BigBaba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,908
- 9,040
Sheria za jiji la Milan nchini Italy zinawataka watu wote katika jiji hilo kutabasamu muda wote isipokuwa tu wanapokuwa kwenye misiba au wanapowatembelea wagonjwa hospitalini.
Mtu atakayekutwa amenuna bila sababu za msingi atakabiliwa na faini kali.
Mtu atakayekutwa amenuna bila sababu za msingi atakabiliwa na faini kali.
