International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Canada's Barrick to pay $430 million to settle Mali gold mine dispute, Bloomberg News reports. Nov 25 (Reuters) - Barrick Mining (ABX.TO) , opens new tab has agreed to a 244 billion CFA francs...
1 Reactions
0 Replies
152 Views
Alikumbuka kuzindua chaneli ya Telegram ya lugha ya Kiajemi karibu muongo mmoja uliopita ili kufundisha usimamizi wa maji, ambayo ilivutia haraka wafuasi 100,000. "Kiu ya maji nchini Iran...
5 Reactions
42 Replies
2K Views
Yale yale ya muarabu na dini yake yanaendelea kusababisha mauaji Afrika na duniani. Mwafrika anamchinja Mwafrika mwenzake kisa dini ya muarabu. ============ Vikundi vinavyohusiana na Islamic...
3 Reactions
9 Replies
489 Views
Rais wa Marekani Donald Trump, ambaye kwa mara nyingine ameonyesha kusikitishwa kwake kutokana na tabia ya mwenzake wa Urusi Vladimir Putin mnamo Jumatatu, Julai 14, ameipa Urusi siku 50 kumaliza...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
MAPUMZIKO: Jeshi la Wanajeshi la IDF laishambulia Hezbollah Nambari 2 mjini Beirut. Ofisi ya Waziri Mkuu yathibitisha shambulio la anga la usahihi katikati mwa Beirut linalomlenga Haytham ‘Ali...
2 Reactions
11 Replies
379 Views
Msemaji wa IDF atangaza rasmi: IDF imemwangamiza Haitham Ali Tabatabai, Mkuu wa utawala wa shirika la kigaidi la Hezbollah. Msemaji wa IDF atangaza kwamba leo, Novemba 23, 2025, IDF, ikiongozwa...
0 Reactions
2 Replies
235 Views
Organisation of Islamic Cooperation (OIC), inayojulikana pia kwa Kiswahili kama Umoja wa Ushirikiano wa Kiislamu, ni shirika la kimataifa ambalo linalenga kukuza umoja, ushirikiano wa kiuchumi...
3 Reactions
20 Replies
503 Views
Baada ya Hamas kushindwa vita waliyoianzisha wao wenyewe Oct 07,2023 sasa hivi wanafuatwa popote walipo na kuuwawa na wengine waliokuwa wamebaki kwenye mahandaki Njaa imeanza kuwatoa huko na...
2 Reactions
3 Replies
222 Views
Wametumia miaka mitatu na nusu tu kujenga na kumaliza kabisa daraja lote, kwa mwendo huu ndio maana Wachina wameridhika na utawala wa uimla wa Wakomunisti maana ni kama wanawatendea raia wao...
8 Reactions
24 Replies
1K Views
Ilitegemewa kutokana na urafiki mkubwa na ujirani uliopo kati ya China na Russia basi raia Wachina wangejaa kwa wingi zaidi Russia kuliko sehemu nyingine ila hali ni tofauti kabisa. Kuna raia...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Félix Tshisekedi, na Rais wa Rwanda, Paul Kagame, wamekutana nchini Qatar kwa mazungumzo ya kwanza ana kwa ana tangu kuanza kwa mashambulizi ya...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Historia Huwa inajirudia Baada ya Dikteta Museven na mwanae kuishiwa hoja za kisiasa anataka atengeneze tatizo la nje Ili wanachi waondoe focus kwenye changamoto za utawala wake wa ovyo. LEngo...
2 Reactions
12 Replies
560 Views
Joshua Loitu Mollel🕯️ Leo, tulifanya sherehe ya kuaga katika Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion. Mwili wa Joshua sasa unaruka kurudi nyumbani Tanzania. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi ~...
4 Reactions
16 Replies
572 Views
Nimehamasika na maajabu anayofanya huyu rais kijana nchini mwake tena kwa kipindi kifupi sana na kwa kutumia vyanzo vya mapato ya ndani.. Ni wazi si wazungu tuu bali hata marais wenzake wa Afrika...
14 Reactions
56 Replies
3K Views
Miaka 10 iliyopita, dunia ilishuhudia kwa hofu jinsi magaidi wa jihadi walivyowaua waandishi wa habari wa Charlie Hebdo na kuwaua raia katika Bataclan. Ufaransa ilitangaza vita dhidi ya ugaidi...
1 Reactions
0 Replies
205 Views
Hassan Ghazaly, an Egyptian member of the African Peer Review Mechanism (APRM) Focal Point Committee and Founder of the Global Solidarity Network, formally handed over the outcomes of the 5th...
0 Reactions
0 Replies
200 Views
Mwili wa Mtanzania Joshua Mollel aliyeuawa na Hamas kuwasili leo kutoka Israel Maelezo ya picha,Mwili wa Mtanzania Joshua Mollel ukiagwa nchini Israel kabla ya kurudishwa Tanzania, aliuawa na...
0 Reactions
9 Replies
512 Views
Serikali ya Uholanzi imesitisha uamuzi wake wa kuingilia kampuni ya kutengeneza chipu, Nexperia, inayomilikiwa na China, baada ya mazungumzo kati ya pande hizo mbili. Mnamo Septemba, serikali ya...
0 Reactions
4 Replies
404 Views
Sikutilia manani sana huko Nyuma, kumbe jamaa na mke wake ni watusi pure!! Sasa ndo naelewa kwanini Muhoozi ana chuki, kiburi na majivuno na kuwatreat waganda vibaya namna ile. Kwa miaka mingi...
12 Reactions
109 Replies
6K Views
Hivi karibuni, mataifa mawili muhimu kiuchumi barani Afrika – Afrika Kusini na Nigeria – yamekuwa shabaha ya shutuma za rais wa Marekani, Donald Trump, jambo lililozua mjadala mkubwa kimataifa...
2 Reactions
3 Replies
447 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…