Nipo ndani ya Ndege ya KLM , naangalia screen iki-display ramani ya Africa ghafla ikaonyesha Ziwa lenye mgogoro Kati ya Tanzania na Malawi na ikaandika "Ziwa Malawi".....Je kufanya hivi ni bahati...
D.Trump amezidi kuwathibitishia ma-anti christ na ma-globalist kwamba yeye yuko kwa ajili ya USA na siyo Dunia yote, yeye siyo raisi wa Dunia bali ni raisi wa USA, hivyo hakuna tena kutuma Majeshi...
Mwanamke anayetuhumiwa kumuua Kaka wa Kim Jong-un akiri kulipwa Dola 90 kwa tukio hilo huku akidhani kuwa ni masikhara.
Naibu Balozi Andriano Erwin amesema kuwa mwanamke huyo wa umri wa miaka 25...
Mpiganaji wa ISIS anaonekana kwenye hii video akivizia huku amevaa mkanda wa bomu ya kujitoa mhanga, kwa bahati nzuri imemlipukia kabla ya kuwafikia walengwa. Sasa sijui wale hufa hivi kama wana...
Burundi inataka mshauri wa UN katika mazungumzo hayo Benomar Jamal kuondolewa kwa madai ya kupendelea upinzani
Umoja wa mataifa umetoa wito kwa pande zinazokinzana katika mgogoro wa kisiasa nchini...
Amsterdam, Netherlands (CNN)
Not a day goes by in the Netherlands without President Donald Trump making news. If you're an American traveling overseas, you have likely been buttonholed by locals...
Rais wa Marekani Donald Tramp anasemekana anafanya maamuzi yake katika uendeshaji wa nchi hii kwa misingi ambayo ameiandika katika kitabu chake kiitwacho "ART OF THE DEAL"
Msingi mkuu wa aina...
Post-convention poll: Clinton retakes lead over Trump
Washington (CNN)Hillary Clinton emerges from her party's convention in Philadelphia with a restored lead over Donald Trump, having earned a...
Mwanajeshi wa zamani aliyekuwa amependekezwa na Rais wa Marekani Donald Trump kuwa mshauri wake wa masuala ya usalama wa taifa amekataa kazi hiyo.
Robert Harward alitarajiwa na wengi kuchukua...
Mtoto wa Mfalme wa Saudi azua gumzo baada ya kusafirisha ndege 80 aina ya mwewe kwa kutumia ndege.
=====
Flying on a plane is generally an awful experience, but next time you're crammed in the...
Rais wa Marekani Donald Trump amebatilisha agizo lililotolewa na mtangulizi wake Barack Obama lililowafaa wanafunzi walioamua kuegemea jinsia tofauti, ikulu ya White House imesema.
Bw Obama...
Wataalamu wa afya ya kiakili wameandika barua wakisema Trump hafai kuwa rais.
Ni suala ambalo hungetarajia watu walizungumzie hasa kuhusu mtu ambaye amekuwa akisimamia biashara ya thamani ya...
Tumezoea kuona Mbwa wakitumika na Polisi kusaidia kukamata Wahalifu na hata panya kutumika kutegua mabomu, kingine ambacho kimeripotiwa ni kuhusu Ndege aina ya tai ambao wanafundishwa kukamata...
South Africa's national police chief Khomotso Phahlane says 136 people have been arrested in incidents during operations over the past 24 hours.
Random acts of violence, looting and destruction...
Bangkok: One of the most vocal critics of Philippine President Rodrigo Duterte's deadly crackdown on drugs remained defiant after being arrested on Friday, declaring "I am innocent of these...
Polisi nchini Malaysia wamesema kuwa wamefichua kemikali iliyotumika kumuuwa nduguye wa kambo, kiongozi wa Korea Kaskazini, na kuitaja kuwa VX dawa ya neva. Sumu kali mno inayotumika katika vita...
Constituents Flood Another GOP Congressman’s Town Halls And Angrily Confront Him
One woman shouted that Rep. Tom Reed (R-N.Y.) was spreading “misinformation.”
By Sam Levine
Constituents of...
Stranded! Storm Doris chaos as thousands of commuters scramble for hotel rooms with Euston station closed, cross-country train services cancelled and drivers told to stay off the roads
Stranded...
Mpiganaji wa kundi la kigaidi la IS aliuawa katika shambulio la bomu huko Mosul nchini Iraq ni mfungwa wa zamani katika gereza la Guantanamo Bay,BBC imebaini.
Duru za usalama pia zimesema kuwa...
Obama aliwahi kuwa mvutaji bangi, akaacha na kuamua kuwa makini na masomo yake ya sheria katika Chuo Kikuu cha Harvard, alisoma na kufanya kazi kwa bidii hadi pale alipofanikiwa kuchaguliwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.