya wawe mbogo (weusi) kwa weusi wenzao wanaokuja na taaluma zao na kufanya kazi na wengine biashara

Chanzo cha ubaguzi ni weupe ingawa nchi nyingi za Africa badala ya kuwaza maendeleo wanawakandamiza weusi wenzao kwa kuogopa wataelimika na huo ni ujinga mkubwa sana unaoturudisha nyuma
Baadhi ya viongozi wapo wanaojitahidi kubadili hizi mentalities
 
Yaani ingekuwa the same as nchi zetu za above Kalahari desert....wazungu walifanya kazi na ndio wanaendelea kusaidia as check and balance...that is the bitter truth....
 
Wakati unafikiria hilo, naomba unipe jibu Tanzania ingekuwa wapi? Azimio la Arusha lingefutwa? Ukipata jibu, basi litakuwa kinyume na SA.
Wandugu,

Afrika Kusini ni taifa lililoendelea zaidi barani Afrika kuliko taifa lolote lile.

Nimebahatika kufika Johanesburg na Pretoria mara tatu kwa nyakati tofauti. Pia nimefika nchi kadhaa za Ulaya na kuishi kwa miaka kadhaa.

Afrika Kusini kwa maendeleo ya miundombinu na mifumo ya mawasiliano inakaribiana ama inazidi baadhi ya nchi za Ulaya.

Utofauti mkubwa kati ya Afrika Kusini na nchi za Ulaya ni kwamba Afrika Kusini kuna umasikini mwingi hasa kwa watu weusi.

Ukichunguza kwa makini hasa ukiwa Afrika Kusini utagundua kwamba mchango wa ujenzi wa Afrika Kusini kwa kiwango kikubwa umetokana na uwepo wa watu weupe nchini humo.

Hata ukitazama fedha yao ya rand ilikuwa na thamani zaidi dhidi ya dola kipindi cha utawala wa wazungu kuliko ilivyo kipindi weusi walianza kutawala.

Pia ukiwasoma kwa ukaribu zaidi watu weusi wa Afrika ya Kusini utagundua wengi ni wavivu na pia kila wakati hurejea suala la ubaguzi wa rangi uliokuwepo ambao hata leo upo kama njia ya kuficha mapungufu yao.

Lakini nadhani mchango wa watu weusi kwenye maendeleo ya Afrika ya Kusini ni mdogo sana.

Hii imenifanya nijiulize swahi hili:

Je, Afrika ya Kusini ingelikuwa vipi kama kusingelikuwepo wazungu?
 
Wandugu,

Afrika Kusini ni taifa lililoendelea zaidi barani Afrika kuliko taifa lolote lile.

Nimebahatika kufika Johanesburg na Pretoria mara tatu kwa nyakati tofauti. Pia nimefika nchi kadhaa za Ulaya na kuishi kwa miaka kadhaa.

Afrika Kusini kwa maendeleo ya miundombinu na mifumo ya mawasiliano inakaribiana ama inazidi baadhi ya nchi za Ulaya.

Utofauti mkubwa kati ya Afrika Kusini na nchi za Ulaya ni kwamba Afrika Kusini kuna umasikini mwingi hasa kwa watu weusi.

Ukichunguza kwa makini hasa ukiwa Afrika Kusini utagundua kwamba mchango wa ujenzi wa Afrika Kusini kwa kiwango kikubwa umetokana na uwepo wa watu weupe nchini humo.

Hata ukitazama fedha yao ya rand ilikuwa na thamani zaidi dhidi ya dola kipindi cha utawala wa wazungu kuliko ilivyo kipindi weusi walianza kutawala.

Pia ukiwasoma kwa ukaribu zaidi watu weusi wa Afrika ya Kusini utagundua wengi ni wavivu na pia kila wakati hurejea suala la ubaguzi wa rangi uliokuwepo ambao hata leo upo kama njia ya kuficha mapungufu yao.

Lakini nadhani mchango wa watu weusi kwenye maendeleo ya Afrika ya Kusini ni mdogo sana.

Hii imenifanya nijiulize swahi hili:

Je, Afrika ya Kusini ingelikuwa vipi kama kusingelikuwepo wazungu?
Wandugu,

Afrika Kusini ni taifa lililoendelea zaidi barani Afrika kuliko taifa lolote lile.

Nimebahatika kufika Johanesburg na Pretoria mara tatu kwa nyakati tofauti. Pia nimefika nchi kadhaa za Ulaya na kuishi kwa miaka kadhaa.

Afrika Kusini kwa maendeleo ya miundombinu na mifumo ya mawasiliano inakaribiana ama inazidi baadhi ya nchi za Ulaya.

Utofauti mkubwa kati ya Afrika Kusini na nchi za Ulaya ni kwamba Afrika Kusini kuna umasikini mwingi hasa kwa watu weusi.

Ukichunguza kwa makini hasa ukiwa Afrika Kusini utagundua kwamba mchango wa ujenzi wa Afrika Kusini kwa kiwango kikubwa umetokana na uwepo wa watu weupe nchini humo.

Hata ukitazama fedha yao ya rand ilikuwa na thamani zaidi dhidi ya dola kipindi cha utawala wa wazungu kuliko ilivyo kipindi weusi walianza kutawala.

Pia ukiwasoma kwa ukaribu zaidi watu weusi wa Afrika ya Kusini utagundua wengi ni wavivu na pia kila wakati hurejea suala la ubaguzi wa rangi uliokuwepo ambao hata leo upo kama njia ya kuficha mapungufu yao.

Lakini nadhani mchango wa watu weusi kwenye maendeleo ya Afrika ya Kusini ni mdogo sana.

Hii imenifanya nijiulize swahi hili:

Je, Afrika ya Kusini ingelikuwa vipi kama kusingelikuwepo wazungu?


Umeona malema's Apatheid economic freedom fighter party ???. Hayo uliyoyasema ndiyo yanayopiganiwa leo na Julius Malema.
 
Ulicho sema ni kweli ,lakini katika suala la watu weupe kumiliki uchumi ni tatizo la nchi nyingi za kiafrika, angalau kwa nchi kama Naigeria ndio kidogo uchumi wao kwa %kubwa una milikiwa na weusi ,lakini uchumi wa mataifa mengine mengi ya kiafrika uchumi wao kwa kiasi kikubwa unamilikiwa na watu weupe.
Mfano nchi yetu Tz watu weupe ni %1 tu ya raia wote wa tz lakini ndio wanamiliki 80%ya uchumi wa tz sisi ambao ni weusi ambao ni wengi tukiwa tuna milikl 20%tu .
Kwa mfano huo inaonesha bado nchi nyingi za kiafrika zingekuwa na hali mbaya zisingekuwa na watu weupe.
 
Wangekuwa kama walivyo sasa
Umasikini na wizi pamoja na rushwa ndio ungetamalaki kama nchi zingine za Africa tu
Uwepo wa wazungu na kulifikisha taifa hilo mbali kimaendeleo ni juhudi zao tu na kufanya maisha bora
Ila hawakuwatendea haki watu weusi kwa kuwatenga na kuwanyima elimu ili wajikwamue kama wao

Hili tatizo ndio limewafanya wawe mbogo (weusi) kwa weusi wenzao wanaokuja na taaluma zao na kufanya kazi na wengine biashara

Chanzo cha ubaguzi ni weupe ingawa nchi nyingi za Africa badala ya kuwaza maendeleo wanawakandamiza weusi wenzao kwa kuogopa wataelimika na huo ni ujinga mkubwa sana unaoturudisha nyuma
Baadhi ya viongozi wapo wanaojitahidi kubadili hizi mentalities

Si kweli walipewa elimu wakakataa wakakimbilia starehe.
 
  • Thanks
Reactions: RTI
Ulicho sema ni kweli ,lakini katika suala la watu weupe kumiliki uchumi ni tatizo la nchi nyingi za kiafrika, angalau kwa nchi kama Naigeria ndio kidogo uchumi wao kwa %kubwa una milikiwa na weusi ,lakini uchumi wa mataifa mengine mengi ya kiafrika uchumi wao kwa kiasi kikubwa unamilikiwa na watu weupe.
Mfano nchi yetu Tz watu weupe ni %1 tu ya raia wote wa tz lakini ndio wanamiliki 80%ya uchumi wa tz sisi ambao ni weusi ambao ni wengi tukiwa tuna milikl 20%tu .
Kwa mfano huo inaonesha bado nchi nyingi za kiafrika zingekuwa na hali mbaya zisingekuwa na watu weupe.

Tz tuliaminishwa umasikini ndio uzalendo utajiri ni dhambi ya unyonyaji.Ilikuwa uruhusiwi kuwa tajiri baada ya Uhuru ashukuriwe Mzee ruksa kuanza kuruhusu watu kuwa matajiri, kabla ya hapo kesi ya uhujumu uchumi ingekuhusu.Kikwazo cha maendeleo ya mwafrika kimeletwa na mwafrika mwenzake. Enzi za ukoloni matajiri walikuwepo weusi awamu ya kwanza ikawasomesha namba matajiri waishi kama mashetani copy Na paste yaliyomo yalikuwepo matajiri watoke wapi sasa.
 
  • Thanks
Reactions: RTI
Wakati unafikiria hilo, naomba unipe jibu Tanzania ingekuwa wapi? Azimio la Arusha lingefutwa? Ukipata jibu, basi litakuwa kinyume na SA.

Tungekuwa kwenye sabuni za magwanji,kufulia nguo majani ya papai,kuvaa kaki,ukikutwa na Colgate kesi ya uhujumu uchumi inakuhusu, redio ni moja tu kijiji kizima Chanel moja tu tvccm,kama north Korea vile.
 
Elimu walipewa na mzungu really?
Soweto umeisahau mbona walitengwa sana na kuwekewa vikwazo hata kutembea usiku
Soma historia halisi,asilimia kubwa ya wakaazi wa Soweto ni wazulu na wazulu ni primitive hawataki kubadilika,wao ni wavivu na wapenda starehe Kwa hela za uhalifu.Roho ya uuwaji wameirithi toka kwa Shaka Zulu ambapo kwake kuuwa watu wake ni ibada,kuzuiwa kutembea usiku ilikuwa sababu ya zile vurugu za vuguvugu za ukombozi na awakutaka kabisa kuchangamana na weupe mweupe yeyeto akionekana Soweto alikuwa akimalizwa.Mbona jamii zingine angalau zilistaarabika zilielimika.Hata ubaguzi wa sasa wa wageni mainjinia ni wazulu.
 
Tuna shida sana kwenye suala La kujitawala kama Waafrica,ni hadi tu tutakapobadili mfumo na muundo wa kutafuta viongozi uliopo miaka 60 sasa hauna na autoleta tija yeyeto. Huu mfumo wa maamuzi ya MTU ndio dira ya watu wote badala ya maamuzi ya watu ndio dira ya watu wote.Africa kiongozi ni mungu si mtumishi wa watu wake kama zilivo nchi zilizoendelea. Vipaumbele vya kiongozi ni vyake binafsi si vipaumbele vya wananchi wote,kiongozi kapewa room ya kuchezea maisha ya watu kadri apendavo akitaka kuuwa sawa,kuuwa uchumi sawa,kuminya demokrasia sawa,kupora Mke wa MTU sawa,Kusomesha watu no sawa,viongozi wengi wa Africa wanapwaya sana kiongozi sababu ya mifumo mbovu ya uongozi inayotoa mwanya wa kuwaibia Waafrica, Leo Mugabe baada ya kuuzika uchumi wa nchi yake ikiwemo kuuwa huduma za afya anakwenda kufia hospital za nje halafu kuna watu wanamuita eti mzalendo. Mobutu ,Mugabe,,Abacha,Yahya Jameh wamepora nchi zao kuliko hata mkoloni alivopora wamekwenda kuficha hela nje, wamejenga makasri nje awapo Leo pesa zimepotea ambazo wangeboresha uchumi wa nchi zao ili watu waone tofauti ya Uhuru na ukoloni ili wafaidi matunda ya Uhuru wao. Leo Waafrica wamekuwa wakimbizi ni aibu Kwa MGENI kuuwa nje ya nchi yake sababu ukosefu wa ajira nchini kwake.
 
  • Thanks
Reactions: RTI
Back
Top Bottom