Nana Akufo- Addo aapishwa kuwa rais mpya wa Ghana
Nana Akufo- Addo ameapishwa leo kuwa rais wa mpya wa Ghana. Akufo-Addo ameahidi kupunguza kodi ili kufufua uchumi wa nchi hiyo kando na kuangamiza...
Barrack Obama aliangazia demokrasia Marekani katika hotuba yake ya mwisho
Rais wa Marekani Barack Obama amewahimiza Wamarekani kuitetea demokrasia, kwenye hotuba yake ya mwisho kama rais wa...
Next week his time will be up and there will be a new sheriff in town.
How time flies.
Not a fan of his but so long Mr. President.
I'm not gonna be a grinch tonight. I'll give the devil his...
New York (CNN)Former New York Sen. Al D'Amato was removed from a delayed New York-bound JetBlue flight on Monday after trying to rally passengers against the flight crew.
JetBlue flight 1002 from...
Profesa wa chuo kikuu cha Shandong Jianzhu amefukuzwa kazi baada ya kumkosoa mitandaoni muasisi wa taifa hilo, Mao Zedong katika maoni aliyotoa kwenye mtandao siku ya maadhimisho ya miaka 123...
Huyu jamaa naye kaanza kuiga mambo ya watu weusi mtoto wake ndiye alitengeneza cabinet..
Sasa mkwe ni mshauri mkuu wa mipango yote ya uchumi na mambo ya mashariki ya kati .
Wacha tuone mwisho...
Akihojiwa na BBC, mke wa raisi wa Nigeria amekosoa uongozi wa mme wake kwamba unawaangusha wapiga kura na kwamba amezingirwa na watu wasiokuwa wapiga kura na wasiofahamika. Soma hapa kwa undani...
Marekani imemtaja Hamza ambaye ni mtoto wa kiume wa Osama Bin Laden katika orodha ya Magaidi.
Taarifa kutoka wizara ya ulinzi zinasema Hamza Bin Laden akiwa katika umri wa miaka ishirini amekuwa...
Katika tukio ambalo si la kawaida kando la wakati wa rais Kennedy alipomteua ndugu yake kuwa waziri..
Trump naye ameingia na lake jipya kwa amemteua MKWEWE/Son in law
Jared Kushner kuwa ndo...
Trump amteua mkwe wake kuwa mshauri mkuu Marekani
Jared Kushner na mke wake
Rais mteule wa Marekani Donald Trump amemteua mkwe wake Jared Kushner, kuwa mshauri mwandamizi wa Ikulu ya nchi hiyo...
Rais mteule wa Marekani Donald Trump amemteua mkwe wake Jared Kushner, kuwa mshauri mwandamizi wa Ikulu ya nchi hiyo.
Kushner mwenye umri wa miaka 35 ambaye amemuoa binti mkubwa wa Trump, Ivanka...
Hii video ni ya habari inayobamba kwa sasa Marekani.
Inawaonyesha vijana wanne wa Kinugu wakimtesa kijana wa Kizungu ambaye pia ni mlemavu wa akili.
Kwenye video wanasikika wakimtukana Trump...
IVORY COAST: Waziri Mkuu Daniel Kablan Duncan amejiuzulu kufuatia kupitishwa kwa katiba mpya na uchaguzi wa bunge wa mwezi uliopita.
- Rais Alassane Ouattara awavua vyeo mkuu wa Jeshi na wa...
Jamaa wameingia mtaani, wameteka watu na Makao Makuu ya Jeshi LA Nchi hio. Waziri wa Ulinzi Anaendelea ku- negotiate nao, wanataka salary ya Dollar 8000 na Nyumba kwa kila MTU.
Rais amehutubia...
Sasa inaonekana dhahiri, hali si shwari kati ya vyombo vya Usalama na Ujasusi chini Marekani na Donald Trump.
Jana viongozi karibu wote wa vyombo vya usalama na Ujasusi, yaani National Security...
Fort Lauderdale airport shooting: Multiple people shot dead by Florida gunman
Fort Lauderdale airport shooting: Five people shot dead by Florida gunman
Image copyrightAP
Image captionShooting...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.